Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,698
- 4,284
Man u walianza kununua wachezaji kwa bei mbaya. Wakaharibu dressing room na performance
Wakafuata Chelsea wakaharibu dressing tukahatibu performance na sasa tunajitahidi kufagia
Arsenal Next. Mnanunua wachezaji bei ghali na kuwapa mishahata mikubwa bila sababu kitakachofuata ni manung'uniko dressing room halafu kiharibu morale ya wengine na kushika kwa performance. Kwa mchezo gani Havertz anastahiki paundi 200k kwa wiki?
Tusubiri tuone, ya Mungu mengi
ila Ben chilwel,David Fofana na Wesley Fofana wao wanastahiki kulipwa 200k Kwa week hapo Chelsea mkuu?
Kama Kai Chelsea alikuwa analipwa 150k per week unategemea angeenda team ingine alipwe chini ya hiyo au the same au lazima itapanda?