hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,410
- 26,967
Tumefanya hivo mechi zote msimu huu ,ikiwepo ya city ambayo Pep anakiri kabisa alizidiwa umiliki mpiraMsifanye hivyo kwa timu yenye KDB na Salah.
Rice kucheza lone DM ni bomu na muda wowote linaweza kulipuka.
Bro nenda YouTube kamuangalie Tena Rice kwenye angle hizi
1.Interception
2.Passing accuracy
Halafu hiyo lone DM inachezwa 2-3-5
Anabaki peke yake lakini anasaidiwa na LB/RB anayekuwa inverted mwenye u asili wa kiungo ambaye ni either Zinchenko au Timber,
Hapa chini Ilikuwa video Kuna maongezi ya Edu Rice na Arteta ,
Edu: "Three midfielders"
Arteta: "4-3-3, left right and let him (Rice) defend"
Rice: "I'm staying don't worry"