Duuh huyu nilimsahau kabisa. Inabidi aitwe pro flopWesley Fofana alinunuliwa kwa 80M na chelsea.
Na ni bogus ila husikii watu wakimtaja
Hahahahahahaha kupata tena hivi vichekesho tunabonyeza ngapi. Arse8 mshajiweka top 4 tayari haya ligi ianze tuoneshane ubabe hamtaamini.Ligi ianze tu, top 3 wahusika tushajuana
Imebaki nafasi 1 ambayo ni ya 4 ya kugombania ili ucheze uefa
@Flano unatia aibu kulike upuuzi kama huu.tunataniana ila kuna heshima pia.huyu jamaa mimi huwa nawaza ni mmoja kati ya watu wenye maadili mabovu wanapochangia humu jukwaani.so saad acheni udhalilishaji.Sababu ni chakula chake, Ode si huwa anagawa upendo, nahis ata ugomvi wa Lecazate na Arteta kisa ni Ode kugawa upendo kwa wote wawili.
Mkuu Arsenal ni bingwaHahahahahahaha kupata tena hivi vichekesho tunabonyeza ngapi. Arse8 mshajiweka top 4 tayari haya ligi ianze tuoneshane ubabe hamtaamini.
#Tukutane May
#Arsenal ni ileile
Mbunifu wa hii jezi atakua ni mwalimu wa Geography maana kwenye jezi ameyajaza macontuar linesAway kit mwaka huu sio nzuri
3rd kit ndio imetulia sanaView attachment 2691773View attachment 2691774
Dah muundo nzuri ila rangi sio nzuri saana maana zina mg'ao sanaMbunifu wa hii jezi atakua ni mwalimu wa Geography maana kwenye jezi ameyajaza macontuar lines
Mkuu haya mambo madogo madogo yasikuumize kichwa sana.@Flano unatia aibu kulike upuuzi kama huu.tunataniana ila kuna heshima pia.huyu jamaa mimi huwa nawaza ni mmoja kati ya watu wenye maadili mabovu wanapochangia humu jukwaani.so saad acheni udhalilishaji.
Upo sahihi kabisaMkuu haya mambo madogo madogo yasikuumize kichwa sana.
Mimi kulike imekua ni kama mazoea flani nimejiwekea tu, kuna watu hua wananitukana na like pia nawagongea, ni comments chache sana ambazo hua nazisoma bila kulike.
Ukiona mtu yoyote kaandika upuuzi au jambo lolote lenye kuleta maudhi muhimu ni kukwepa kumqoute.
Kazingua Sana ,hapa nimevuta tayari home kit ,nasubiri 3rd kitMbunifu wa hii jezi atakua ni mwalimu wa Geography maana kwenye jezi ameyajaza macontuar lines
Kazingua Sana ,hapa ni home kit ,nasubiri 3rd kit
Hii away kazingua
Kwetu sisi naona 3rd kit ndio nzuri ,nimeikubalihuyu mbunifu inawezekana ndie yuleyule alietutengezea na sisi zile jezi za pundamilia, inaonekana ubunifu wake unaishia kwenye kuchora mistari mistari tu.
Ila Arsenyo home kit yenu msimu huu ni kali kinoma naona itashika nafasi ya pili baada ya jezi ya Man Utd.
Hawa Kima wamenunua Kuni na Mchele sijui wanataka kutupikia pilau, halafu wanatutambia humu kua msimu huu lazima wachukue treble.Nyie kenge ligi inakaribia hvoo endeleeni kunyonya sasa waja laana nyie
Safari hii Cha Moto lazima mkioneHawa Kima wamenunua Kuni na Mchele sijui wanataka kutupikia pilau, halafu wanatutambia humu kua msimu huu lazima wachukue treble.
Newcastle na Astonvilla mimi naona ndio wananitisha sana, Unai Emiry ameibadilisha timu ndani ya muda mfupi mno, Steven Gerrard alikua anaenda kuishusha daraja.Safari hii Cha Moto lazima mkione
Ila tuangalie na wapinzani,mm bado Chelsea na wasiwasi Sana kuingia top 6, nachelea kusema Chelsea imerudi back 2005
Kuna Newcastle, Astonvilla Brighton Spurs,halafu Kuna Liverpool,Arsenal , manjesta na city
Liverpool nilishamuwekea dhamana ila usajili wake ushanitia mashaka ,atagombea top 4 tu,
3rd kit wameshaachiaAway kit mwaka huu sio nzuri
3rd kit ndio imetulia sanaView attachment 2691773View attachment 2691774