Mimi na wewe nan hana hoja , nakupinga kwa hoja bado unaona sina hoja unaongopea watu tuendelee kukuangalia tu !
Wakati unaongoza league game 28 si huyu huyu hamis alikuwa anatudanganya sijuiii arsenal wanavyopishana oooh man city anaenda kufa pale pale etihad
Si ndo wewe zilivyonaki mechi 10 ukaanza kusema ubingwa ni wenu hata mkipoteza still city nae atapoteza si ni wewe ama tunakusingizia braza
Si ni wewe ulisema kila moja ashinde mechi zake when it was 8 games to go!! Si ni wewe uliesema liverpool mbovuu itakufa si chini ya goli 3 wakileta mpira wa kupishana !!
LEO KAGEUKA MANENO YAKE BAADA YA KUKIMBIA AKAJUA TUMESAHAU ET MAN CITY NI EXCEPTIONAL
HUKUJUA HILI WATU HUMU SI WALIKUAMBIA !! Kina computerarsenal wakisema ooooh unakuwa mkali wewe arsenal huhijuiii kuliko tunavyoijua sisi wadanganye watoto