Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sawa wazee wa phase4, tunasubiri ligi zianze mtuonyeshe kwa vitendo jinsi Arsenyo atavyobeba treble msimu huu.
Maana mnajiaminisha mpaka sasa hivi hakuna timu yoyote duniani iliyokamilika kuizidi Arsenyani.
 
Sawa wazee wa phase4, tunasubiri ligi zianze mtuonyeshe kwa vitendo jinsi Arsenyo atavyobeba treble msimu huu.
Maana mnajiaminisha mpaka sasa hivi hakuna timu yoyote duniani iliyokamilika kuizidi Arsenyani.
Wapi tumesema imekamilika

Yaan mnataka mponde timu yetu Tena kwa dharau muifananishe na nyumbu ambayo Ina kina Anthony masebene, tukubali tu ndio

Huo ujinga mkadanganyane kwenye jukwaa lenu
 
Wapi tumesema imekamilika

Yaan mnataka mponde timu yetu Tena kwa dharau muifananishe na nyumbu ambayo Ina kina Anthony masebene, tukubali tu ndio

Huo ujinga mkadanganyane kwenye jukwaa lenu
Hizo timu kubwa zote unakazania kua msimu huu zimedrop, haya tunasubiri kuwaona Arsenyau waliokamilika wakitupigia Bayern, Barcelona, Madrid na kutwaa UCL kwa mara ya kwanza.
 
Kwa aina ya soka ninalo muona nalo, diaby anacheza kote huko na pia ni fundi, ila arterta ndio anajua anakihitaji nini kwa mchezaji, na pia sijasema kudus ni mbovu, ila jamaa aliweka option kati ya diaby na kudus unapenda yupi, nikachagua diaby

Diaby yupo complete. Diaby , kudus na Anthony bado kwangu Diaby ni far better vile hata stats zake za magoli na assist huwa zinaendana hazipishani sana.
Kuna muda watu wakisema Anthony kaflop huwa naona wanamuonea tu maana kiwango chake ndo kile kile anayoyafanya man utd ndo hayo hayo aliyoyafanya ajax nothing new.
Huyu kudus kama ndo mnataka mtu wa competition na saka basi mtakuwa mmepigwa hapa, the right man ni diaby in terms of everything. Kudus atawazururisha mabeki wawili then 3 atashindwa au atapoteza mpira

Angalia hata clips nyingi za diaby na kudus uone vile wanavyomuonesha kudus anapita watu 2 then kapoteza mpira inaanza move nyingine
 
Hizo timu kubwa zote unakazania kua msimu huu zote zimedrop, haya tunasubiri kuwaona Arsenyau waliokamilika wakitupigia Buyern, Barcelona, Madrid na kutwaa UCL kwa mara ya kwanza.
Mimi naongea facts wewe unaongea siasa,Bayern kaanza kushuka msimu wa 2, Madrid kule Laliga alikuwa anabondwa had Barcelona aliyekuwa kawaida kabeba Laliga

Bado Madrid hao hao wameondokewa na Benzema

Unataka ushahidi gani

Ndio nyie nawaambia na mwenzako yule wa Chelsea,ile timu ya Chelsea bado dhaifu unamdanganya Wana timu ya ubingwa
 
Online Gooner Exclusive -

Arsenal are tracking talented Dinamo Zagreb midfielder Martin Baturina ahead of a potential summer move

(@GoonerFanzine )

onlinegooner.com/articles/view/…
 
NEW: Arsenal tracking Dinamo Zagreb Martin Baturina, who impressed at U21 Euros & last season when scouts were in Croatia. Valued at €15m. Checks will continue. Sales now priority & will shape further spending.

(@RyanTaylorSport)
 
Confirmed kutoka chanzo Cha kuaminika

Partey has joined up with Arsenal on the USA Tour.



Partey hauzwi OGOPA MATAPELI
 
Yes, diaby ni zaidi.

Kwa kudus hilo ni jambo la kawaida, ila huenda kocha akawa kaona anaweza kumboresha, akamtumia na akapata lroduct bora zaidi.

Ila kwangu ningetamani zaidi diaby.
 
Kwa hiyo timu zote hizo zimedrop kasoro Arse888, mkianza kuchapika usije wakimbia tu kondoo wenzio. mana unawapa wenzio matumaini makubwa kuliko uwezo wenu.

Kuna swala la Arse88 kumaliza ligi bila kufungwa😂😂😂😂
 
Kwa hiyo timu zote hizo zimedrop kasoro Arse888, mkianza kuchapika usije wakimbia tu kondoo wenzio. mana unawapa wenzio matumaini makubwa kuliko uwezo wenu.

Kuna swala la Arse88 kumaliza ligi bila kufungwa
Hawa Arsenyau jinsi wavyoongopeana humu na kuaminishana kua timu yao kwa sasa ndio bora kuliko timu nyingine yoyote hadi unabaki una

Mc Hamisi Masingeli muogope Mungu ndugu yangu, hizi zambi za kuwapa false hope hawa viumbe hazitakuacha salama mwisho wa msimu shauri yako.
 
Kikosi chenu ndo Bora basi tufanye mkuu...na mtashinda ubingwa mwaka huu maana mna squad Kali kwlikwli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…