Yote hayo nimeyaona , ila mm mlevi Sana wa wachezaj wanaopiga pass kwa usahihi , halafu Rice nimeona anacheza 8 vzr kabisa ,
Nataman kuwaona na Partey jumlisha Zinny , Øde
Jesus ashindwe yeye tu
Willy ,hatimaye mwanao Rice katua ,ilinichukua muda Sana kumuelewa RiceAs of now hakuna timu ya kumaliza juu ya Arsenal we boya
Hapo 9 Kuna mechi acheze Kai havertzMartinel. 9. Saka
.
.
. . Rice. . Odegard
.
.
. .Partey
.
.
Zincenko. saliba. .Gabriel. Timber
. .Rambo
.
.
Hiko ndio kikosi changu jamani
Hapo namba Tisa ata ukimuweka magwaya ata-shine tu
kuta vilabu havitaleta timu uwanjani
#ArsenalNDOO
Hapo 9 Kuna mechi acheze Kai havertzMartinel. 9. Saka
.
.
. . Rice. . Odegard
.
.
. .Partey
.
.
Zincenko. saliba. .Gabriel. Timber
. .Rambo
.
.
Hiko ndio kikosi changu jamani
Hapo namba Tisa ata ukimuweka magwaya ata-shine tu
kuta vilabu havitaleta timu uwanjani
#ArsenalNDOO
Mwisho wa msimu msimamo utakua hiviAs of now hakuna timu ya kumaliza juu ya Arsenal we boya
Newcastle ikibadili kocha inakua City mpya
As of now hakuna timu ya kumaliza juu ya Arsenal we boya
The pettiness is real and I’m here for it…
Arsenal posted the Rice announcement bang on 13:05.
1:05pm.
£105m.
#Arsenal ni ileileWe all know ni wakati wa arsenal fans kutamba huu ni muda wenu tumieni vizuriii kuanzia August mpaka December ila ikifika january up to may watatamba wengine
Haya kila kheri mshabiki Lia Lia wa Newcastle ,Kuna uzi wenu humu kaufufueWe all know ni wakati wa arsenal fans kutamba huu ni muda wenu tumieni vizuriii kuanzia August mpaka December ila ikifika january up to may watatamba wengine
Timber mnyama flani hivi, nimecheki game ya Ajax vs Dort(4-1) alimficha sana halaand. Afu vijana wamekuja na sumu mixer ushabiki. Saliba X Timber itakuwa balaa kubwa.Willy ,hatimaye mwanao Rice katua ,ilinichukua muda Sana kumuelewa Rice
Kuna watu mpaka leo hawamuelewi,,
Haya kila kheri mshabiki Lia Lia wa Newcastle ,Kuna uzi wenu humu kaufufue
Cha ajabu mbona unaumia Sana na habari za Arsenal ,ndio maana nimekushauri Kuna jukwaa la Newcastle ukalifufue angalau mpate mashabiki wawili watatuThanks!! Tukutane hio August . Humu hatuwezi kuondoka sababu ni sehemu ya kufurahii na story za uongo uongo nyingi zinatupa raha hiki ni kijiwe cha epl fans wote humu , hongera mkuu kukifanya hiki kiwe kijiwe bora zaidiii ndo maana humu unaona wapo chelsea , man city, man utd , Liverpool na mimi kijana mpya wa “ THE MAGPIES”
Huwa tunakumiss ukikimbia maana ukweli usemwe tu huwa unalifurahisha na kulichangamsha jukwaa hili