Westham wanatengeneza Bidding war na amewapatia kweli kweli aidha hadi mmoja ajitoe au mtafika 150mNasikia alichoongeza Ni upfront tu ya £5m
Ila ofa yao haina utofauti na ya Arsenal,
Imekataliwa muda huu
West Ham have turned down Man City offer for Declan Rice. #MCFC made formal proposal last night worth £80m + £10m add-ons. #WHUFC unimpressed & quickly rejected it. #Arsenal have seen 2 bids rebuffed but remain determined to sign 24yo @TheAthleticFC #AFC
[@David_Ornstein]
Westham wanatengeneza Bidding war na amewapatia kweli kweli aidha hadi mmoja ajitoe au mtafika 150m
Valuable squad ni dhamani ya wachezaji😆😂😆😂
😆😆😆😆 Labda hao waliotengeneza hiyo graphic hawajui kiingereza pia. Inabidi watu wenye akili kubwa kama Arsenal fans wachambue waielewe ila ukiwa nyumbu huwezi elewa. Kwanza wote mmeleta graphics zinazosema source ni Transfermarkt lakini moja inasema Arsenal wa pili, ingine inasema tofauti.
Pia ni rahisi kufikiri kuwa huenda mchezaji Chelsea alinunuliwa Kwa thamani kubwa lakini akiwa hapo akashuka thamani hivyo akiwekwa sokoni hana thamani kubwa. Mfano Kepa wa kununuliwa 72m huko saivi nyie nyumbu mtanunua Kwa ngapi mkimtaka.?
Yule Antony mtoto wa uswazi na mpira wa mchangani mliemnunua 100 huko mkimweka sokoni hata 10 hampati. Bado kuna Sanchoka aliyechoka kweli kweli. 75m kumnunua . Hata 40 mtapata kwake? Halimagwaya 80 hakuna mtu atamchukua hata bure
Kwa hio na wewe HENRY14 unataka kuamini kabisa kua Arsenal wachezaji wake wanathamani kubwa kuliko Buyern Munich na Chelsea.
Kisa Asaninyau ameshika nafasi ya pili kwenye ligi nyuma ya City basi na kwenye kila kitu mnaamua tu wenyewe kujiweka kwenye nafasi ya pili?
Daaahhh kweli nimeamini kushabikia Arsenyani lazima kwanza uwe msukule. View attachment 2669935
Unaongelea Most valuable squad halafu Title unaandika Most valuable Club?
Hebu kuweni Serious basi japo kidogo, msiwe mnapenda kujitoa ufahamu ili tu kufurahisha makondoo ya mchungaji Mackenzie. View attachment 2669943View attachment 2669944View attachment 2669945
Sijakurupuka na wala sikuongea kiushabiki.
Kama alikua anaongelea Most valuable squad kwa nini Title iwe ni Most valuable Club?
Kwanza hata hio valuable Squad Arsenyau yuko nafasi ya 4 huko nyuma ya Chelsea na Buyern. View attachment 2669948View attachment 2669949
Kwanza huyo Rice kwa akili ya kawaida tu unafikiri atakubali kuacha kujiunga na timu inayobeba makombe makubwa kila msimu halafu aende akachezee Kwa kina kwangu pakavu nitilie mchuzi?Hiyo habari haitaji chanzo, wapiga porojo kwenye media ni wengi nazo ni vyanzo
Ukweli ni kwamba City wakiwa serious, Rice atapenda kwenda City kuliko Arsenal labda kama Rice haelewani na PEP maana ndio kizuizi kikubwa kwa mchezaji. Mchezaji mkubwa anahitaji kukaa chini ya kocha wanaoelewana naye
Msidharau hii ili baadaye msije mkaumia sana
Mzee baba lini unanizibua makofiKwanza huyo Rice kwa akili ya kawaida tu unafikiri atakubali kuacha kujiunga na timu inayobeba makombe makubwa kila msimu halafu aende akachezee Kwa kina kwangu pakavu nitilie mchuzi?
Labda kama ulivyosema awe haulewani na kocha wa City ndio ataenda Arsenyau.
Sheikh Mansuri ada ya uhamisho anaitoa yote ndani ya msimu mmoja wakati Arsenyau wanaomba walipe kwa kudunduliza kwa miaka 5.
Arsenyo sio mteja ni dalali tu kama vile Dr. Shika mzee wa 900 itapendeza.
Kroenke's wameshazoea kununua wachezaji wa mafungu mafungu, £50,000 anapata wachezaji wake 6 au 7 unafikiri ataweza kutoa £100m kununua mchezaji mmoja?
Tumeshayaona kwa Mudryk, Caicedo na sasa hivi Rice.
Nimekaa paleeeeeee.
Halafu wakiitwa makondoo wanakasirika. Hapo wameweka hivyo ili kujifurahisha.Hivi umewahi kuwaelewa hawa jamaa."Labda hao waliotengeneza hiyo graphic hawajui kiingereza pia"
hii picha kuna muhuni mmoja amei edit, kama sio mchungaji Mckenzie basi kuna msukule mwingine uliofanya hivyo na kwa vile njia ya muongo ni fupi ikajikuta tu imejichanganya kwenye kuandika title. View attachment 2670186
Halafu wakiitwa makondoo wanakasirika. Hapo wameweka hivyo ili kujifurahisha.Hivi umewahi kuwaelewa hawa jamaa.
Wabaki na mchezaji wao....sometimes kama klabu mnatakiwa muwe na maamuzi magumu....across Europe kuna viungo wengine wakabaji wazuri kuliko yy...after all wachezaji wa Kiingereza wanakuzwa sana tofauti na uhalisia....Arsenal wanatakiwa waangalie watu wengineNasikia alichoongeza Ni upfront tu ya £5m
Ila ofa yao haina utofauti na ya Arsenal,
Imekataliwa muda huu
West Ham have turned down Man City offer for Declan Rice. #MCFC made formal proposal last night worth £80m + £10m add-ons. #WHUFC unimpressed & quickly rejected it. #Arsenal have seen 2 bids rebuffed but remain determined to sign 24yo @TheAthleticFC #AFC
[@David_Ornstein]
Kauzeni Magwaya kwanza kule OT ndo uje kufanya Fujo hmu mkuu...
Misukule wanaelewekaga basi?
Hawa dawa yao kila comment ni kupiga tu nyundo ya kichwa.
Inshallah, Leo jion tunamaliza hii biashara ,Westham wanatengeneza Bidding war na amewapatia kweli kweli aidha hadi mmoja ajitoe au mtafika 150m
Wewe jamaa badala upambane na manjesta Hali mbaya ,unahangaika na Arsenal
Misukule wanaelewekaga basi?
Hawa dawa yao kila comment ni kupiga tu nyundo ya kichwa.
Kuna muda inabidi kupambana Hadi mwisho ili kutuma ujumbe ,maana dharau Ni nyingiWabaki na mchezaji wao....sometimes kama klabu mnatakiwa muwe na maamuzi magumu....across Europe kuna viungo wengine wakabaji wazuri kuliko yy...after all wachezaji wa Kiingereza wanakuzwa sana tofauti na uhalisia....Arsenal wanatakiwa waangalie watu wengine
Soon tutaanza kuambiwa tumepigwa, tumeingia kichwa kichwa, wakati hapo kati walikuwa wanajaribu kutucheka eti tumemfukuzia mchezaji afu tumemkosaRice akionekana anaenda Arsenal tunaambiwa mbovu Mara Pep hamtaki
Ikionekana anaenda City , tunaambiwa Arsenal hatuna hela ,na bla blaa kibao
Wanafiki wamejiweka hapo Kati
Time will tell
Wote wanaotukebehi humu ,Hadi kesho angalieni msijifiche tu
Kauzeni Magwaya kwanza kule OT ndo uje kufanya Fujo hmu mkuu...
Magwaya hauziki huyo,Kauzeni Magwaya kwanza kule OT ndo uje kufanya Fujo hmu mkuu...
Hope computerarsenal hataiona hii.Rice akionekana anaenda Arsenal tunaambiwa mbovu Mara Pep hamtaki
Ikionekana anaenda City , tunaambiwa Arsenal hatuna hela ,na bla blaa kibao
Wanafiki wamejiweka hapo Kati
Time will tell