Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Mlinganishe kwa magoli na ST wetu waliopo.Finishing nzuri ipi hio mbona sijawahi kuiona zaidi ya nafasi za wazi anazokosa. Huyu dogo aondoke tu maana yupo toka enzi za wenger na now ndo amebaki yeye tu mkongwe
Mlinganishe kwa magoli na ST wetu waliopo.
Hesabu chances wanazokosa na anazokosa yeye
Yaani hicho unachosema ni kweli ila ndiye ana finishing nzuri kuliko aliocheza nao pale msimu uliopita kwa nafasi ya ST.Huyu dogo anafunga kwenye mazingira magumu ila kwenye clear chance ni mchomaji mimi kwangu naona huwa anabahatisha kwenye chance 5 anafunga 1
Umenikumbusha Atuganile wanguKwa ambao picha hazifunguki,
Pakueni hii app ya jf Ni nzuri
Sitashangaa tukaibukia kwa Sancho, au Jina jipyaKwenye Eneo la RW tumefichwa sana jina hata dalili za kujua nani tunamuitaji hakuna kabisa zaid ya sisi kujitungia tu aiseee.
Nawaona mkigombea kucheza Europa tena
Hakuna mwandishi muongo muongo Kama ben Jacobs ,
Kama timu yako ya LOSER ya Arsenal ilivyocheza Europa League Miaka 6 mfululizo na bado kombe hilo hilo liliwashinda kuchukua......LOSERS FC.Nawaona mkigombea kucheza Europa tena
Mbona una hasira sana mkuu...punguza makasiriko...jipangeni nyie mkachukue hyo Europa league msimu huu....si ndo level zenu sasahv huko
Tulisema hivyo hivyo mwaka 2021 na mwaka wa pili yake tukacolapse,️ |Arsenal to move for Romeo Lavia after completing Jurrien Timber deal.
Gunners hierarchy have focused on getting players Mikel Arteta wants and the Southampton midfielder is high on his list.#AFC #Transfers #Lavia
Hii Arsenal ya NDOO
Kuna watu hawataleta timu uwanjani
Msimu Jana mlisema hata top 4 hatuingii ,Cha ajabu kushika nafasi ya 2 mnaona tumefeliTulisema hivyo hivyo mwaka 2021 na mwaka wa pili yake tukacolapse,
Usitukane Mamba kabla hujavuka mto
Acha hasira subiri futuhi
Arsenal imecheza Europa miaka 6 mfululizo na kombe likawashinda kuchukua.Mbona una hasira sana mkuu...punguza makasiriko...jipangeni nyie mkachukue hyo Europa league msimu huu....si ndo level zenu sasahv huko