Arsenal (The Gunners) | Special Thread

wAnakwambia Mudryk ni flop?! wakati tokea aende chelsea hajawahi kucheza hata dk.30 ndani y dk. 90. Ila Havetrz aliyepewa dk.90 game zote chelsea na akacheza utumbo. kwa vile ameenda Kw makondoo wanakwambia ni talented😂😂
 
Hawa ni makondoo, halafu akili zao wote zinafanana, sahiz kudus anasifiwa hapa hatari, ngoja awatose kama alivyowatosa Mudryk. Watamchamba
 
wAnakwambia Mudryk ni flop?! wakati tokea aende chelsea hajawahi kucheza hata dk.30 ndani y dk. 90. Ila Havetrz aliyepewa dk.90 game zote chelsea na akacheza utumbo. kwa vile ameenda Kw makondoo wanakwambia ni talented
Ulishajiuliza kwann alikuwa hata hizo 90 hapewi? Maana hata ukimpa 30 anakosa magoli hata ya wazi

Naona mmesajili ogochukwu

Chelkenge Kutoka kiungo cha mpira cha Joginho, kante, kovacic, mpaka Chikuemweka, Enzo, galagher ,Ogochukwu hakika hiki ni kiungo cha mboga

Mmarekani akamatwe haraka sana kabla kilabu cha mbege pale darajan hakija angamia na kushuka daraja
 
Ana vitu vingi vya kujifunza labda Pochettino atampiga msasa
 
Hawa ni makondoo, halafu akili zao wote zinafanana, sahiz kudus anasifiwa hapa hatari, ngoja awatose kama alivyowatosa Mudryk. Watamchamba
Kudus ni potential
Kudus anakuja kuongeza upana wa kikosi pale Emirates

Kwaio tinaenda na reasonable price


Alafu inabidi mjue mount angekuja arsenal na Kai angeenda unyumbuni


Mount angekua hatari mno mno mno kuliko Kai
 
Kudus ni potential
Kudus anakuja kuongeza upana wa kikosi pale Emirates

Kwaio tinaenda na reasonable price


Alafu inabidi mjue mount angekuja arsenal na Kai angeenda unyumbuni


Mount angekua hatari mno mno mno kuliko Kai
Halafu sisi kwasasa hatuna haraka Tena ya kusajili tumeshamaliza target zetu ,tunauwezo wakwenda na hiki hiki kikosi

Now tumefocus kuuza then tununue

Kudus yupo ,why hawatumi ofa wamchukue ?

Za ndani nasikia hataki kwenda ukengeni
 
Breaking News

Kroenke amepanga kumuongezea mkataba mrefu zaidi Mikel Arteta

Mikel Arteta and the Kroenke’s held preliminary contract extension talks in the USA while the club was on tour.
 
Kudus ni potential
Kudus anakuja kuongeza upana wa kikosi pale Emirates

Kwaio tinaenda na reasonable price


Alafu inabidi mjue mount angekuja arsenal na Kai angeenda unyumbuni


Mount angekua hatari mno mno mno kuliko Kai
Ila kwa kua amaeenda kwa pundamilia ni mmbovu. Mount ni mchezaji mzuri hata huko huko unyumbuni ni mzuri kuliko Kai. Ni muda tu ndio utasema. Mtakapoanza kumtukana kai sisi hatutaongea chochote.
 
Halafu sisi kwasasa hatuna haraka Tena ya kusajili tumeshamaliza target zetu ,tunauwezo wakwenda na hiki hiki kikosi

Now tumefocus kuuza then tununue

Kudus yupo ,why hawatumi ofa wamchukue ?

Za ndani nasikia hataki kwenda ukengeni
Acha masihara mkuu, hataki ukengeni fc
 
Acha masihara mkuu, hataki ukengeni fc
Ukienda Chelsea ujiandae ku flop mda wwte....lile ni genge la wafukuza upepo...mchezaji akitaka kuchagua timu ya kwenda kucheza na walau akawa ana risk ndogo ya ku flop katika ya Manyumbu na Chelkenge...ntamuona ana akili kama ataenda kwa Manyumbu maana wale ingawa wanafukuza upepo nao ila wanafukuza kwa akili siyo kama kwa Hawa kina Madueke
 
nA hao hao wachezaji nakupga home and away. Shuuubamit
 
Wajaze wenzio ujinga, hao hao akina mudryk ndio wanakuja kuwatandika. Tena mudryk akiwaweka goli awachokonoe pale pale kwnye kidonda.
 
Msimu wa 3 huu nachukua points 6 au 4

Jenga timu kwanza kocha wako mwenyewe anasema anaona hata top 6 itakuwa ngumu
Mind game, asemea anagombea ubingwa tuanze kumpressurelize, Arteta msimu uliopita ndio alitakiwa kuchukua ubingwa mana hakua na presha, alikua anajificha kwnye kichaka ch kujenga timu. Msimu huu ana presha y kubeba ubingwa, mtakua natandikwa hovyo.

Are888 mkimaliza nafasi 4 za juu, niitwe mbwa jike. Nimekaa palee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…