Keyboard_Warrior
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 6,107
- 10,473
Billionz!!!Tuambie wewe city Akiwa serious huwa anaweka dau gani kwa mchezaji...
Hakunaga hoja ya kitoto mzee, isipokuwa mawazo(mindset) ya mpokeaji hoja ndo yanaweza(inaweza) kuwa ya kitoto kipindi anapokea hoja.Humu kuna watu wanaandika hoja za kitoto
Barcelona ilikua inamtaka Rodri nafikiri.
City kumleta Rice ilikua ni kwaajili ya kujiandaa na kuondoka kwa Rodri.
Phillips bado hajaonyesha kiwango sana so ni faor akiwa na Rice.
Mfano sasa hivi City kamgeukia Veiga, huyu Veiga akikubali kwenda maana yake aanze kukomazwa amrithi Rodri.
Kwamba City haikua inamtaka Rice? Na ilipeleka ofa ili nini na nini kiwe nini? No
Page ya PPR twitter inakuambia Rice alisajiliwa wiki nyuma na City hajawahi kupeleka ofa.
Soma tena kwa sauti "HAJAWAHI KUPELEKA OFA" ila mmiliki wa Westham aliidumbukiza City ili kuipresha Arsenal kufikia ofa ambayo wao Hammers wanaitaka.
Tuassume unachowaza ni sahihi kwamba City alipeleka ofa ila hakumtaka Rice. Pesa za Arsenal sisi watu wa JF hatuzijui, tusiandike kama vile inatuuma kwamba tumewachangia then wameleta mchezaji mmoja
Grealish aliflop ndio maana akawa benchi.Grealish alinunuliwa sh ngapi?
Ameanza kua regular first XI msimu gani?
Hauwezi kukuta comments zangu, hata leo hii nimekuwa na mood tu ndiyo maana unaona michango yangu humu.
Ila pia sio lazima tufikie huku unakotaka. Nishasema, mimi ninaamini Declan hana kiwango cha kuwa regular starter katika kikosi cha Man City, hivyo City hawakuwa serious katika hii bidding saga.
Sikulazimishi kukubaliana na huu mtazamo wangu, pia sina maana kuwa Declan ni mchezaji mbaya.
Hayataki sasa! yani unaweza ukaua humu ndani.Acheni uswahili haters wa arsenal, yan roho zinawauma sana kila sku mnawasimanga arsenal kuwa ni wabahili leo kavunja benk na hii inaonyesha kabsa arsenal project is real... Arteta yupo serious sana na arsenal ...na huwez kua timu tishio ikiwa huna most valuable players kwenye team yako...declan anafit sana kwenye mfumo wa arsenal. Wengi hapa mna wivu kwakua tunajarbu kuziba makosa ya msim uliopita na tunazidi ongeza depth ya kikosi chetu just wait ...NB: MSIMU ULIOPITA KILICHOTUNYIMA UBINGWA NI DEPTH YA KIKOSI KUA NDOGO SASA SUBIRINI
Acha hizo mkuu, unakoendea utaonekana hujui mpira
Yani pep anamchezesha Stone eneo la kiungo alafu useme Rice hana uwezo wa kuwa regular starter katika kikosi cha city
Ungesema kuwa huna uhakika kama atakuwa regular starter kutokana na tabia ya pep ya kufanya rotation sana
Sawa PepOooh, John Stones!!!
Yes, John Stones, hii ndio sababu nyingine ambayo inafanya niseme Rice hana uwezo wa kuwa regular starter Man City. Hana!
Kama utaniona sijui mpira, sawa!!!
Nendeni mkaandamane kule OT mwarabu apewe timu...vngnevyo msimu ujao mtachezesha tena Kina Elanga na fantastic Captain MaguireOooh, John Stones!!!
Yes, John Stones, hii ndio sababu nyingine ambayo inafanya niseme Rice hana uwezo wa kuwa regular starter Man City. Hana!
Kama utaniona sijui mpira, sawa!!
Okay Arteta!Sawa Pep
Hao ni waongo, sio kazi ya kocha ku bid au kutobid, labda useme taarifa yote ilikuwa ni ya uongo tuWatakuwa na mawazo ya kijinga Tu ata kama ni watu wa mpira,mfano mtu kama Garry Neville pamoja na kuwa mtu wa mpira unamuonaga ana Akili timamu?
Westham walitaka £100 tangu mwanzo kabisa na hilo kila club iliyotaka huduma ya Rice walilijua
Sasa kama unajua Westham wanataka £100 umuagize pep Abid ili iweje? itabadirisha nini akibid? ilhali ukifika hela inayotakiwa mchezaji anakuwa wako?
Shangaa nawewe, Yani watu wanatafuta tu sababu ambazo zita justify kuwa City hawakumtaka RiceHao ni waongo, sio kazi ya kocha ku bid au kutobid, labda useme taarifa yote ilikuwa ni ya uongo tu
Shida ya hao wanaokataa hujajua tu wanachotaka kukielezea ngoja uoneShangaa nawewe, Yani watu wanatafuta tu sababu ambazo zita justify kuwa City hawakumtaka Rice
Kwakweli me bado sijajua, acha nisubiri nioneShida ya hao wanaokataa hujajua tu wanachotaka kukielezea ngoja uone
Hawezi kukujibu, kuna mmja nimekuuliza ivyo ivyo kala unyonyaGrealish alinunuliwa sh ngapi?
Ameanza kua regular first XI msimu gani?
Kwa kiasi icho cha hela+ muingeleza hawawezi kumuuza kamwe, ila Kuna option kibao kwenye RW tunaitaji kutumia chini ya £60m kwa Nafasi iyo... Diaby anatufaa sanaUnpopular opinion
Kwanini tusiende pale Manjesta tukamsajili Jodan Sancho ambaye anaonekana kashafeli ila kiukweli Ni ubovu wa timu maana kwa balaa alilofanya Bundesliga Tena misimu miwili au mitatu alikuwa anaonekana Ni Potential inayokuja kutisha
Ukiangalia kwanza anachezeshwa out of position ,Sancho Ni Right winger au acheze 10 kwa ku alternate
Anafaa kuwa mbadala wa Saka
Kwa dau la £35-40m manjesta watamuachia ,
Sancho Mimi bado sijaona kama kafeli, udhaifu wake labda kwenye defense. Ila kwenye phase ya kushambulia Sancho namwogopaga sana, ana flexibility kubwa sana na utulivu ila manyumbu wanasema anatetemekaUnpopular opinion
Kwanini tusiende pale Manjesta tukamsajili Jodan Sancho ambaye anaonekana kashafeli ila kiukweli Ni ubovu wa timu maana kwa balaa alilofanya Bundesliga Tena misimu miwili au mitatu alikuwa anaonekana Ni Potential inayokuja kutisha
Ukiangalia kwanza anachezeshwa out of position ,Sancho Ni Right winger au acheze 10 kwa ku alternate
Anafaa kuwa mbadala wa Saka
Kwa dau la £35-40m manjesta watamuachia ,
Haaahaa hayajui football hayoSancho Mimi bado sijaona kama kafeli, udhaifu wake labda kwenye defense. Ila kwenye phase ya kushambulia Sancho namwogopaga sana, ana flexibility kubwa sana na utulivu ila manyumbu wanasema anatetemeka