Huyu Leo tunamuwekea Havertz Mzee wa 0 shots on target na ikitokea hajapaisha basi kipa kadaka au inamgonga post Ili kuwadanganya. Kwenye ligi tunamuweka bench afu tunamuweka mbappe Ili tuwaadhibu kisawa sawa
Mikel Arteta says it was always in his plans to play Thomas Partey & Declan Rice together
(@Football_LDN)View attachment 2695734
Oya hiv unajua Graza hawauzi Tena timu ?eti kwenye ligi tunamuweka Mbappe.
Timu maskini kama Arsenyau unafikiri itakua na uwezo wa kumlipa Mbappe mshahara?
Labda nyie mumsajili halafu Man Utd tuwe tunawalipia mshahara wake la sivyo hamtoboi mwaka hio Academy yenu inafilisika, halafu Majembe Auction wanakuja kupiga mnada hayo mabenchi ya Emirates stadium ili kupata pesa kumalizia kulipa mshahara.
Pesa kwetu ni nyingi mpaka zinafurika. Huyo Onana mwenyewe leo tukimwambia tunamtaka awe back up wa Ramsdale, kesho tu unamuona kavaa ', Emirates fly better' kifuanieti kwenye ligi tunamuweka Mbappe.
Timu maskini kama Arsenyau unafikiri itakua na uwezo wa kumlipa Mbappe mshahara?
Labda nyie mumsajili halafu Man Utd tuwe tunawalipia mshahara wake la sivyo hamtoboi mwaka hio Academy yenu inafilisika, halafu Majembe Auction wanakuja kupiga mnada hayo mabenchi ya Emirates stadium ili kupata pesa kumalizia kulipa mshahara.
Sasa inakuaje mchezaji anakua amebakiza mwaka mmoja halafu anauzwa timu nyingine kwa mkataba wa miaka4 bila ya kupewa chochote kwenye mauzo yake?Naamini mchezaji yeye kama bidhaa hapati kitu kwenye kuuzwa kwake. Yeye ni mishahara, madili ya matangazo ya soda, njumu, etc. Pesa za mauzo wanakula club na agents wa mchezaji
Sasa huoni kama mchezaji anakua amedhulumiwa?Rice hapati hata Mia , hiyo ni ya klabu husika yote
Akiwa free ndio anapata signing fee
Arteta kasikia maombi yetuUuuuuwiiiii maaamaaa. Tunataka kutoa watu roho
Oya hiv unajua Graza hawauzi Tena timu ?
Wale jamaa wanajuaga kucheza na akili zenu
Bei ya mchezaji ni mtakavyothaminisha tuSasa inakuaje mchezaji anakua amebakiza mwaka mmoja halafu anauzwa timu nyingine kwa mkataba wa miaka4 bila ya kupewa chochote kwenye mauzo yake?
Yaani hapo anakua ameongezewa miaka 3 tena mbele.
Ndio maana Waswahili kama Mbappe wanataka kutegea kwanza mkataba uishe ili akarambe pesa ya mkataba mwingine.
Sasa hivi kuelekea kufunga usajili watampa pesa Kocha wenu asajili ili msiwasumbue , wale jamaa kuiuza manjesta sio rahisiHilo dili la Mbappe hao Glazzer wanaweza litumia kunyamazisha kelele za mashabiki.
Wakimnunua Mbappe mashabiki wanapoa wenyenyewe badala ya kuendeleza campaign ya "Glazzer Out" wanaanza kuzungumzia ukontenda mada faka.
Pesa kwetu ni nyingi mpaka zinafurika. Huyo Onana mwenyewe leo tukimwambia tunamtaka awe back up wa Ramsdale, kesho tu unamuona kavaa ', Emirates fly better' kifuani
Vice versa is true , mashabiki wa manjesta ndio mnaongoza kwa mdomo ,mashabiki wa Asenyo aiseeehalafu nilichogundua mashabiki wa Asenyo Tanzania wengi ni wazaramo maana wana maneno kwelikweli.
Hapa umeongea la maana sana, yaani anaweza kuja kuleta issues, akampa tabu Arteta kwenye kummanage..Bei ya mchezaji ni mtakavyothaminisha tu
PSG wanajua mbappe akibaki aje aondoke free wao hawapati chochote., Na mbappe anaenda kunegotiate na timu yoyote yeye anakuwa Kama timu Sasa ,hapo anavuta mkwanja mrefu
PSG wanataka wao wapate chochote nimeona wanasema wanaziita klabu zote zinazomtaka na Bei haitakuwa kubwa
Tatizo la mbappe ni mvurugaji anaweza haribu timu nzima
Wafaransa huwa Wana ego ,refer Paul Pogba ,
Statistically, Rice ndiye anatakiwa aanze chini halafu Partey na Odegaard waanzie juu.Tunachangamsha tu ,
Ukweli nafas ya nyie kushinda ni finyu Sana ,mkishinda itakuwa habari
Ila Arsenal akishinda haitakuwa habari
KUNA UWEZEKANO ARTETA AKAPELEKWA JELA
Siku akianzisha Partey DM , Juu yake Ødegaard na Rice , kwenye Beki pembeni Timber na Zinchenko
Maana yake hapo Kati unakutana na mziki wa Partey Ødegaard,Rice , Zinchenko ,Timber wote mafundi wote wanakaa na mpira
Hapo possession ni 90%
Pass 800+
Goals anakufunga yoyote
Mkishinda au draw itakuwa habari ,Tukishinda haitakuwa habariView attachment 2695916
Labda hujafanya utafiti vzr ,au sababu umemuona Sana Rice kwa timu Kama Westham wanaozuia Sana ,ila Rice ana statistics nzuri Sana za kucheza adv 8 , ndio maana hata Pep alikuwa anamtaka Kama mbadala wa GundoganStatistically, Rice ndiye anatakiwa aanze chini halafu Partey na Odegaard waanzie juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini mchezaji anaangalia kulinda mapato yake binafsi. Yeye kama mchezaji anaangalia pesa atazopata Kwa kazi yake ambayo ni kucheza mpira, lakini pia na mambo mengine yanayohusu yeye kama 'brand'. Mfano mshahara wake ni 100 Kwa wiki. Je akienda kwingine atapata hiyo 100 Kwa wiki vile vile au zaidi? Je atapata madili ya matangazo? Kufanya appearance mahali, au movie, nk. Je akiumia? Atakuwa chini ya uangalizi wa elite medical teams ama la? Hii inampa confidence kwamba akiumia atawahi kupona na kurudi uwanjani. Je kocha ni mzuri wa kumpeleka next level Ili aimarike na kukuza brand yake zaidi na kupelekea kupata pesa zaidi?Kama mshahara wake utapungua kwenye club mpya, je kuna mahali watasubsidize? Na mambo mengine kama hayoSasa inakuaje mchezaji anakua amebakiza mwaka mmoja halafu anauzwa timu nyingine kwa mkataba wa miaka4 bila ya kupewa chochote kwenye mauzo yake?
Yaani hapo anakua ameongezewa miaka 3 tena mbele.
Ndio maana Waswahili kama Mbappe wanataka kutegea kwanza mkataba uishe ili akarambe pesa ya mkataba mwingine.
Saa 6 usiku mkuugame saa ngapi wadau