Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Epl ikianza ndio watajua hawajui

Mjinga wewe mpe cheo tu
Sasa hivi wataachana na Graza out , watasajili kimazoea , wakiamin Sasa ni mataito contender, Mimi sikuyahitaji haya matokeo sababu ya kelele zao, lakin Kuna faida yake
 
Sasa hivi wataachana na Graza out , watasajili kimazoea , wakiamin Sasa ni mataito contender, Mimi sikuyahitaji haya matokeo sababu ya kelele zao, lakin Kuna faida yake
Haya matokeo naona yanafaida kubwa kuliko hasara
Timu haiuzwi
Timu kumbe tayari imekamilika, no ins

Kwenye Epl nyumu asipopigwa doz (3) na arsenal Basi niulizwe Mii, shida ni Nini?
 
Haya matokeo naona yanafaida kubwa kuliko hasara
Timu haiuzwi
Timu kumbe tayari imekamilika, no ins

Kwenye Epl nyumu asipopigwa doz (3) na arsenal Basi niulizwe Mii, shida ni Nini?
Yah nimeona , Kuna chemistry nimeona inabidi waanze Partey na Rice kwa timu za kaunta Kama nyumbu ,
 
Juzi nilikuwa nacheki game arsenal vs MLS ndani ya dk 25 za mwanzo nikaona mmh hii timu upepo umekata hata kupiga pasi ilikua shida , MLS amepata chance zaidi ya 6 ndani ya dakika hizo hizo ni vile wakina benteke wazee wanakosa utulivu , Puig kashika dimba utadhani sio yule barca waliomtema.

Huyu viera ivi mlimtoa timu gani
hata kupiga mpira tu hawezi , juzi nimemcheki pia nikasema humu, huyu hata championship tu haweziiii kucheza first eleven au tu timu iwe inamtegemea haiwezekaniii wakaja vijana wa praise humu oooh viera ame improve nikashangaa maana niliona dogo kidogo aliye improve ni marqhuinos huyu viera bado yule yule muoga aibu kibao kama pepe tena bora ya pepe .

Kitasa maguire naona leo yupo uwanja mzima mpaka kitambaa wamrudishie ana oveload na kupresss
.

Zitakuja false hope kesho humu “ tumewaachia washinde ili wavimbe kichwa wajiite title contender or hii ni friend match” sawa umewaachia mpira uliocheza wewe unaridhisha? Second half yote sijaona arsenal alichofanya hata ile kuleta threat kwa man utd hamna.

Amini amini nawaambieni arsenal fans nyinyi ni big 4 chasers this season
Liverpool karudi Newcastle hatoki mule na man utd ndo huyo hapo hajafanya usajili anakimbiza mwizi kimya kimya

Msiogope kizurii match ya ligi arsenal vs man utd ni matchday 6 tu kama sio 7 naamini oveload na pressing bado hazijaanza timber hajawah inverted mid au zincheko hawa man utd watakufa 8
, hope is always hope even its false hope.. come on bottlers!!
 
Heee tumepigwa na nyumbu?tambo zote za hamis77 na wengineo tumekandwa?
Mc Masingeli ni sawa na debe tupu hua haliishiwi kelele.
Ila hamis77 akianza kukuchambulia hii Aseno Ndoo unaweza ogopa hata kupeleka timu uwanjani.
Timu ina ChaPartey na Wali bora mngeongezea na Maharage kabisa kuliko kutulisha ubwabwa mkavu.
 
Mkuu Labyrinth 84 jitahidi usiwaquote tu watu, humu wenyewe wazee wa pressing & overloading hawapendi kukotiwa.
 
jamaa unatemaga fact hatar. Ngoja aje Mc Masingeli awabrain wash mikondoo yake kesho then fake hopes goes on.
 
Mkuu Labyrinth 84 jitahidi usiwaquote tu watu, humu wenyewe wazee wa pressing & overloading hawapendi kukotiwa.

Nitajitahidi sana
ila kuna muda uvumilivu ukinishinda mara moja moja sio mbaya .

Mpira wa kwenye makaratasi ni mwepesi kweli hasa timu yenyewe iwe arsenal, utasikia ooh mara timber anacheza inverted na tierney ana stick kwenye position yake
mara kwa kikosi hiki arteta arushe jezi hewani watakaowahi ndo waanze mara tuanze na wapi inatolewa list ya mido hizo na viera ndani unasikia vipi hapo kelele kibao mpaka unajiuliza ivi wakati hao wanafanya inverted sijuii midfd uwanjani wanakua 11 tu arsenal pekee yake huku upande mwingine panakuwa patupu au timu pinzano inakuwepo?

Hapo bado ndani ya gemu kuna vikao vya zincheko kila wanapotiwa kamba
unajiuliza hivi vikao kila siku toka August mpaka April ni kipi haswa arsenal players wasichokielewa kutoka kwa bwana zinchy au anaongea kirussia mpaka hawaelewiii .
Mwaka huu nataka niwe nacheki games za arsenal kuhesabu vikao tu , kama mwaka jana vilikuwa vingi vile je mwaka huu
 
jamaa unatemaga fact hatar. Ngoja aje Mc Masingeli awabrain wash mikondoo yake kesho then fake hopes goes on.

Ngoja tuache pastor mackenzie na wafuasi wake
mpaka arsene prof mwenyewe alishasema hakuna chance kubwa kama ya mwaka jana kutokea huko mbeleni ni ngumu .
Last season unaona kabisa hii timu upepo ulikuwa wao , wameshindwa kupita nao maana kuna games unaona kabisa hizi game arsenal ana bahati na atachukua ubingwa e.g vs fulham firs leg , Liverpool game zote mbili , game na Aston villa zote mbili upepo wa ushindi ulikua kwao kilichotokea sasa 10 games to go


This season kila timu ipo moto just imagine Liverpool karudiii kwenye ubora , unai emery ndo kabisaa haelewii anashusha kina diaby tu huko ana hasira kama zote support aliyopewa arteta yeye alinyimwa mpaka akalazimishwa kumsajili pepe badala ya zaha , hasira zote anataka kumaliza kwa arsenal this season
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…