Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hata manjesta last season ni ones season wonder

Huwez kuwa unacheza vipigo 7-0,6-2, 4-0,4-0

CF wako Hana goli hata 1

Haya ni maajabu ,
 
sawa Mc Masingeli ila punguzeni udikteta basi, tukija na hoja mnatupiga marufuku tusiwaqoute, ndio maana tunaamua kua machawa humu.
hamis77 endelea kuwapiga spana machawa na mamluki mimi nakuunga mkono ila usitupige marufuku kukuqoute.
 
Once nyumbu always nyumbu

Unaweza kujiuliza Kuna uhusiano gani Kati ya nyumbuz fan na mfumo wa ufikiriaji, ukiachana na Flano ambae anatumia muda mwingi kuiwaza arsenal kuliko nyumbu wenzake, wenzake pia wanamuundo huu huu wa ufikiriaji

Unamuambia starting eleven ya arsenal nyumbu gani anaingia
Anakutajia varane, Shaw, Bruno, rashford, magwaya, bisaka, Sancho, elanga,

Kama mtu unahasira za karibu unaweza kupiga simu chini
 
ila Arsenyau mnamaneno sijapata kuona aiseeeee, siku mtakayo bahatika kuchukua Epl sijui tutaweka wapi sura zetu, maana ile kuongoza ligi tu mtaani tulikua hatuishi kwa amani.
 
Ukiona nimekataa mtu kuni qoute ni sababu naona Hana fact zozote ,au anaongea pumba ,Sasa muda mwingi napenda kujadili hoja kwa hoja

Hakuna udikteta ,kwasasa nataka nipinge mamluki wote unaowasapoti , Timu ikishinda hawaonekani ikifungwa mechi moja tunaona essay Kama mfecane War


Mtu umetangaza hadharana umehama Arsenal na kuhamia timu nyingine ,OK

Tukifungwa ndio unatokea na kutoa kashfa na kebehi ambazo hazina tofaut na Wapinzani wengine ,

Tukiwapiga spana watu wa hivo ,wewe unageuka chawa wao

Sidhan Kama kule kwenu atatokea mamluki ahame halafu aanze kuponda Kama mtamuacha salama ,ila humu mnakuja kuwatetea
 
Ukiwakatalia wanasema sisi madikteta


Kipind wanamsajili Anthony masebene niliwaambia wamepigwa waliniandama Sana na kupinga

Leo wanasema tuna nongwa

Wao kuisema Arsenal vibaya it's OK, Tena wanataka tusapoti ujinga
 
ila Arsenyau mnamaneno sijapata kuona aiseeeee, siku mtakayo bahatika kuchukua Epl sijui tutaweka wapi sura zetu, maana ile kuongoza ligi tu mtaani tulikua hatuishi kwa amani.
Arsenal ilishachukua EPL bila kufungwa

Nyie ndio mna maneno Ila tukirudisha mnalalamika Sana

Mlituandamana Sana humu hatuna pesa ,Mara Rice hawez kuja Arsenal

City aliporusha taulo mkabadili kauli

Zote tunasafisha ,mnabadili gia angani mnasema Hatutaki kupingwa

Mbona nyie hamtubu mlivyodai hata top 6 hatuingii last season

Nyie kwasasa subirien tu kumshangilia mancity ndio kazi mnayoiweza
 
Sasa hivi mnapigwa spana

Ligi ikianza tunatembeza JAMBIA
Hawataki turudishe maneno yao

Mimi kauli zao nazikumbuka vzr Sana

Ndio maana Arteta alisema

Ligi haijaanza hawakutuweka hata top 6

Akasema tumeshika nafasi ya 2 watu wale wale wanasema tumefeli



Hii inaonesha Level tuliyopo Sasa

Wakasema Hatuwez shindana na city kwa usajili na hatuna hela ,imewekwa ubaoni £105m wamebadili kauli ,oho City hakumtaka


Watu Kama Hawa ukiwajibu wanasema Tunajikweza ,
 
Flano nenda jukwaa lenu mkajadili uuzwaji wa timu ,

Tunataka Wana arsenal humu tujadili timu yetu ,mipango kuelekea kupambania EPL na UCL
 
Gabriel Martinelli has indicated that he's hoping to better last season's total of 15 Premier League goals.
 
Flano nenda jukwaa lenu mkajadili uuzwaji wa timu ,

Tunataka Wana arsenal humu tujadili timu yetu ,mipango kuelekea kupambania EPL na UCL
Wenger orphans wapi wapi na makombe uliyoyataja nyie msemage kugombea FA tu ndo kombe lenu.

Yani mkae miaka 7 mjaingia UCL hafu ndo ubahatishe kuingia msimu huu uanze na kuwaza ilo kombe izi akili au matope.
 
Wenger orphans wapi wapi na makombe uliyoyataja nyie msemage kugombea FA tu ndo kombe lenu.

Yani mkae miaka 7 mjaingia UCL hafu ndo ubahatishe kuingia msimu huu uanze na kuwaza ilo kombe izi akili au matope.
How about manjesta kukaa miaka 6 bila hata kikombe Cha uji ?


Na hapo mnatumia karibu £700m kwa usajili
Arsenal tumecheza UCL miaka 20 mfululizo , transition period tuliyopitia baada ya Wenger kuja had Sasa ndio hatujaingia UCL ,



Aliyewaita nyumbu hakukosea

Haya nenda kaimbe Graza out wakati huo timu akipewa Dk.Shika
 
*
"Ukiona nimekataa mtu kuni qoute ni sababu naona Hana fact zozote ,au anaongea pumba ,Sasa muda mwingi napenda kujadili hoja kwa hoja"


Hapa sio kweli nnakupinga kwa nguvu zote, mimi hua sina fact wala hoja yoyote zaidi ya spana tu za furahisha genge na haujawahi kunipiga marufuku ya kukuqoute, ila mtu mwenye hoja za msingi na anaeweza kusimama toe to toe na wewe hua unampotezea, maana unajua anakuzidi kwa hoja na evidence, zaidi utaishia kumuattack kua ni mamluki na kumpiga marufuku asikuqoute.




*
"Mtu umetangaza hadharana umehama Arsenal na kuhamia timu nyingine ,OK
Sidhan Kama kule kwenu atatokea mamluki ahame halafu aanze kuponda Kama mtamuacha salama ,ila humu mnakuja kuwatetea"



Kuhama timu sio dhambi na sisi tutamchukulia kama mpinzani wetu, akija na challenges na sisi tutamchallenge na akija na facts pia tutamjibu kwa facts kamwe hatuwezi kumchukulia kama adui, atabaki kua ni mpinzani na kama facts zake ni za kweli sisi tutaiunga mkono hoja yake hua hatuna kawaida ya kutetea mapungufu.
Tatizo lenu nyie hamtaki timu yenu ikosolewe, nyinyi mnataka hata kwenye mapungufu/makosa ya wazi msifiwe tu.
 
Kwani Arsenal mna U-giant gani toa hoja zako tuzione.
 
Siokweli , Kuna mtu mwehu humu kuliko wewe ,why sijawahi na sitawahi kukataa kujadiliana na wewe ,maana najua wewe ni nyumbu na always ni nyumbu

Ila wanafiki lazima nikae nao mbali na sio kwamba siwez kuwapiga spana ,no ,

MTU aliyeasi ni mbaya Sana ,na asikudanganye mtu Hakuna anayeweza kuhama timu maisha yote

Kwa jeshini watu Kama hao wanaosema wamehama ilikuwa adhabu Yao ni kifo
 
Kitu pekee mnajivunia Arsenal ni golden Epl ambayo mlimaliza na madroo kibao😃.

👉Unpopular opinion:Manchester City iliyomaliza na pointi 100 ni kali kuliko Arsenal ya invisible😃
 
Kitu pekee mnajivunia Arsenal ni golden Epl ambayo mlimaliza na madroo kibao
.

Unpopular opinion:Manchester City iliyomaliza na pointi 100 ni kali kuliko Arsenal ya invisible
Haya nenda kaimbe Graza out wauze timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…