KWA NILICHOKIONA MECHI ZA PRE SEASON
Kuna namna Arteta anataka kutengeneza unpredictable team. Ni dhahiri “you cannot defend what you don’t understand”. Sasa kwa za back line ya Saliba, Gabriel, White, Tomiyasu, Holding, Zinchenko, Tierney, Kiwior na Timber kuna options zaidi ya 10+
Aidha, kupitia mechi dhidi ya United na MLS tumeona jinsi gani Arteta akijaribu namna tofauti tofauti ya mbinu zake (tactical approaches). Mfano Inverted RB, Double inverted ya RB na LB, Left wing player kama LCM etc
Ili uwe unpredictable kwanza lazima uwe na timu yenye options zaidi ya 1. Mfano kwa sasa Arteta anaweza kuwa na Double Inverted ya RB na LB kwa pamoja, Sideways CB kucheza kama LB, Back line ya 4 CB’s, kucheza na ball controller CB’s (Timber/Saliba) etc
Overlapping FB’s ya Tierney na White/Timber haiwezi ikawa excluded.
Arteta is building not just unpredictable team but also a chameleon football club. You cannot defend what you don’t understand
View attachment 2701773