Huyo wamwachie kwa laki tatu tu🤣🤣Hata Mimi simuelewi ila makocha wanamkubali... Yaani arsenal wanamtaka, Bayern wanamtaka, real Madrid wanamtaka, pia makocha wote waliopita pale Chelsea Havertz alikuwa chaguo lao la kwanza.. Sasa najiuliza, hivi Kuna Nini Cha ziada ambacho makocha wanakiona ila sisi Mashabiki hatukioni!.. Ila Kwa pesa Chelsea wanayoitaja watakuwa wametupiga sana!.. huyu ni wa £50 Hadi £55 sio £70 wanazotaka Chelsea
Kwani kila atakaesajiliwa ni kwa ajili ya kuziba nafasi ya Xhaka?Mnadhani tumeona nini Kwa Kai Havertz ambacho Chelsea wameshindwa kutumia mpaka wanuuze? Na je Kwa Nini anaonekana kuwa wa bei hiyo? Ataimudu nafasi ya Xhaka au?
Nimesema hivyo Kwa sababu Kai ni kama kiungo mshambuliaji zaidi hivyo huenda tunamtaka asaidiane na Odegaard kama ilivyokuwa XhakaKwani kila atakaesajiliwa ni kwa ajili ya kuziba nafasi ya Xhaka?
Sina tatizo na kai ila personally simuelewi.,Harvetz hakuna kitu pale
Westham Wanataka £120m, ila wapo tayari kupokea £100m ,Arsenal wameandaa ofa ya £90m +10m add ons
Kinachofanyika Arsenal wamebadili utaratibu wa kumtaka mchezaji, Wanataka maongezi kwanza yawe sawa ,wakubaliane ,ili wakituma ofa ikubaliwe Moja kwa moja ,yasianze mambo yakutuma ofa ya 2,3 n.k
Hadi Sasa Bayern kakimbia
Rice anataka kuja Arsenal walishaongea na Arteta muda mrefu
Vyanzo vyote vya kuaminika vinasema dili litaisha wiki hii kwa Arsenal kuweka Ofa Moja mezani ,maana mazungumzo yameenda vizuri ,na hasa huwa Ni kwenye ulipaji upfront na zile add ons.
Hizi dili za €100m , £100m huwa sio rahisi kihivo , zinachukuaga hata mwaka
Kaangalie dili la Jude Bellingham , Liverpool aliishia njian ,Madrid ikamchukua muda
Kaangalie had manjesta analipa €100m kwa Anthony alivyohenyeshwa
Kaangalie Enzo Fernandez ,ilibidi bodi nzima ya Chelsea ipande ndege kukamilisha dili
Hao mancity unaowasema wanamtaka Kova kutoka Chelsea ,kwa €35m tu lakini Ni wiki 3 Sasa wanaenda mwezi hawajakamilisha
Kifupi TUACHE MIHEMKO
Huyo jamaa huwa anawajaza ujinga na huwa hata hawashtuki, kama makondoo vile.Utaratibu umebadilika siokwamba arsenal wanakaa mezani wanakubaliana then wanatuma ofa moja. Tayarii wametuma hio moja imekataliwahizi za utaratibu kubadilika umeutoa wapi mbona tayari wametuma na imekataliwa endelea kuwapa false hope vijana
Huyo jamaa huwa anawajaza ujinga na huwa hata hawashtuki, kama makondoo vile.
Nahisi huko aliko huwa kuna mda akikaa anaanza kuwacheka mazuzu wake.
Wewe jamaa unawashwa Sana ,maana nilikukataa bado husikii , mbona mm nilikwambia sikusikilizi, au unatafuta bwana humu? Sikujui ,ila kutwa kunifatiliaUtaratibu umebadilika siokwamba arsenal wanakaa mezani wanakubaliana then wanatuma ofa moja. Tayarii wametuma hio moja imekataliwahizi za utaratibu kubadilika umeutoa wapi mbona tayari wametuma na imekataliwa endelea kuwapa false hope vijana
Unayeongea Sasa Ni mshabiki wa timu ambayo imemaliza nafasi ya 12 na haujui msimu ujao mtagombea kushuka daraja au KubakiHizi kondoo ukizisikia zivyosifia sajili zao, utafikiri mnanunua wachezaji kutoka sayar nyingine, kumbe mnaenda kupgwa kwa Havertz, mchezaji ambaye mpk Bayern na Mardird zimejitoa ndio ujue ni kiasi gani ni mchezaji wa hovyo.
UBwabwa pia mnapgwa
View attachment 2658557
Wewe jamaa unawashwa Sana ,maana nilikukataa bado husikii , mbona mm nilikwambia sikusikilizi, au unatafuta bwana humu? Sikujui ,ila kutwa kunifatilia
Yaani kuripot habari za Arsenal humu unaumia ,shida Nini? Au kwenye majukwaa yenu hamna wakujadili nao ,unakuja kutafuta engagement humu?
Move on Basi
Kuna sehemu nimekujibu ,why unawashwa na mimi kila ninachopost?Jamaa mbona makasiriko sana !!!! Kwani mimi ndo nimefanya arsenal akose ubingwa!! Ukidanganya tupo tayariii kukataa na kusema huu ni uongo huu ni ukweli wala si kwamba nakufuatilia, wewe kama hunisikilizi sawa. Matusi ya nini tena brother, wewe kwenye thread za man city, man utd , chelsea au Liverpool huchangiangi kwa kuponda ama!! Acha makasiriko wewe !
Tatizo unatudanganya tukikuambia unakuwa mkali kwani si maneno yako hayo ulisema arsenal anapeleka bid moja tu utaratibu umebadilika !!
Hili sio jukwaa lako pekee ako mzee kila moja ana haki ya kuchangia