Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Charlie Patino is close to leaving Arsenal. Any deal will include a buy-back clause. Reports,


@ChrisWheatley.
 
Saizi unaonekana sana, ila ligi ikianza na vipigo vya hapa na pale unakimbia.
Uliniona wapi ,wakati msimu mzima ulipotea timu lako lilipokuwa linagombea kushuka daraja ,au mnadhani hatuwajui

Wewe umerudi juzi juzi hapa Ligi kuisha

Wewe si kenge la darajani
 
Hizi pimbi game yao na barca kwani ni lini?? Naona Xavi akiwakea kina Ansu Fati ambao wanakosaga namba pale camp nou lakini bado watawachapa sio chini ya goli 5-0,Hivi UCL mliingiaje,Hivi mmerogwa

Kwako hamis77
 
Msimu ujao tunagombea wote nafasi 12. Sasa wafunge kamba mikondoo kuwa ni taito kontenda, mkipoteana mchawi itakua wewe.
Arsenal haijawahi kugombea nafasi hizo Wala kushuka daraja toka ianzishwe ,

Wewe subiri had mech ya 5 mtaanza kumjadili pochinene afukuzwe
 
Kufungwa na timu mbovu kama Man u binafsi naamini either ni kukosa balance au overconfidence ni dhambi kwa Arsenal hii kufungwa na timu kama Man u, Chelsea au Liverpool.
Arsenyani mnapenda kujikweza. Huwezi kuwa considered timu nzuri kama hakuna cha maana mnafanya.

Tofauti yenu na United msimu uliopita ni nini hasa? 😂🚮
 
Unaamin ujinga wa huyo jamaa ,Yaan Partey, Zinchenko,Saliba , Martinelli, Magalhaes hawa anawafananisha na kina Anthony, Sancho, bisaka ,dalot , mount

Tukipinga upuuz Kama huu wanakuja juu Nina arrogance
Kwanini hutaki kuheshimu mawazo ya wengine mpaka uite ujinga?

Jamaa hapo juu hakukubaliana na mawazo yangu na akaongeza wachezaji wake, sijampinga huo ni mtazamo wako.

Tatizo lako kubwa hutaki watu wawe tofauti na mawazo yako.

Ni vizuri kupinga jambo bila kutumia maneno yenye ukakasi. Ungeandika tu sentensi yako bila kutumia maneno ujinga/upuuzi bado ingeeleweka tu.
 
Hapo mchawi ni Mc Masingeli tu, domo lake ndio linawafanya misukule wa humu wajione nao wana bonge la timu ila kiuhalisia Arsenyau ni mid table team tu kama Leicester, Brighton, Fulham na Aston Villa.
Hawa wakimbiza mwenge 2022/2023 ilikua ni one season wonder baada ya Giant teams kama vile Chelsea, Liverpool na Man Utd kutetereka kidogo, ila usitegemee msimu huu kuwaona tena kwenye Title contender, hio top4 yenyewe msimu huu hawatoboi.
 

Ujinga ni tusi ,?wapi nimekataa mawazo tofauti na wengine

Yaan nyumbu unataka nikubaliane na ujinga kuwa Anthony masebene,Sancho, wanabisaka ,dalot ni zaidi ya Zinny, white, Martinelli, Magalhaes,

Tafuta wakutaka akubaliane na huo ujinga

Ujinga sio tusi
 
Eti walitetereka ,

Yaan nyumbu wametumia €250m

Kenge wametumia €650m

Unasema walitetereka?are u seriously?

Ninachojua hata msimu huu nitakuwa wa mwisho kuamin manjesta na kenge watamaliza top 4
 
Arsenyani mnapenda kujikweza. Huwezi kuwa considered timu nzuri kama hakuna cha maana mnafanya.

Tofauti yenu na United msimu uliopita ni nini hasa?
Manjesta ni timu mbovu ,uwekezaji mkubwa matokeo sisimizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…