hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,406
- 26,967
Yaani mtu anaumia kabisa ,dahKwhyo ulitaka tusijadili mkuu...kama inakuchukiza sana ungebaki kwenye jukwaa la timu yako kule mbona rahisi tu...kuhusishwa timu yetu na Mbappe sio ishu na inajulikana ni rumours za hewani tu....Sasa watu hawazuiwi kudiscuss hata kama ni pumba...ww kama ni WA Man UTD...nenda kule kwenu kajadilini updates za mwarabu kupewa timu na £milioni 40 mliyobakiwa nayo kusajili...kama ni Chelsea nenda kakadili kikosi chenu namna mtakavyogombea top 10 msimu ujao...kama ni Liver nenda kajadili namna mtakavyobeba ndoo kama mnavyoaminishana...lakini kuleta kejeli kisa watu Wana discuss mustakabali wa timu Yao huko ni kuwashwa kusiko na msingi