Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani mtu anaumia kabisa ,dah
 
Bayer Leverkusen close to signing Granit Xhaka from Arsenal

Arsenal are set to receive €25million (£21.5m)

Move has not been completed but talks are progressing.

(@TheAthleticFC / @JordanC1107 )
 
️Talks between Arsenal and the players management took place. Gunners considering Benjamin #Henrichs as a backup target.

Arteta, with a very good opinion about the German national
Contract at Leipzig until 2025;
important player for coach Rose.

First call about the interest:
Kicker.

@SkySportDE
 
Mikel Arteta and Albert Stuivenberg today at London Colney. Looking ahead to the start of the new season.

#AFC #COYG
 
1 - Jurriën Timber led all players in the Eredivisie last season for...

Successful passes - 2,500
Successful forward passes - 731
Passing accuracy - 91.7%
Progressive carries - 487
Carry progress - 5,038 metres

Showcase.
 
Total ball carry distance (metres) across Europes big 5 leagues 21/22


5152 - Declan Rice
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
5055 - Maxime Lopez

4965 - Vinicius Junior

4897 - Jimmy Cabot

4860 - Saint Maximin
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

Elite ball carrier


Stats from @OptaJoe
 
Basi mnatafuta vistat. uchwara ili kujipa moyo. Mmepgwa hana thaman hiyo y 100
 
Assuming XI is:

Ramsdale

White
Saliba
Gabriel
Zinny

Ødegaard
Partey
Rice

Saka
Jesus
Martinelli

9 spaces on bench:

1.Turner

2.Timber
3.Havertz
4.Kiwior
5.Tomi
6.ESR
7.Trossard
8.Jorginho
9.Riess
10.Tierney
11.Eddie/Flo
12.Viera

Who misses out
 
Mkuu statement yako ya mwisho upo serious kweli?mchezaji asubiri mwenzake auzwe huku kuna Giant anamnyemelea?
Mim ni muumin namba moja wa Partey na toka tetesi za mwanzo kabisa kuhusu Partey kuondoka nilipinga na ntapinga hadi mwisho, nilichosema ni taarifa tu za Lavia atasajiliwa endapo partey ataondoka.
 
Watu wanakasirika na kuchukizwa kumhusisha Mbappe na Arsenal sababu inakua ni kama kumvunjia heshima Mbappe.
Huko Ufaransa baada tu ya kuzagaa hizi tetesi wananchi wamekasirika kwelikweli, wameanzisha maandamano na kuchoma moto magari Barabarani kwa ghadhabu walizonazo, Waandishi wa habari wameamua kupindisha ukweli ionekane hayo maandamano yametokana na mauaji ya kijana mweusi ili isije kusababisha mzozo wa kidiplomasia kati ya Ufaransa na Uingereza.
Mbappe mwenyewe kusikia hizi tetesi za kuhusishwa na Arsenyau amemind kinoma.
Anasema huu ni udhalilishaji aliofanyiwa kwa makusudi, tayari amemwambia wakili wake a file kesi mahakamani ya udhalilishaji.
Muda huu tunaongea wakili wa Mbappe yupo kwa DPP anawasilisha malalamiko ya mteja wake ili ikiwezekana hii kesi ipelekwe moja kwa moja kwenye mahakama ya ICC maana mlichomfanyia hakina tofauti yoyote na uhalifu wa kivita.
 
Hapa napingana na wewe, tunaitaji Kombe wala sio Cash, Man city alisubiri kwa Gundo wala hakuitaji cash aliitaj kombe
 
Hakuna brother, shughul yake ishaisha kitambo sana, hakuna Room ya Caicedo Arsenal chakwanza ni bei ,Arsenal haiwez kutumia £200M kwa Dm wawili tena kwenye dirisha moja.
 
🤣🤣
 
Hapa napingana na wewe, tunaitaji Kombe wala sio Cash, Man city alisubiri kwa Gundo wala hakuitaji cash aliitaj kombe
Acha kufananisha timu tajiri kama Mancity inayomilikiwa tajiri mkubwa Sheikh Mansoor na katimu maskini kama Arsenyo.
Arsenyo kujiendesha kwake inategemea kuuza baadhi ya wachezaji ili pesa inayopatikana ndio inalipa mishahara ya wachezaji wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…