Goli nyingi mno, control ipo hapo, Partey is too direct. Havertz ni upgrade ya Xhaka offensively, afu Rice anaziba pengo la Xhaka defensively plus Timber. So havertz, ode, rice, timber that's my midfield.Mchezaji mpya wa Arsenal Kai Havertz anasema anafurahia nafasi yake mpya kama kiungo wa kati wa upande wa kushoto.(LCM)
Havertz:
“Ninapata mpira zaidi, ninahusika zaidi kwenye mchezo. Nadhani nina nafasi nyingi ya kuboresha - bado ninajirekebisha. [Lakini] hadi sasa ninafanya kazi vizuri.”View attachment 2701300
Pale zinny na timber waki-invert at the same timeKuna siku tunamtupa timber na zinny kwa pamoja, hapo wanapokezana, nani awe inverted nani astick, ukiwa kocha timu pinzani unabaki kuangalia mechi tu nini kitatokea, ukitaka kujibu hilo shambulizi basi utakuwa genius kumzidi pep guardiola, Arteta mtu mbad sana.
Partey anasugua bench?Goli nyingi mno, control ipo hapo, Partey is too direct. Havertz ni upgrade ya Xhaka offensively, afu Rice anaziba pengo la Xhaka defensively plus Timber. So havertz, ode, rice, timber that's my midfield.
Chelkenge Kutoka kiungo cha mpira cha Joginho, kante, kovacic, mpaka Chikuemweka, Enzo, galagher hakika hiki ni kiungo cha mbogaNani alikwambia salah na de brune walikua flops?! wale ni hawakupewa tu chanse ya kuprove, ni sawa na nyie mnavyolazimisha kuwa mudryk ni flop wakati hajapewa hata chance, kisa tu aliwatosa.
Huyo Havertz amepewa kila aina ya muda wa kujitetea lakini bado alikua mzigo, Ingekua mudryk ndio kapewa mch tym kama aliyopewa Havertz hat msingekua na lakuongea.
Niliona juz Timber kapiga LB halafu anakaba vzr ,nasubiri hii ya Timber RB NA Zinny LB najua itawekwa soon , Partey kiungo mkabaji , juu Ode na Kai au RiceKuna siku tunamtupa timber na zinny kwa pamoja, hapo wanapokezana, nani awe inverted nani astick, ukiwa kocha timu pinzani unabaki kuangalia mechi tu nini kitatokea, ukitaka kujibu hilo shambulizi basi utakuwa genius kumzidi pep guardiola, Arteta mtu mbad sana.
Mimi ni shabiki wa chelsea ila usimfananishe mudryk na kai hata mara mioja, Kai is a star na ustar alio nao haukuja hivi hivi au unafikiri imetokea tu kasajiliwa first time then second time kwa dau kubwa, kai kashaprove more than one time kuwa yeye ni Mchezaji mkubwa sio klabu tu hadi taifa. Na kuhusu msimu uliopita ni timu nzima haikuperfom.Nani alikwambia salah na de brune walikua flops?! wale ni hawakupewa tu chanse ya kuprove, ni sawa na nyie mnavyolazimisha kuwa mudryk ni flop wakati hajapewa hata chance, kisa tu aliwatosa.
Huyo Havertz amepewa kila aina ya muda wa kujitetea lakini bado alikua mzigo, Ingekua mudryk ndio kapewa mch tym kama aliyopewa Havertz hat msingekua na lakuongea.
Kai ndo atakuwa anatokea benchi zaidi navyoona....mpk Sasa naona Yuko nyuma dhidi ya Rice na Trossard...na bdo tena ESR karudi na yy yaani ni confusion... Odegaard inabidi na yy awe anapumzika Sasa mechi mojamoja maana watu washakuwa wengiNiliona juz Timber kapiga LB halafu anakaba vzr ,nasubiri hii ya Timber RB NA Zinny LB najua itawekwa soon , Partey kiungo mkabaji , juu Ode na Kai au Rice
Nataman kuona hii squad ya hivi ,nione wanavyobadilishana ku invert ,pasi zinavyopiigwa ,
Mbona nyie mnenunua flop Havertz kw 65, sasa yupi bora? Aliyenunua mchezaji aliyeperfom kwnye timu aliyetoka au aliyenunua flop kwnye timu aliyetoka?
Nketiah aende kwa buy back clause, Balogun abaki kama Optional striker mpaka tutakapopata alternative.Naomba hili dili likamilike
£34m(€40m) for Nketiah
£45m(€50m) for balogun
€90m- €100m , unampata CF gani sokoni wa maana?
|| Crystal Palace are reportedly planning a £34m bid for Eddie Nketiah
[Via - @Football_LDN].
Mimi ni shabiki wa chelsea ila usimfananishe mudryk na kai hata mara mioja, Kai is a star na ustar alio nao haukuja hivi hivi au unafikiri imetokea tu kasajiliwa first time then second time kwa dau kubwa, kai kashaprove more than one time kuwa yeye ni Mchezaji mkubwa sio klabu tu hadi taifa. Na kuhusu msimu uliopita ni timu nzima haikuperfom.
Huyu mduwanzi angeenda zake tu uarabuni kula pensheniNicolas Pepe atengwa na Arsenal
Nicholas pepe alionekana akifanya mazoezi peke yake baada ya Arsenal kumuacha kwenye safari ya maandalizi ya msimu mpya.
Arteta alisema hayuko katika mipango yake msimu ujao.
pepe alicheza mechi 112 Arsenal akafunga mabao 27.Amehusishwa na timu za Saudi ila ameweka mahitaji makubwa
Alikuwa amevaa bukta la Angers Fc
View attachment 2701525
kuna vitu unapenda vitokee lakini haviwi, shindwaaaaa
KAI will star at Arsenal, laminate this comment
Mzee baba watu wanaropoka tu , ustaa wa Kai haujaja hivi hivi , kaanza ku prove akiwa mdogo ,imagine leo ana 24yrs lakin kashacheza national team mechi kibao na ni starter pale GermanyMimi ni shabiki wa chelsea ila usimfananishe mudryk na kai hata mara mioja, Kai is a star na ustar alio nao haukuja hivi hivi au unafikiri imetokea tu kasajiliwa first time then second time kwa dau kubwa, kai kashaprove more than one time kuwa yeye ni Mchezaji mkubwa sio klabu tu hadi taifa. Na kuhusu msimu uliopita ni timu nzima haikuperfom.
Huyu mduwanzi angeenda zake tu uarabuni kula pensheni
Niliwahi andika hapa so nitarudia tu.Mudryk is far better kwa kai , hakuna hata mmoja hapa anaepinga chelsea last season ilikua mbovu na mudryk kaenda blues january.
Mudryk the way anavyocheza unaona kabisa huyu dogo anakila kitu tumemuona akiwa shakhtar kwenye UEFA alikuwahata baadhi ya game alizopata nafasi hajafanya vibaya kacheza vizuriii tu na hata hizi pre season yuko vizurii this season huyu dogo itakuwa habari nyingine kabisa chelsea.
Huyu mudryk kipindi kile anatakwa na arsenal watu walikua wanasifu sana mara ooh ni neymar mpya nashangaa now vijana wanaponda tu kisa kaenda chelsea , ushabiki wa kitoto sana huu .
Mudryk na kai still mudryk ni far better kwa kila kitu naamini this season tukipata muda tutarudii tuone nan kafanya vizuriii zaidiii . Flop ni pale unapopewa chance na haufanyi chochote nembu tuonyeshe u flopp wa mudryk hata kwa kutaja game 1 tu ya zilizopita
Haimake sense.. je pepe alikuja bure, halipwi mshahara kashindwa kutoa kile watu walichomnunulia.Mbona mna mkatili sana pepeyaani leo pepe amekuwa mduwanzi mbona hana baya alilofanya pepe wazee. Pepe kwa mapenzi makubwa ya arsenal aligoma kutua anfield kisa arsenal. JUSTICE FOR PEPE