Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thierry Henry tells us Kai Havertz has some similarities with RVP:


“He reminds me a little, a very little, of Robin with his back to goal in the way he can hold the ball...

“Robin was always very good with his left foot, the touch was immaculate to try and bring people along…

“This is why I think out of the guys who used to be wingers or 10s, he plays as a No.9, because with his back to goal he can hold the ball well. Now he needs to make sure he can transform that into more goals”.
 
@FabrizioRomano:

“From what I understand, Thomas Partey could be on the move this summer, it’s a possibility for Partey to LEAVE Arsenal. I’m told this is very concrete, a concrete chance to find a solution. There are conversations ongoing, it’s still not advanced.” #afc
 

Tuishie hapo, Kai ninayemfahamu costing £60m plus? Kuna upingaji kwenye hili deal. Hata £30m I see him overpriced.
Hizo hela mara 100 anunuliwe olise.
 
Thomas Partey could leave Arsenal this summer. It’s a “concrete” chance that he could leave the club this summer.

Along with Declan Rice, Southampton midfielder Romeo Lavia is on Arsenal’s list this summer


.(@FabrizioRomano)
 
Humu kuna washikaji wachache sana wenye uhalali wakushangalia mafanikio ya Mikel Arteta, most people here are losers, so chaotic like women, plastic fans, Arteta outers wanaotafuta njia ya kuja kivingine kama vinyonga.
Nigga Arteta ana mafanikio gani Nigga?tuanzie hapa kwanza and then tuendelee na Mjadala umanuona Arteta ni kama Guardiola Mourinho Fergie au Wenger vile kumbe bado mtoto mothefu***** Will Jr eeti mafanikio ndio maana tunatukanwa tu humu ukikaa mbele za watu watakuona boya eti mafanikio ya Arteta heeee
 
Jifunze kwanza kuandika we nae, kuandika yenyewe hujui afu una niquote, ngoja nakupiga ignore list umbwa computerarsenal
.
 
Tuishie hapo, Kai ninayemfahamu costing £60m plus? Kuna upingaji kwenye hili deal. Hata £30m I see him overpriced.
Hizo hela mara 100 anunuliwe olise.
Unamfahamu vip Kai? Mimi nafahamu Arsenal walimtaka sana kama mbadala wa Ozil akiwa Leverkusen ,na aliuzwa kwa €100m

Unamfahamu sababu ya ubovu wa Chelsea last season au vipi?

Nakumbuka akitumika Kama false 9 alifunga Sana mabao pale bundesliga , Tukimkosa Kipind kile


Edu na Arteta wame analyze na kuona anafaa kwenye mfumo , nikuulize Hawa kina Ramsdale, Odegaard, white ,Zinny, n.k wote hao ulikubaliana nao walipoletwa ?
 
Arsenal have concrete and strong interest in Romeo Lavia. Relationship is excellent with his camp — talks already took place. #AFC

Timing will be crucial as Chelsea remain interested. Man United appreciate Lavia but still not advancing. City buy back clause only valid 2024.


Romano
 
Talent identification bila clear strategy itakua kama Wenger tu. Huyo huyo Arteta alimsajili Tavares na Vieira na Lokonga and so far wamekua disastrous so tusi exaggerate uwezo wake.

Kingine Havertz anaweza akawa mzuri ila je ana address tatizo la msingi pale Arsenal? Shida yetu kubwa na nimeongelea tokea Bado tunaongoza ligi last December kwua depth kwenye defence itatuua.

Mlibisha sana ila wote tumeona yaliyotokea alipoumia Saliba so sio Kila muda Arteta anajua Kila kitu he's a human anaweza prioritize attacking akasahau defence.

Hapo ni muhimu tusajili RB na RCB au mchezaji hybrid wa hizo nafasi mbili then twahitaji CM wawili yaani rice na sub yake then we still need sub ya Saka hapo walau tunaku better ila spending 70m kwa luxury player wakati hatuna defence depth ndio Yale Yale yanajirudia.

Tutarudi Tena hapa mwakani kulaumiana jinsi tumekosa ubingwa baada ya Saka kuumia au White kuumia!!

Same old Arsenal
 
Hizi ndio habari tunapenda sikia sio ujinga wa Harvetz
 
Whaaaaaaatttttttttttt Arteta anataka kufanya nini sijui
 
Arteta alishajiandaa bila Partey ,akimtumia Jorginho ambaye Hana rekod ya majeraha,

Ujio wa Lavia itakuwa mlango wa Partey kuuzwa
Aiseee, tunatoa Xhaka na Partey alfu tunaleta Rice na Lavia, upana wa kikosi sijui upo wapi hapa na ndicho kilichotuangusha msimu ulioisha, Partey sio wa kumuondoka kabisa akikamua game zake 20 tu msimu mzima zinatosha wengine watakamua zingine why tunataka kumuondoa Partey ?????
 
Talent ID unaipima kwa sajili zote zifanikiwe? Hakuna kocha wa hivo duniani ,Pep amefeli Mara kadhaa , Arteta kwenye sajili zake 10 unakuta 70% zinafanya vzr , hata kwenye kuendeleza vipaji, ndio maana mchezaji Kama Rice ,Kai wamevutiwa na project yake,

Kuumia kwa Saliba , Ni kweli kuliyumbisha kule nyuma ,but kumbuka ndio Kipind ambacho na Tomiyasu aliumia pia ,na Jakub kiwior alikuwa haja settle kwenye mfumo , Kama Saliba angeumia ,na Tomiyasu angekuwa ok ,bas White Ange shift RCB na Tomiyasu angecheza RB , na tunge cover tatizo ,

Maana Holding alikuwa kwenye mipango ya kuachwa msimu huu, hakuna aliyetegemea tuwapoteze Saliba ,Tomiyasu kwa wakati mmoja ,

, Jakub kiwior alipokuja kucheza alicheza vzr tu ,maana uwepo wa holding ulizuia ARSENAL kufanya build up kwa USAHIHI, Hadi Saliba hajaumia ,Arsenal ndio timu iliyokuwa inafanya buildup zinazofanikiwa kwa USAHIHI

Msimu uliopita hatukuwa na tatizo kubwa la Depth ukifananisha na msimu wa juzi, hivo Kuna progress ipo kwenye kuongeza Depth na Quality

Kama Tunamleta Rice ,lavia ,Kai ,RB ,RW Basi tutakuwa tumeongeza depth kwa asilimia kubwa

Kumbuka Tomiyasu, Saliba wanarudi pre season pia Kuna Kiwior ambaye kiwango chake Ni kizuri

Cha muhimu tunahitaji wachezaji wa 5 ambao ni versatile

Nimesikia Arteta anataka kumtumia Kai pia Kama false 9 Kama alivyotumika Leverkusen
 
Hizi ndio habari tunapenda sikia sio ujinga wa Harvetz
Nyie si ndio mlipinga ujio wa Jorginho, Ode ,n.k?

Na Kai hamumtaki ?

Ngoja tuone ,But Kai anakaribia Sana kujiunga Arsenal ,

Lavia pia mazungumzo yapo maana wakala wake ndiye kashughulikia Saka aongeze mkataba mpya
 
Hizi dalili niliziona alipoanza kupigwa bench , nili anticipate tutamsajili Lavia maana uchezaji wake unafanana Sana alongside na Rice

Nikaja kuona wakala wa Saka ndiye wa Lavia ,ndiye alipambana Sana Saka aongeze mkataba mpya ,

Kuna chance kubwa Lavia akatua na Partey akapewa mkono wa kwaheri
 
Mwamba umeongea vizuri Sana ni mshabiki wa Arsenal sisi sio wajinga kuwauzia Kai shida ya huyu mchezaji ni legelege Sana Bora uwe laini lakini unajua kuficha mpira ila kai vyote hana sio aggressive kabisa alafu ana shida ya kukosa magoal ovyo ovyo ndio maana amemaliza ana goal 9 msimu mzima kwa kweli mmetusaidia kutua mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…