NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Hawa viazi wamekwishajikabidhi kombe kabla msimu haujaanza wana sahau Liver kasajili viuongo wapya, Newcastle wanashusha vyuma, Aston Villa majembe, Brighton wana kikosi kizuri, Chelsea wana kocha mpya, Man U tunasafisha mizigo.Uongo inakupunguzia siku zako za kuishi. Inakufanya mwisho wa msimu upotea kwenye uzi wako. Lete hiyo analysis yako tuone. Sehemu uliyosema aseno anaenda kugombania ubingwa na lescister na southampton watashuka daraja nimakaa hapa
Arsenal wana maingizo mapya sajili zao zinaweza kutiki au zikachukua muda kuleta muunganiko mzuri na matokeo hio siwaoni kama faviurite kwenye kuwania ubungwa.
👉Sitashangaa Arsenal akimaliza nje ya top four. Utabiri wangu
1. Man City
2. Man U
3. Newcastle
4. Liverpool
5. Chelsea
6. Wengineo