️ | TRANSFERS: Arsenal WANT right-sided attacker.
According to FourFourTwo, the Gunners still want to get adequate backup for Bukayo Saka this summer.
“Arsenal are looking at bringing in another right-winger to compete with Bukayo Saka on the right wing.”
The Gunners nearly signed Raphinha last season, while there has also been interest in two more Barcelona players, Ferrari Torres and Ansu Fati.
Arsenal working now on completing Declan Rice deal. Jurrien Timber is done, just waiting on Arsenal’s official announcement. Video has already been shot.#AFC #Transfers #Arsenal
Hapo ni kwa Newcastle tu ila kwa man city na chelsea wako mbali zaidiii ya arsenal. Historia ipi unaongelea wewe? Kwa miaka 15 iliyopita hii ndo historia ya epl
Man city 7
Man utd 3
Chelsea 3
Leicester 1
Liverpool 1
Hii ndo history inayoleta maana , historia inaundwa na trophies tu na si kingine chochote
Huyu alishapoteaVipi yule David Neres? Benfica kutoka Ajax
Yani arsenyani mmebaki tu kuwa wapiga kelele kwa nguvu mlizotumia msimu uliopita sioni mkiwa na jipya msimu huu.@Flano allypipi kwa Arsenal hii mnaweza leta team yenu unga unga mwana kwl uwanjan ndg zng?
Teta ball ya saiv itakua kila mtu anaiogopa sio ktt kbs
Kwa Arsenal hii wapewe kombe lao mapema
Nyie mwezi huu tu tunaanza kuwa kanyaga msiwaze Mpaka ligi ianze.Sema Mikel Arteta kaunda bonge la timu, wakati unamfikiria Kai harvertz unakumbuka kuna Leandro Trossard, bado ujamgusia Saka na Martinelli, hili chama la kupiga goli tano tano tu msimu ujao. Manyumbu nayatamani tuyapige nyingi.
Nyie pigeni kelele tu sisi tunasubiri ligi ianze tuje kulaza chini wakina Ben White namna hii.We are blessed kabisa winga wa kulia Saka halafu winga wa kushoto Martinelli, Kuna timu winga wao wote masharobaroo tattoo nyingi kuliko magoliView attachment 2684598
Tatizo mkiambiwa ukweli mnanuna mnapenda kupakwa sana rangi ndo maana timu aina uefa wara ueropa tu.Ukiwa mtu wa mpira hili lazima ulione, mkuu agiza wine hapo
Na kitu ambacho wengi hamjakijua tupo phase ya 4 ya trust the process. Phase zipi 5 na mbili za bonus
Arteta is going to dominate EPL for 10 consecutive seasons
Mathematical we are ahead of time
.
Kuna watu wameamua kujitoa tu ufaham ndio wanatupigia kelele hasa hasa hawa nyumbu
Hii mech bila yule refa kuwabeba mngechomoa kweli?Nyie pigeni kelele tu sisi tunasubiri ligi ianze tuje kulaza chini wakina Ben White namna hii.View attachment 2685513
Usichanganye mambo, squad value sio sawa na expensive squad. Angalia potential na average age ya timu hizo mbili ndio utaelewa kinachoangaliwa thamani sio gharama.So do City they also have an expensive squad.
Sasa kiukweli mna timu gani jaman daahNyie mwezi huu tu tunaanza kuwa kanyaga msiwaze Mpaka ligi ianze.
Sema nyie arsenyani mnatuwaza sana man u utadhani uwaga mnashindana na sisi tu mwisho wa siku mna muachia city point 6
Nyie mwezi huu tu tunaanza kuwa kanyaga msiwaze Mpaka ligi ianze.
Sema nyie arsenyani mnatuwaza sana man u utadhani uwaga mnashindana na sisi tu mwisho wa siku mna muachia city point 6
HUNA AKILI.Funny fact: Only Arsenal fans sees themselves as giants tryna comparing themselves to the likes of Giants (ManU/Liverpool) while in reality they are just another mid table team among many from London.
Hili jukwaa lenu ni kama kijiwe tu cha kawaha,Sasa kama hii ni team ndogo, kwenye jukwaa la Arsenal unakujaga kufata nini. Si uwe unaenda kwenye hayo majukwaa ya team kubwa zako sasa.
Jinsi ulivyo king'ang'anizi na hili jukwaa utadhani ni CCM na Zanzibar. Huku huitajiki wewe nyumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja timu tumpe dk shika maana mmeanza kunenepeana ovyoHili jukwaa lenu ni kama kijiwe tu cha kawaha,
Jukwaa hili nalichukulia kama jukwaa la comedy(jokes) nakuja humu kupunguza stress tu kwa story za uongo uongo mixer na zile kamba za hamis77
ila Asenyo msimu huu mpo vizuri mkijitahidi mnaweza kubeba kombe la Mapinduzi.
Jiwe gizani BOOM💥 limekupata🏃🏃🏃🏃