Nahisi huu mfumo tutaucheza Sana , Kiwior Saliba Magalhaes ,timber atakuwa anakuwa kiungo na Partey , Rice au kai na ode juuIkatokea Kai kaclick na kawa ngumu kumuweka nje baadaye sana tutajikuta inabidi tucheze na back 3 ili kumpa namba White, Kai, Timber, Rice, Trossard, Partey
Kwangu mimi ningekuwa kocha ningeachana na jorginho frelo nikabaki na partey halafu lavia akaja kama backup ambaye anaingia taratibu.Ikatokea Kai kaclick na kawa ngumu kumuweka nje baadaye sana tutajikuta inabidi tucheze na back 3 ili kumpa namba White, Kai, Timber, Rice, Trossard, Partey
Viera huu msimu autumie vizuri Sana ,namba yake Ina wengi maana had Trosaard anacheza humoTulikua na Guendouz. Ana spirit kubwa ya kupambana ila tatizo lake kwangu mimi ni jamaa hana pace, stamina, control wala technic.
Nikawa nasema achague kukomaa na control na trchnic kama stamina na pcae vimemshinda. Hadi anaondoka hakuna alichokua amemaster.
Sasa hivi tuna Vieira, intelligent player ana technic but haitoshi kwa EPL. So jamaa anasumbuka mno kufanya anachotamani akifanye pale dimbani.
Hii preseason aitumie kutafuta nguvu. Goretzika ilibidi atransform mwili ili akikaa dimbani awe na impact.
Jorginho walimchukua Kama short term ,kabakiza msimu mmoja tu atasepa ,Kwangu mimi ningekuwa kocha ningeachana na jorginho frelo nikabaki na partey halafu lavia akaja kama backup ambaye anaingia taratibu.
Baada ya msimu mmoja au miwili lavia anakuwa starter.
Kwangu mimi jorginho ni upcoming liability.ni muda tu utasema
Guendouz tatizo lake lilikuwa kujua position yake ipi ,muda gan awepo wapi ,hili tatizo hata Lokonga alikuwa nalo ,Kuna mechi Øde kidogo amchape vibaoTulikua na Guendouz. Ana spirit kubwa ya kupambana ila tatizo lake kwangu mimi ni jamaa hana pace, stamina, control wala technic.
Nikawa nasema achague kukomaa na control na technic kama stamina na pace vimemshinda. Hadi anaondoka hakuna alichokua amemaster.
Sasa hivi tuna Vieira, intelligent player ana technic but haitoshi kwa EPL. So jamaa anasumbuka mno kufanya anachotamani akifanye pale dimbani.
Hii preseason aitumie kutafuta nguvu. Goretzika ilibidi atransform mwili ili akikaa dimbani awe na impact.
Kuna muda ule mwili wa vieira kama namuona Alexander hleb kwa mbali hata ile kuwa technically giftedTulikua na Guendouz. Ana spirit kubwa ya kupambana ila tatizo lake kwangu mimi ni jamaa hana pace, stamina, control wala technic.
Nikawa nasema achague kukomaa na control na technic kama stamina na pace vimemshinda. Hadi anaondoka hakuna alichokua amemaster.
Sasa hivi tuna Vieira, intelligent player ana technic but haitoshi kwa EPL. So jamaa anasumbuka mno kufanya anachotamani akifanye pale dimbani.
Hii preseason aitumie kutafuta nguvu. Goretzika ilibidi atransform mwili ili akikaa dimbani awe na impact.
Hleb alikua mkarateka so alikua mwembamba ila yuko fit 🤣Kuna muda ule mwili wa vieira kama namuona Alexander hleb kwa mbali hata ile kuwa technically gifted
Alikua ana pasi zake miyeyusho za kusakizia. Unamuona anakimbizwa na wapinzani wenzake wanatafuta position mtu kabla hajasettle vizuri anamsusia mpira wakati nyuma yake ana wapinzani 2 wanamfuataGuendouz tatizo lake lilikuwa kujua position yake ipi ,muda gan awepo wapi ,hili tatizo hata Lokonga alikuwa nalo ,Kuna mechi Øde kidogo amchape vibao
Mchezaji akijua muda gan anatakiwa awepo wapi inasaidia Sana mkipoteza mpira kuurudisha
Vieira namuona anakuja taratibu na anahitaji mech hasa za FA na Carabao
Nyumbu na Kenge ni wakuwaonea huruma mkuuTuombe zibaki rumours tu Kama zile za Xhaka mwaka Jana mwisho akabaki ,
Akipaki Partey ,nakuhakikishia Castr tutatoa vipigo Sana ,
Maana huko FA unaweka Jorginho , EPL unaanza na Rice Partey Øde, Jumanne UCL unacheza na Kai Rice Øde
Wachezaji hawachoki na quality inakuwa juu
Kuna factors naziona zitatu favor, moja city hawez kuwa Bora zaidi coz anawapoteza mahrez ,Bernado, Gundo,Walker , Laporte, na fitness ya KDB imeanza kuwa tatizo ,
Liverpool ambaye anaonekana anarejea tayari kashaanza kujipiga risasi , ameondoa watu 6 ,Hadi sasa kasajili wawili ,anatafuta DM wa uhakika ,
Spurs ,wanauza Kane ,
Manjesta na Chelsea Sina haja ya kuwazungumzia wanajulikana Kama Chelsea ile sio timu nikikundi Cha mdundiko
Oya Kuna mechi naweza kuzikumbuka Degea aliwabeba Sana ,vs Leicester ,Fulham, wolves ,n.k hata 10 zinafika walikuwa waache point , Hawa walitembea Sana na upepo wa Rashford na Bruno na Degea ,Nyumbu na Kenge ni wakuwaonea huruma mkuu
Hizo spana unazowapiga utawaua Sasa
1. ArsenalOya Kuna mechi naweza kuzikumbuka Degea aliwabeba Sana ,vs Leicester ,Fulham, wolves ,n.k hata 10 zinafika walikuwa waache point , Hawa walitembea Sana na upepo wa Rashford na Bruno na Degea ,
Unamleta onana ,beki varane old fashioned, kiungo mount na casemiro ambaye ukabaji wake ni mpaka apige tackling maana si mzuri kwa passing , maana yake turnover nyingi watamkumbuka Degea ,mark my words
Acha watupigie kelele humu kina Flano na genge lake