Hivi unaelewa hata maana ya squad depth?
Ukitoa man city, timu gani nyingine Ina GD kubwa ya kuizidi arsenal?
Huyo central striker nani unayetaka asajiliwe, mwenye uwezo wa kumweka nje Jesus na Trossard ukimtoa osihmen

real na unaenda cheza uefa!!Hivi unaelewa hata maana ya squad depth?
Ukitoa man city, timu gani nyingine Ina GD kubwa ya kuizidi arsenal?
Huyo central striker nani unayetaka asajiliwe, mwenye uwezo wa kumweka nje Jesus na Trossard ukimtoa osihmen
tierney tu amekaa pale anakula bench now anaweza kusepa zake newcastle , dogo alikua yupo fresh tu na kuna baadhi ya mechi unaona kabisa alikuwa anahitajika sana tu!! Lakini arteta kakomaaa tu, mcheki pep kuna baadhi ya game madogo kama lewis na Ortegaaa wameanza fresh tu huku wakina rodri wamepumzika na ederson ! Lini umemuona turner sijuiii yule kipa no 2 wa arsenal kaanza?? Hio squad depth unayosema wewe je kocha anaweza kuhimili mikiki yake usione tu pep anafanya ukaona ni easy thing!!! Kwahiyo unashauri Arteta afukuzwe?Squad depth? Kwa arsenaltierney tu amekaa pale anakula bench now anaweza kusepa zake newcastle , dogo alikua yupo fresh tu na kuna baadhi ya mechi unaona kabisa alikuwa anahitajika sana tu!! Lakini arteta kakomaaa tu, mcheki pep kuna baadhi ya game madogo kama lewis na Ortegaaa wameanza fresh tu huku wakina rodri wamepumzika na ederson ! Lini umemuona turner sijuiii yule kipa no 2 wa arsenal kaanza?? Hio squad depth unayosema wewe je kocha anaweza kuhimili mikiki yake usione tu pep anafanya ukaona ni easy thing!!!
Stones , Ake na Grealish kuna muda walisugua benchi haswa tena si msimu moja lakini walikuepo man city na now tunaona matokeo yake !! Tierney msimu huu tu tayariii anataka kupigwa bei!! Jesus alivyokuwa injury kuna muda combination ya trossard, martinelli, saka ilikubali sana hasa trossard nashangaa akaanza kula bench trossard!
Arteta ni kama alikariri mchezo moja tu hakuwa na alternatives just cheki kuna muda trossard alicheza namba ya saka or vile saka akiwa hayupo uone mpira wa ovyo unavyochezwa upande wake . Kocha kama ana njia moja tu hata hio squad iwe kubwa kiasi gani it will be nothing!!!!
Shabiki la Manyumbu, anabidili majina tu kuchafua hali ya hewa, apuuzwe tafadhali.Kwahiyo unashauri Arteta afukuzwe?
Umejaa negativity tu
Kwahiyo unashauri Arteta afukuzwe?
Umejaa negativity tu
Sporting LisbonKuna timu gani ya kutisha kule, ??



Malengo ya aseno unayajua? Kila mtu na malengo yake usilazimishe vituKati ya Asenyo na andazi ni bora andazi.
Unaongoza ligi kwa siku 258 umebakiza mechi 8 na unaongoza kwa points 8 halafu unakosa ubingwa?
Halafu mijitu ilivyo mizuzu inajisifia kabisa humu kua imevuka malengo
Unavukaje malengo bila kucheza hata robo fainali ya kombe lolote?
Unavuka malengo bila ya kuchukua hata kombe la kuku yaani Carabao, FA, Europa, Pl zote hizo ukose halafu unajisifu kua umevuka malengo?
Si bora hata ule msimu mliobeba FA kidogo unaweza kujitapa walau una chochote kitu.
Asenyo na mashabiki wake wana mentality za mid table team, ni bora hata ya Brighton kuna kitu walau kinaonekana ila sio kwa hii misukule ya Arteta.
Huko UEFA kwenyewe mkitoboa kwenye group stage mi nimekaa paleeeeeee. View attachment 2646593
Naona hii kauli ya kulinganisha taasisi,watu na maandazi ni kauli ya kua na akili za kitoto ila zenye umbo na mwili mkubwa, mwanaume aliyekamilika kwenye idara zote huwez fanya hiki kitu.Kati ya Asenyo na andazi ni bora andazi.
Unaongoza ligi kwa siku 258 umebakiza mechi 8 na unaongoza kwa points 8 halafu unakosa ubingwa?
Halafu mijitu ilivyo mizuzu inajisifia kabisa humu kua imevuka malengo
Unavukaje malengo bila kucheza hata robo fainali ya kombe lolote?
Unavuka malengo bila ya kuchukua hata kombe la kuku yaani Carabao, FA, Europa, Pl zote hizo ukose halafu unajisifu kua umevuka malengo?
Si bora hata ule msimu mliobeba FA kidogo unaweza kujitapa walau una chochote kitu.
Asenyo na mashabiki wake wana mentality za mid table team, ni bora hata ya Brighton kuna kitu walau kinaonekana ila sio kwa hii misukule ya Arteta.
Huko UEFA kwenyewe mkitoboa kwenye group stage mi nimekaa paleeeeeee. View attachment 2646593
Malengo ya aseno unayajua? Kila mtu na malengo yake usilazimishe vitu

utasikia saivi tupo phase 3. Utafikiri kama growth of insects 
.
. Haitakaa itokee chance kama hiii kwa miaka mingine 20. Aliyetukosesha ubingwa ni majeruhi ya Saliba na Tomiyasu.. Toka alivyoumia Saliba timu iliyumba ikawa haiwezi tena kuanzisha mashambulizi toka nyuma!.. yaani tukawa hovyo kabisa huko nyuma.. kibaya zaidi athari zikaenda Hadi Kwa midfield yetu kutokuwa na consistency na partey akaanza kupuyanga baadhi ya mechi... Kitendo Cha Holding kucheza badala ya Saliba ilikuwa disaster maana jamaa alikuwa kutuchoma.. Angekuwepo Tomiyasu angeanza beki ya kulia na ben white angerudi kucheza nafasi ya Saliba. Kiukweli mechi tulizoshinda Saliba akiwa hayupo ni chache sana (nyingi tulipigwa).... Anyway!... Tufurahie hata hapo tulipofika Sasa, timu imejitahidi sana msimu huu!





Sio mbaya man city hakibeba UEFA tunacho furahia sisi Wenger orphas mtabaki peke yenu klabu kubwa yenye aina kombe la ulayaTunakumbushana msimu mzima Manjesta fans walimshangilia City kwenye Ligi lakini mwisho wa story ni City kumfunga Manchester United kwenye fainali ya FA na kuvunja rekodi ya Sir Alex Ferguson Kwa kuchukua UEFA champions league against Inter Milan Mark this![]()






































































Nyumbu hawana hela ya usajili watasajili nani sasa,.zaid ya kushinda umu kupiga kelele, uzi wa chelsea wapo bize kujadili matatizo ya timu yao na nini suluhisho na wachezaji gan wanaondoka na wachezaji gani wanatakiwa kuja pale, ila nyumbu hawana hata tetesi zaid ya kujadili kesi ya Antony ukoSeason imeisha hiyo kaleni bata kwenye team zenu,, sahivi tunataka kuongelea usajirii..
Nyiee nyumbu,liverkuku, cheltako. Manshit .
Kiasi Gani?Pablo Mari ameuzwa Monza
6MKiasi Gani?