Aende akamalizie mpira wake huko...au anataka avunjiwe mkataba alipwe hela zake ndo asepePepe ni mwehu ,katukosesha pesa ,kapata timu saudia ,anataka mshahara mkubwa ,wamempiga chini
Arsenal wamemwambia atafute timu
Arteta amesema hataki kutabirika msimu huu ,
So kumbe tunaweza kucheza na back 4 ya Timber white Saliba na Magalhaes
Halafu tukiwa na mpira nyuma wanabaki watatu White Saliba Magalhaes
Hapo wote wapo comfortable na mpira hakuna fala
Timber anakuwa Kiungo anaungana na Rice, Øde
Kai anapanda juu anakuwa anacheza Kama Second Striker lakin pia Kama no.8 wa uongo na kweli ,Kai Kama Second Striker anakupa vitu vingi atawin mipira ya juu ambayo ni tatizo kwa Arsenal ,Kai ni mrefu kuliko mchezaji yeyote Arsenal ,
Huo ni mfano tu tunavyoweza kubadilika tofauti tofauti
Kuna combination nyingi tunaweza kuzitumia
Mfano kiungo Cha Partey Ødegaard na Rice
Kuna siku tutaweka wote Partey , Ødegaard,rice , zinchenko,timber ili tuoneshane makali
Nakumbuka nilikuambia action za rice ni KATILI na MAFIASoon Rice naona atapewa U Captain msaidizi
Rice is telling ødegarrd where to position.
Ødegarrd look him and probably said,which day this one come here to lead me..
Àrteta done creat war in my clubView attachment 2695092
Labda anavizia hivo, ila Arsenal hawajali ,kikubwa wamuondoe kwenye list ya wage bill ,Arsenal wanazingatia Sana hicho kitu ,ndio kinafanya kuweka mwanya mkubwa wa kuspend ,Aende akamalizie mpira wake huko...au anataka avunjiwe mkataba alipwe hela zake ndo asepe
Nakumbuka aseeNakumbuka nilikuambia action za rice ni KATILI na MAFIA
hope unaikumbuka hii kauli yangu
Yani ukiacha kuangalia skills zake, utaliona na hili
Kipindi xhaka anaondoka nikajua tayari tumepoteza mtetezi na mbabe kwa madogo wakina saka, martinel,..Nakumbuka asee
Lokonga hawez kucheza Arsenal Sasa hata yeye anajua ,anaenda BurneyKipindi xhaka anaondoka nikajua tayari tumepoteza mtetezi na mbabe kwa madogo wakina saka, martinel,..
nikasema ngoja nimuangalie action tu za rice
Nikagundua aliekuja nae sio mtu mzuri, ukizingua nae anakuzingua uwe teammate au mpinzani anaruka na wewe
Kama Lokonga nusu apigwe makofi na odegard, Mimi namshauri aombe aende mkopo au auzwe tu
Hapa chini rice anawachana live Kai na joginho
View attachment 2695096
Ni kujitoa ufahamu au ndio akili zako zilivyo?Sisi haoooo
Kipa la boli a.k.a ukuta wa berlin.
Onana mmoja ni sawa na RasMadale 1000
Unaambiwa sio kudaka tu mpira bali ana uwezo wa kudaka mpaka matatizo yenu ya familia Kima nyie.
Onana kashamwambia Ten Hag hapo nyuma hataki kucheza na beki yoyote, mabeki wote wapande juu wacheze midfield, hivyo mjipange msimu ujao tunachezesha midfielders 6 halafu mipira yote ya kona na adhabu amesema ni jukumu lake.
Bado kuna Sufyan Amrabat na striker la magoli Rasmus Højlund wanatua wiki ijayo.
Msimu huu tusiporudia kumpiga tena mtu goli 8 niulizwe mimi. View attachment 2695133View attachment 2695134View attachment 2695135
Beki wa kati? Labda awe na uwezo wa kucheza pia kama beki wa kushoto pia.Inawezekana maana Arsenal kwenye kusaka mchezaji likitoka jina Basi wanakuwa wapo advanced stage
Au wanatumia majina fulan kupoteza maboya ,like frasneda ,simakan kumbe lengo ilikuwa ni Jurrien Timber
Ila kwa Kudus ni kweli maana David Ornstein na Sami mokbel ndio walikuwa wakwanza kusema
Mousa Diaby ni smockscreen tu ndio maana hawakutuma Wala kufanya jitihada zozote kumpata , ,lakin naamin Target ni Kudus maana ana tik mabox yote
Age
Versatility (RW,AM,CF)
Bei affordable(£40m)
Nasikia Kuna beki anaweza kushuka pia ,aim ni kuwa na wachezaji wawili kila nafasi wenye ubora
For now Edu hajasafiri na timu anashughulikia kuuza
Cedric , Pepe, balogun,holding n.k
Nakumbuka kuna game moja hivi tulikua tunacheza na west ham, sijui Nketia alifanya nini kwa mchezaji wa West ham, Rice alimzingua vibaya mno NketiaKipindi xhaka anaondoka nikajua tayari tumepoteza mtetezi na mbabe kwa madogo wakina saka, martinel,..
nikasema ngoja nimuangalie action tu za rice
Nikagundua aliekuja nae sio mtu mzuri, ukizingua nae anakuzingua uwe teammate au mpinzani anaruka na wewe
Kama Lokonga nusu apigwe makofi na odegard, Mimi namshauri aombe aende mkopo au auzwe tu
Hapa chini rice anawachana live Kai na joginho
View attachment 2695096
Kama ni kujitoa ufahamu au ndio akili zangu zilivyo hilo utalijua wewe.Ni kujitoa ufahamu au ndio akili zako zilivyo?
Unazungumzia expensive keeper na huyo mjinga mmoja ambae hamfikii ubora wa Martinez wa Aston Villa alikua chaguo namba mbili kwa arsenal
Nimeshakutumia DMHamis naomba link ya Gunners whatsapp group yakibabe
Mbona wewe Chelsea ilipotaka kushuka daraja ulikimbia had nikakuuliza why umepotea SanaMjadiliane hivi hivi mkishaanza kula visago, hatutaki matusi kwa mabeki wa kipa.
Sisi haoooo
Kipa la boli a.k.a ukuta wa berlin.
Onana mmoja ni sawa na RasMadale 1000
Unaambiwa sio kudaka tu mpira bali ana uwezo wa kudaka mpaka matatizo yenu ya familia Kima nyie.
Onana kashamwambia Ten Hag hapo nyuma hataki kucheza na beki yoyote, mabeki wote wapande juu wacheze midfield, hivyo mjipange msimu ujao tunachezesha midfielders 6 halafu mipira yote ya kona na adhabu amesema ni jukumu lake.
Bado kuna Sufyan Amrabat na striker la magoli Rasmus Højlund wanatua wiki ijayo.
Msimu huu tusiporudia kumpiga tena mtu goli 8 niulizwe mimi. View attachment 2695133View attachment 2695134View attachment 2695135