Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Historia haitasaidia leo kukwepa kipigo


Kwasasa mnaingia Kama undrrdog
Yani mjawai kutufunga hata goal 4 tu tushakuwa underdog wenu pole Ndugu naona unajifariji maana toka Wenger kawaacha mmekuwa kama orphans vile kazi kupiga kelele tu hapa.

Game hii sisi tutakuwa tunapasha tu na makinda Leo ndo mtajua mmepigwa au.
 
Sisi kwenu kushinda ni kama kupewa utamu na mke wako wa ndoa tu maana ni haki yako ya msingi.

Kwaiyo tulieni mle Leo izo goal 4 hafu muanze kusema kuwa mko kwenye majaribio ya kikosi.

hafu usikimbie hapa maana wewe tunakujua.
 
Yani mjawai kutufunga hata goal 4 tu tushakuwa underdog wenu pole Ndugu naona unajifariji maana toka Wenger kawaacha mmekuwa kama orphans vile kazi kupiga kelele tu hapa.

Game hii sisi tutakuwa tunapasha tu na makinda Leo ndo mtajua mmepigwa au.
Kocha wako kasema haichukulii Kama friend match, tarajia full mkoko

Hata onana anaanza kudaka leo

Mm nimekuahidi msimu huu mtatupa points 6 na 4+ , Degea alikuwa kikwazo Sana ,
 
Kocha wako kasema haichukulii Kama friend match, tarajia full mkoko

Hata onana anaanza kudaka leo

Mm nimekuahidi msimu huu mtatupa points 6 na 4+ , Degea alikuwa kikwazo Sana ,
Ok hapa tufanye prediction zetu hapa Mimi yangu ni hii

Prediction

Wenger orphans 2 vs Manchester United 4

Leta wako kijana hafu Leo usiku tutajua hapa Nani mpiga kelele.
 
Sisi kwenu kushinda ni kama kupewa utamu na mke wako wa ndoa tu maana ni haki yako ya msingi.

Kwaiyo tulieni mle Leo izo goal 4 hafu muanze kusema kuwa mko kwenye majaribio ya kikosi.

hafu usikimbie hapa maana wewe tunakujua.
Mm nipo ,ila Kuna wapumbavu Sasa hivi huwaoni ,wanakujaga na matusi Kama yote ,so Mimi huwa nakaa pemben kwanza watukanee wakimaliza utaona nimerudi

Ujue binafsi kujibishana na watu matusi siwezi , ila Kuna watu naweza kuchagua ,
 
Hivi nyinyi Wenger orphans hivi mjiulizi kwanini hapa mmejaa sana.

Kiufupi timu yenu bado sana mapicha Picha ya mwaka jana mjayaanza leo msiji fariji Sijui mtakuwa vizuri.

Nataka kuwakumbusha tu nawaona sawa na Liverpool ya msimu wa 2013/2014 ilikimbiza ubingwa weeee mwisho wa siku unajua nini ilifanya na msimu unaofata kilitokea nini ndo nawaona mpo sawa nao tu.
 
Kwahiyo manjesta mtachukua ubingwa msimu huu ,kiukweli hata top 6 siwaoni
 
Sawa sawa maana Wenger orphans mjuagi kutofautisha uhalisia na mahaba nyie mna ongozwa na hisia kuliko uhalisia kama wanawake tu.
Sio mahaba ,mwenzio Chelsea tulimkaanga 4-0 mwaka Jana kipindi Cha kwanza tu

Yaani Tena hizo 4 nimeweka ni minimum sitashangaa zikifika 5


Manjesta timu yenu hii ya kina mount
 
Mimi naombea nyumbu washinde Leo waanze huu. Uchizi wao kujiita Tito Kontenda
Alafu wajisahau kuongeza watu, ili ile kwao vizuri
 
Game saa ngapi hii?
 
Hapa Mc Masingeli naona unaongea vice-versa, hawa hapa ndugu zako waliofanya maandamano haramu na kujitangazia ubingwa eti sababu wameifunga Man Utd.
 
Hakuna Raha Kama kuwafunga manjesta

Na msimu huu mtatuchangia points 6 ,

Leo Kuna 4-0


Muhind kawaweka Kama underdog asee
Huo ubavu wa kumfunga Manchester ndio hamna, yaani utd hata iwe mbovu vipi lakini kufungwa na Arsenyani hua ni ngumu same to Liverpuli kwa Man Utd.
Livapunda hata iwe mbovu vipi lakini ikikutana na Utd lazima tuchezee.
 
Huo ubavu wa kumfunga Manchester ndio hamna, yaani utd hata iwe mbovu vipi lakini kufungwa na Arsenyani hua ni ngumu same to Liverpuli kwa Man Utd.
Livapunda hata iwe mbovu vipi lakini ikikutana na Utd lazima tuchezee.
Mech ya mwisho unakumbuka lakin ilifika muda mkakaa nyuma mnatafuta sare,tukawasaka Sana Hadi mkaachia

Hii Arsenal hata Mimi naiogopa

Wewe kocha anakwambia anataka kuwatumia wote Partey na Rice

Wakati Rice peke yake aliwahi kamata viungo wote wa manjesta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…