Hatulazimishi wachezajihii michezo hata Mudryk aliwafanyia sana lakini hamkomi.
Mkuu sisi Kai sio lazima auzwe,,Chelsea inawabidi wakimbizane na muda kabla ya tarehe 30 ili wafunge vitabu kuepuka FFP
Moja ya kubalansi vitabu Ni kumuuza Kai ambaye amegoma Kubaki
Ofa ya £60m ipo mezani , Ni wao sasa waseme YES
Deal doneMkuu sisi Kai sio lazima auzwe,,
Mpaka sasa hivi tunauhakika wakupata 80-100 kutoka kwa Ziyech,Mendy,Koulibaly,Kovacic
Kai anauzwa sio kwa sababu hiyo, Kai kabakiza 2 year n now sera ni usign mkataba mpya au tukuuze, na ofa wanayoleta Arsenal ni kubwa 65M sio ndogo
Mpka dirisha linaisha tutakuwa tushakusanya 200M,Deal done
£50m italipwa kwa 3 installments
15 Ni add ons
Kuanzia wiki ijayo,Dirisha mtuachie sisi sasaDeal done
£50m italipwa kwa 3 installments
15 Ni add ons
Mbona kma Chelsea wanauza sana kweli tuko salama sana kwenye soko kweli? Tunaweza kununua wachezaji wazuriKuanzia wiki ijayo,Dirisha mtuachie sisi sasa
Sasa hivi
Kovacic
Mendy
Ziyech
Koulibaly
Havert
Mount
Auba
RlC
CHO
Lukaku
Chelsea nyie Ni matapeli aiseeKuanzia wiki ijayo,Dirisha mtuachie sisi sasa
Sasa hivi
Kovacic
Mendy
Ziyech
Koulibaly
Havert
Mount
Auba
RlC
CHO
Lukaku
Mkuuu Chelsea syo wahuni ni watu hatari sanaChelsea nyie Ni matapeli aisee
Leo mmeuza wachezaji watano siku Moja
Msajili vzr mkizingua itawapa Kaz nyingine tena
Upo ndugu ,Arsenyani mmefanya biashara tena na Chelshit!!!