Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,698
- 4,284
Ndo tatizo la mashabiki wa NYUMBU FC, uelewa wao mdogo sana wa mambo mengine na sababu kubwa wengi wao walianza kushabikia team yao iliyokuwa inaongozwa Kwa kubebwa enzi zile za FegMan Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo. View attachment 2675342
Tangu Mzee kuondoka na Mbeleko kushney basi wote saiz hatuchekani, mlikuwa mnajiulizisha sana inakuaje Arsenal anakaa miaka 10 bila EPL ila saiz naona tunaongea lugha moja, imebaki kuwa club ya historia
Anyway, we jamaa Kuwa most valuable team haina maana Una hela, kinachoangaliwa kwenye valuation ni assets, popularity, broadcasting rights, sporting potential, salary na stadium revenue nk
Na umuhimu wa valuation ni pale ambapo team itataka kuuzwa,kuingia mkataba na sponsor nk, kwahiyo kwenye valuation hawaangalii Una cash kiasi gani na wala hawataki kujua
Club inaweza ikafirisika kwa kupunguza income revenue kama ilivokuwa Barcelona ila inabakia kuwa Most valuable Team in the world Kwa sababu ya vitu kama hivo nilivotaja juu
Kwahiyo siku ingine we Nyumbu ukiambiwa mmefirisika tafadhari usije na hiyo list ya most valuable basi tafuta means ingine ya Kujitetea kuwa hamjafirisika
NB: sina maana kuwa Man utd imefirisika, bali naongelea maana ya Most valuable Team