Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukweli mchungu

Arteta anamuamini Sana Jorginho kuliko Partey

Yupo tayari kumpiga Bei Partey dirisha hili akimpata Caicedo lakini sio JorginhoView attachment 2657894
Sio kweli!.. Jorginho alipata nafasi ya kuanza mbele ya Partey mechi za lala Salama Baada ya kiwango Cha Partey kupolomoka hasa kwenye hizi mechi 8 za mwisho. Kumbuka kuwa miongoni mwa vitu vilivyosababisha tukose ubingwa ni kutetereka Kwa kiwango Cha Partey, Kwa hiyo Arteta hakuwa na namna zaidi ya kumchezesha Jorginho!..
 
Halafu Partey ndiye anataka kuondoka Baada ya kuona anakuja Rice na Caicedo.. Yule Jorginho hata ukimuuza huwezi kupata hela ya maana, Huyo Jorginho ni Back up tu hapo kwenye midfield na Hana concistency ya kucheza msimu mzima.. huyu hatauzwa Bali ataondoka Bure mkataba wake utakapoisha next season
 
Arsenals first game of the 23/24 season will be against Nottingham Forest, at the Emirates stadium on Saturday 12:30(UK time)


[@Teamnewsandtix]- Tier 1
 
️ | TRANSFERS: Arsenal launch opening bid for Havertz.

: Transfer guru Fabrizio Romano (@FabrizioRomano) has confirmed that Arsenal have made an opening bid for Chelsea’s Kai Havertz.

Romano: “Talks have started, and an opening bid has come in from Arsenal for Chelsea forward Kai Havertz.”

“Arsenal are working on this surprise deal, which comes following quick developments in the last few days also with Real Madrid, who were interested but who are no longer in the race.”

“Chelsea could be flexible in terms of their value (£70m) in order to make this deal happen, because they know the Germany international won’t extend his contract.”

Arsenal are willing to spend £60m on Havertz this summer with a £200k per week deal lined up. #AFC #Transfers #CFC #Havertz
 
️ | TRANSFERS: Arsenal still in contention for Joao Cancelo.

: According to Fabrizio Romano, Arsenal have had contact with Joao Cancelo as Man City look for a solution regarding the player’s future.

Romano: “Manchester City want to find a solution for João Cancelo before the pre-season as Portuguese fullback will be available on the market.”

“Discussions will take place soon as the interest of Barcelona remains strong — Arsenal also had contacts on player side.”

Despite being reluctant to sell to Arsenal again, City might have to as Arsenal could present the best financial offer by far.

Barcelona also interested, who are reportedly looking for a loan move while Man City want to sell him permanently.

Will be interesting to see how big Arsenal decide to go this window. #AFC #Transfers #MCFC #Cancelo
 
Rice £90m

Kai havertz £60m

Cancelo £35-40m

New RCB £25-30m

RW £40m

Total £250-260m


Vyanzo vinasema Priority Ni Kai na Rice., Hivo sioni tukimleta Caicedo ,labda tusubiri surprise
 
Dili la Rice nalifatilia kwa ukaribu Sana ,kuanzia vyanzo vya kuaminika vya Westham , vya Arsenal , na vile global Kama Romano, Ornstein ,n.k

Vyanzo vya ujerumani vya kuaminika vimethibitisha kabisa Bayern kajitoa mazima baada ya Rice kusema anataka abaki London

Kilichopo mazungumzo yapo vzr na Ni kuhusu ulipaji ndio inakuwaga issue

Hizi dili za €100m,£100m+ ,Mara nyingi huwa pesa hailipwi yote Kuna upfront inatangulia kwanza ,

Mpaka Sasa klabu zote zilizokuwa zinamtaka Rice zimejiondoa baada ya kuonekana Arsenal alishamalizana nae muda mrefu toka round ya kwanza mechi ya pale Emirates

Pia Jack wilshere aliongea nae Rice

hamis77 asante kwa kutuhabarisha, lakini acha kuandika kitu repetitively.
 
FabrizioRomano:

"Mikel Arteta anamkubali sana kai, ni shabiki mkubwa wa uchezaji wake na anahisi huyu ni mchezaji mwenye nafasi ya kukua na kuimarika, licha ya kutetereka kwasasa"

Arsenal wamefungua mazungumzo ya kutaka kumsajili Kai Havertz kutoka Chelsea
 
𝙊𝙁𝙁𝙄𝘾𝙄𝘼𝙇: Game Week 1 Premier League fixture list:

Chelsea 𝐯𝐬. Liverpool
Arsenal 𝐯𝐬. Nottingham Forest
Man Utd 𝐯𝐬. Wolves
Burnley 𝐯𝐬. Man City
Bournemouth 𝐯𝐬. West Ham
Brighton 𝐯𝐬. Luton
Everton 𝐯𝐬. Fulham
Sheffield United 𝐯𝐬. Crystal Palace
Newcastle 𝐯𝐬. Aston Villa
Brentford 𝐯𝐬. Tottenham
 
Wangekuja Rice na Caicedo tungetisha sana msimu huu!.. ila tukiwapata Rice na Kai pia sio mbaya japo simwamini sana huyu Havertz.. Sijajua kwani Arsenal wamehamisha priority toka Kwa Caicedo kwenda Kwa Havertz.. Hata hivyo naliamini sana chama langu!... Nasubiri Kwa hamu kuona hili Dili linakamilika!
 
Halafu Partey ndiye anataka kuondoka Baada ya kuona anakuja Rice na Caicedo.. Yule Jorginho hata ukimuuza huwezi kupata hela ya maana, Huyo Jorginho ni Back up tu hapo kwenye midfield na Hana concistency ya kucheza msimu mzima.. huyu hatauzwa Bali ataondoka Bure mkataba wake utakapoisha next season

Je ni kweli caicedo na rice watakuja, labda arsenal tula na si hii arsenal kwanza usishangae hapo mkawakosa wote wawili , mchezaji ambaye labda anaweza kuja arsenal ni labda huyo kai havertz maana hatakiwi na timu yoyote ile zaidi yenu!! Nikiwa bado arsenal fan nilikuwa siaminiii chochote mpaka nione ameshika jersey japo hata cadra alishika jezi na bado arsenal ikamkosa
 
Arsenal's first six PL games:

Arsenal v Forest
Palace v Arsenal
Arsenal v Fulham
Arsenal v Man United
Everton v Arsenal
Arsenal v Tottenham

Last three games:

Arsenal v A.F.C. Bournemouth
Man United v Arsenal
Arsenal v Everton
 
Rice £90m

Kai havertz £60m

Cancelo £35-40m

New RCB £25-30m

RW £40m

Total £250-260m


Vyanzo vinasema Priority Ni Kai na Rice., Hivo sioni tukimleta Caicedo ,labda tusubiri surprise
Tunahitaji kupata mchezaji mmoja kati ya RB / RCB, vilevile mmoja kati ya ST/RW. Tunaweza kusajili wachezaji wanne tu wa pesa ndefu wakatupa full squad depth.
 
Sio kweli!.. Jorginho alipata nafasi ya kuanza mbele ya Partey mechi za lala Salama Baada ya kiwango Cha Partey kupolomoka hasa kwenye hizi mechi 8 za mwisho. Kumbuka kuwa miongoni mwa vitu vilivyosababisha tukose ubingwa ni kutetereka Kwa kiwango Cha Partey, Kwa hiyo Arteta hakuwa na namna zaidi ya kumchezesha Jorginho!..
Hii sio kweli, afu hii haitakiwi, tusichukulie mambo makubwa kiwepesi.
 
Back
Top Bottom