Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Newcastle anauefa ujue
 
Sawa
 

Sawa endelea kukomaa!!!! Newcastle hawana tofauti na arsenal tena bora Newcastle probability yakuchukua epl before arsenal ni kubwa. They are not bottlers like arsenal, wanajenga timu tunaiona na wana ushindani. You can’t compare them with mediocre arsenal. Wewe unakuja kusema eti arsenal ina project ooh inanunua vijana hii haijaanza wakati edu kaingia pale as sport director ilikuepo mpaka kuna muda ikawa inaitwa timu ya vijana. Kina helb, flamini, cesc na wengine kibao wakaona kabisa hapa arsenal hatutoboiii!!wakakimbia.
Mara ya mwisho arsenal kuchukua ubingwa ronaldo na messi walikua hawana hata ballon d or moja now mpaka wanakaribia kustafu still nothing change arsenal profile yake iko vile vile . Progress ya arsenal ni ipi sasa hapo , tunachojaribu kuwaambia ni arsenal ipo sawa na crystal palace , Leicester, westham na spurs sio timu kubwa kama mnavyoipamba nyie mashabiki
 
Huyu hapana
Kuna muda inabidi kukubaliana kutokukubaliana.Naheshimu mawazo yako with due respect.Ila niwe mkweli nna mashaka na ushabiki wako kwa arsenal.
Mkuu jaribu kufanya utafiti mdogo juu ya neno ushabiki halafu jilinganishe na wewe kisha rudi hapa ututazame usoni kama kweli una sifa za kuitwa shabiki.
Sina tatizo na critics zako, ila huonyeshi njia.
Sijawahi kuona tactical analysis zako kuhusu team kwa ujumla
Sijawahi kuona technical analysis zako kuhusu wachezaji wetu
Sijawahi kuona breakthrough proposal yako namna tunavyoweza toka hapa.

Unajua kulalamika tu.only that
Mwisho nikufungue macho.ushabiki ni imani,ni ufuasi,ni kujitoa

Kwako Labyrinth 84
 
Wapi Newcastle anaizidi arsenal ktk kipindi hiki?
 
Wapi Newcastle anaizidi arsenal ktk kipindi hiki?

Wapi Newcastle anaizidi arsenal ktk kipindi hiki?

Kwa sasa wapo the same level!!. Unajua Newcastle ilikua nafasi ya 17 wakati Eddie howe anaichukua timu?. Kwa postion iliyopo saivi ( top 4 ) huu ndo mfano halisi wa progress ya timu na hata passion na uchezaji wao unaonyesha timu inaelekea wapi!
Njoo kwa The bottlers ina progress gani? Mistakes zile zile zinajirudia every season in different way iwe kuipata top 4 or to win the title hali huwa hivi








Zote hizi wachezaji tofautiiii kocha tofautiiii lakini the same end result!!!
 

Nilikua shabiki wa arsenal lialia kabisa tena kipindi nipo at young age nishawahi kutoa machozi kabisa kisa arsenal na si mimi pekee angu
naungana na kina fabregas, wilshere na wengine na si mimi tu wa kwanza kukimbia kasepa rvp, cesc , clichy, sagna na chamberlain waulize kisa cha kukimbia arsenal wote jibu lao ni moja arsenal ni amature & loser team.
Hakuna breakthrough proposal kwa arsenal yakutoka hapo ilipo thats why i left, kajaribu wenger , arteta na unai emery wote wameshindwa . End result imekua ni ile ile japo kulikuwa na different coach, players and staff lakini final result imekuwa the same for 20 fucking years!!!!!!!!!
Kama ushabiki ni imani basi nimekua na imani hio kwa miaka 20 , na kama ushabiki ni ufuasi na kujitoa i have done that for 20 years what i have got in return? Pain & despair
 
brother umeua aiseeee,
Endelea kuwapa somo hawa misukule huenda labda wakazinduka.

Kula chuma hiooooo
 
Kule mnaenda kuidhalilisha tu Epl kwa vipigo vya mbwa koko, pona yenu ni mtolewe kwenye hatua za makundi.
 
Haya ni maneno ya captains wa arsenal kipindi hicho? Je walichokisema si kweli au ni kweli majibu unayapata baada ya kuondoka arsenal wote walichukua ligi

Haya ndo wanachopitia kwa sasa saka na odergard ila hawasemii tu
 
We jamaa una nondo za hatarii, nimekua nikufatilia unajua kuchambua mada kw facts.
Sasa hawa viazi uwasikie wakiichambua Ass anal yao humu utasikia tunaovalodi mid, Ass nal haifungiki, Arteta alimfundisha ukocha Pep. na upuuz kibao, unakaa unajiuliza hawa zitakua zimetimia kweli.
Kwa nondo unazozishusha wasipoelewa watakua wendawazimu.
 
Daaahhh yaani huyu Labyrinth 84 anatembea na Facts mwanzo mwisho, anakupa evidence na vivid example za kutosha yaani hata ukiwa unamletea ubishi unaihisi nafsi yako mwenyewe inakusuta.
Hongera sana mkuu Labyrinth 84 dunia nzima inasimama na wewe dhidi ya Arsenyani.
 
Sio Newcastle, hata Arsenal graph yake imepanda kwa kuangalia Arsenal ya misimu minne iliyopita na sasa.

Tulikuwa tunalalamika kutocheza Uefa Champions league misimu zaidi ya 7 lakini mwaka huu tumepata hiyo nafasi, kwanini usiseme ni mfanikio pia.

Tulikuwa tunacheza Mpira hata haueleweki Enzi za Unai Emery lakini leo hii tunacheza mpira ambao kila mtu anavutiwa nao.

Arsenal ni kama Imani kwa sisi wengine, wacha ituue but the future looks so bright 🌞
 
100%% wachache wanaelewa hili,
 
100%% wachache wanaelewa hili,
Kwa kweli Mkuu, shida ya Vijana wengi hawajui kuwa na subira. Ndiyo maana wengi wamehamia City kwaajili ya kushindwa kuwa wavumilivu na Project za Arsenal
 

Thanks mkuu. Hawa arsenal fans wengine wanakuwa na mapenzi yaliyopitiliza na timu kuliko uhalisia wa mambo yalivyo tunawaonyesha mpaka mifano lakini wamezama ndani ya penzi la losers!! . Mtu anakwambia arsenal ina project unamuuliza project gani na ni ya miaka mingap? Miaka 20 with different players coaches na hata staff bado end product ni ile ile for 20 years hio project wanayosema ni ya miaka mingapi?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…