Kaputula La Marx
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 562
- 500
Hii timu umezaliwa ukaikuta na baadaye utaicha, so ukiona mienendo ya timu haipiti mle unataka ni vyema ukaachana nayo ukafanya mambo mengineNiambie kuwa PSG na Arsenal ni dhambi?hii team haiendelei reason kubwa nusu ya Arsenal fans wa 2010s na kuendelea hamna hoja za kureason tofauti na sisi wa 90s imagine unaona ni dhambi kuwa fan wa PSG na Arsenal at the same time
Siwezi kuachana nayo tatizo ndilo linaanzia hapaHii timu umezaliwa ukaikuta na baadaye utaicha, so ukiona mienendo ya timu haipiti mle unataka ni vyema ukaachana nayo ukafanya mambo mengine
Kama uliipenda mwenyew na huwezi kuiacha basi endelea kula mtori nyama utaikuta chiniSiwezi kuachana nayo tatizo ndilo linaanzia hapa
Hakuna nyama utakayoikuta kwenye MtoriKama uliipenda mwenyew na huwezi kuiacha basi endelea kula mtori nyama utaikuta chini
Pesa sabuni ya roho, ni binadamu wachache saana wenye jeuri ya kuipa pesa mgongo.Timu za Saudia zimechachamaa.
Neves kagoma kwenda Barca kaenda Al Hilal
Mendy anaondoka Chelsea anaenda Saudi
Ziyech yupo njiani
Auba bado wanaongea
Lukaku kagoma
Binafsi nakuelewa sana hoja yakoSiwezi kuachana nayo tatizo ndilo linaanzia hapa
Sisi wote ni arsenal fan tubishane lakini tusifikie hatua ya kubezana na kutukanana
tujadili kwa upendo na busara.
Pia tukubali kukutokubaliana sometimes
Yan hizi timu aisee ni hatari sana, zinamwaga pesa kama hazina akili nzuriTimu za Saudia zimechachamaa.
Neves kagoma kwenda Barca kaenda Al Hilal
Mendy anaondoka Chelsea anaenda Saudi
Ziyech yupo njiani
Auba bado wanaongea
Lukaku kagoma
Neves kaenda huku ana miaka 26 tuPesa sabuni ya roho, ni binadamu wachache saana wenye jeuri ya kuipa pesa mgongo.
Watu hawataki kuukubali ukweli kwamba tunatofautiana, poor reasoning na logic ndiyo chanzoSisi wote ni arsenal fan tubishane lakini tusifikie hatua ya kubezana na kutukanana
tujadili kwa upendo na busara.
Pia tukubali kukutokubaliana sometimes
Naked Truth tena hao wanaojifanya ni blood Arsenal Fans hata final game ya championsSisi wote ni arsenal fan tubishane lakini tusifikie hatua ya kubezana na kutukanana
tujadili kwa upendo na busara.
Pia tukubali kukutokubaliana sometimes