Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duuh hapana huu mziki kesi
 
Aisee....ianze tu EPL.
 
Hawa Arsenyau wana nongwa na wivu sana kikubwa ni kuwazoea tu, hata Martinez wakati wao wanamtaka walikua wanamsifia kwelikweli utadhani hakuna CB bora duniani kuliko Martinez, ila baada ya kusajiliwa na Man Utd wakaanza kumkandia kua kaMartinez ni kafupi sana hakafai kua CB, mara sisi tulikua tunamtaka aje kua backup sio starter, wengine wakadai ametokea farmers league Epl atakua ni flop.
Mashabiki wa Arsenyo ni wana wivu kuliko hata dada zao.
 
Hapa Sasa umepuyanga... Martinez alikuwa ni first choice upande wa beki wa kushoto baada ya kumkosa ndo akaja Zinchenko...kuhusu kucheza beki wa kati ni kweli ana disadvantage ya ufupi kwa ligi ya England...na ajiangalie vilevile tackling zake anazocheza kuna siku atawa cost
 
Mbona hatusikii kelele za mount Tena , ?
 
PARTEY NOT FOR SALE

. @FabrizioRomano on Partey -

“I’m told that he returned to pre-season in very good shape and a good mentality and Mikel Arteta is very happy with his approach."

" The feeling is that it will only change with a big proposal, otherwise Arsenal are very happy to continue with Thomas Partey"

“Arteta is very happy with the player and how he’s beginning this new season, so everything is under control with Arsenal and Thomas Partey.”

(@podcastherewego )
 
Kai havertz

"Ninafurahia sana, kucheza nafasi hiyo [kama nambari 8],"

"Ninakuwa na mpira zaidi, ninahusishwa zaidi kwenye mchezo.

Ninafurahia sana.”


kupitia ESPN
 
Nayakumbuka sana Maneno yako toka tunahusishwa na Mudryk ulisimamia hiki na ndicho tulikiona alipotua Chelsea ngoja tuone tena msimu huu mpya may be kuna changes.
 
Msimu ulioisha marefa hawakua wanamzingatia sana, ila msimu huu unaoanza Martinez anakua kwenye Top 5 waliopewa kati nyingi za yellow & Red . tutarudi kukumbushana hapa hapa.
 
...una ujinga flani hv Braza...kwmba Mount ni sawasawa na hyo msela wa kwenye Breaking bad...Jesse
hiyo series yangu Bora kabisa ,

Kinachonichekesha kulikuwa na kelele Sana za kushambuliwa Havertz na most wanataka afeli waseme si tulisema,

Cha ajabu mount had Sasa pre season mechi kacheza 4, hatuoni hype Tena

Havertz ambaye anaandamwa anazidi kuzoea na anafunga

Haters wameingia mitini ,wanasubiri tufungwe warudi kumtoa mbuzi wa kafala
 
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…