karibu flano ,ulipotea kidogo,
Nasikia manjesta mmefungiwa usajili
Na wewe hamis77 kwa akili zako unaamini kabisa Kroenke's watatoa £100m kununua mchezaji mmoja?Kuna tetes zinasema Sina uhakika nazo ,bajeti Ni £200m
£100m for Rice, £60m for Havertz and £40m for Timber is £200m. The reported budget.
Anything else would come after sales. Things are getting clearer.
Mangi soma vizuri... "sina uhakika,tetesi"Na wewe hamis77 kwa akili zako unaamini kabisa Kroenke's watatoa £100m kununua mchezaji mmoja?
Hata kama ni tetesi ila akili ya kawaida haikubali kuamini kama Kroenke's kwa ule ubahili wake ataweza kutoa £100m kununua mchezaji mmoja.Mangi soma vizuri... "sina uhakika,tetesi"
Wale hiyo timu wanamuuzia Sir Jim ili mshike adabu vzrwale Vilaza(Glazer) wanazingua sana na hio mali yao ya urithi.
Badala wamuuzie mwarabu fasta kina Mbappe waje Trafford wao wanaleta maringo yao ya staki nataka mpaka dirisha la usajili linafungwa.
Ila Asenyo kwenye tetesi tu za usajili mpo vizuri sana aiseeee
Wale hiyo timu wanamuuzia Sir Jim ili mshike adabu vzrwale Vilaza(Glazer) wanazingua sana na hio mali yao ya urithi.
Badala wamuuzie mwarabu fasta kina Mbappe waje Trafford wao wanaleta maringo yao ya staki nataka mpaka dirisha la usajili linafungwa.
Ila Asenyo kwenye tetesi tu za usajili mpo vizuri sana aiseeee
Wale hiyo timu wanamuuzia Sir Jim ili mshike adabu vzr
Flano unachekesha Sana, hujaona kwa Rice tumetuma ofa ya £90m wamekataa , tunajiandaa kurudi na £100mHata kama ni tetesi ila akili ya kawaida haikubali kuamini kama Kroenke's kwa ule ubahili wake ataweza kutoa £100m kununua mchezaji mmoja.
Msijitoe ufahamu, hio timu yenu ni mali ya Mpare mwenye uraia wa Marekani
Offer zenu za midomoni hizo watu hawataki kuzisikia, hata offer ikikubaliwa bado kwenye suala la malipo inakua kipengele, mtataka mlipe kidogo kidogo ndani ya miaka 5 ndio mmalize deni.Flano unachekesha Sana, hujaona kwa Rice tumetuma ofa ya £90m wamekataa , tunajiandaa kurudi na £100m
Yaan tufike £90m tushindwe 100?
January hapa si tulitoa had €95m kwa yule mudrky na £70m kwa Caicedo?
Labda Kama unatu joke
Dogo mwenyewe amekubali, amesema hakuna furaha duniani kama kua kwenye Theatre Of Dreams, amesema ni ndoto yake ya muda mrefu tokea yupo tumboni kwa mama yake siku moja awe ni miongoni mwa wachezaji wa hapo kwenye Matofali ya Kuchoma.View attachment 2662975
Manjesta mmefungiwa usajiliOffer zenu za midomoni hizo watu hawataki kuzisikia, hata offer ikikubaliwa bado kwenye suala malipo inakua kipengele, mnatakana mlipe kidogo kidogo ndani ya miaka 5 ndio mmalize deni.
Nyie tafuteni wachezaji wa mikopo tu, hao wachezaji wa pesa ndefu tuachieni Man Utd, Chelsea na Mancity.
Kuna tetes zinasema Sina uhakika nazo ,bajeti Ni £200m
£100m for Rice, £60m for Havertz and £40m for Timber is £200m. The reported budget.
Anything else would come after sales. Things are getting clearer.
Wawekezaji huwa wanafanya hivo ku inject pesa kwa klabuHapo Kroenke or his affiliates atatoa huo mkwanja kama deni with interest. Sio kwamba anamwaga tu hela