joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,848
- 39,510
Kama kawaida yetu tetesi zunatuhusisha kusajili mchezaji wa mil 100 mwishowe tuna msajili wa mil 30.
Kwan wameachana Rice? Habar umetoa wapi hiiKama kawaida yetu tetesi zunatuhusisha kusajili mchezaji wa mil 100 mwishowe tuna msajili wa mil 30.
Sio kweli!.. Jorginho alipata nafasi ya kuanza mbele ya Partey mechi za lala Salama Baada ya kiwango Cha Partey kupolomoka hasa kwenye hizi mechi 8 za mwisho. Kumbuka kuwa miongoni mwa vitu vilivyosababisha tukose ubingwa ni kutetereka Kwa kiwango Cha Partey, Kwa hiyo Arteta hakuwa na namna zaidi ya kumchezesha Jorginho!..Ukweli mchungu
Arteta anamuamini Sana Jorginho kuliko Partey
Yupo tayari kumpiga Bei Partey dirisha hili akimpata Caicedo lakini sio JorginhoView attachment 2657894

️ | TRANSFERS: Arsenal launch opening bid for Havertz.
: Transfer guru Fabrizio Romano (@FabrizioRomano) has confirmed that Arsenal have made an opening bid for Chelsea’s Kai Havertz.
Romano: “Talks have started, and an opening bid has come in from Arsenal for Chelsea forward Kai Havertz.”

#AFC #Transfers #CFC #Havertz
️ | TRANSFERS: Arsenal still in contention for Joao Cancelo.
: According to Fabrizio Romano, Arsenal have had contact with Joao Cancelo as Man City look for a solution regarding the player’s future.
Romano: “Manchester City want to find a solution for João Cancelo before the pre-season as Portuguese fullback will be available on the market.”


#AFC #Transfers #MCFC #CanceloDili la Rice nalifatilia kwa ukaribu Sana ,kuanzia vyanzo vya kuaminika vya Westham , vya Arsenal , na vile global Kama Romano, Ornstein ,n.k
Vyanzo vya ujerumani vya kuaminika vimethibitisha kabisa Bayern kajitoa mazima baada ya Rice kusema anataka abaki London
Kilichopo mazungumzo yapo vzr na Ni kuhusu ulipaji ndio inakuwaga issue
Hizi dili za €100m,£100m+ ,Mara nyingi huwa pesa hailipwi yote Kuna upfront inatangulia kwanza ,
Mpaka Sasa klabu zote zilizokuwa zinamtaka Rice zimejiondoa baada ya kuonekana Arsenal alishamalizana nae muda mrefu toka round ya kwanza mechi ya pale Emirates
Pia Jack wilshere aliongea nae Rice

𝙊𝙁𝙁𝙄𝘾𝙄𝘼𝙇: Game Week 1 Premier League fixture list:Halafu Partey ndiye anataka kuondoka Baada ya kuona anakuja Rice na Caicedo.. Yule Jorginho hata ukimuuza huwezi kupata hela ya maana, Huyo Jorginho ni Back up tu hapo kwenye midfield na Hana concistency ya kucheza msimu mzima.. huyu hatauzwa Bali ataondoka Bure mkataba wake utakapoisha next season

japo hata cadra alishika jezi na bado arsenal ikamkosa

Tunahitaji kupata mchezaji mmoja kati ya RB / RCB, vilevile mmoja kati ya ST/RW. Tunaweza kusajili wachezaji wanne tu wa pesa ndefu wakatupa full squad depth.Rice £90m
Kai havertz £60m
Cancelo £35-40m
New RCB £25-30m
RW £40m
Total £250-260m
Vyanzo vinasema Priority Ni Kai na Rice., Hivo sioni tukimleta Caicedo ,labda tusubiri surprise
Hii sio kweli, afu hii haitakiwi, tusichukulie mambo makubwa kiwepesi.Sio kweli!.. Jorginho alipata nafasi ya kuanza mbele ya Partey mechi za lala Salama Baada ya kiwango Cha Partey kupolomoka hasa kwenye hizi mechi 8 za mwisho. Kumbuka kuwa miongoni mwa vitu vilivyosababisha tukose ubingwa ni kutetereka Kwa kiwango Cha Partey, Kwa hiyo Arteta hakuwa na namna zaidi ya kumchezesha Jorginho!..
Pointi 15 clean kibindoni.Arsenal's first six PL games:
Arsenal v Forest
Palace v Arsenal
Arsenal v Fulham
Arsenal v Man United
Everton v Arsenal
Arsenal v Tottenham
Last three games:
Arsenal v A.F.C. Bournemouth
Man United v Arsenal
Arsenal v Everton
Nimeongea kutokana na experience ya timu yetu, unaweza ukakuta tunahusishwa na mchezaji wa mil 100 then tuna sajili wa mil 30,sometimes hata kufuatilia tetesi za arsenal unaona uvivu.Kwan wameachana Rice? Habar umetoa wapi hii