computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
NotedMajibu ya swali lako nimelijibu kwa kueleza ufanye ulinganishi wa alama tulizopata mwaka 2019/20, 2020/21 , 2021/2022 na alama na nafasi tuliyopo mwaka huu 2022/23.
Najua Mkuu, umeumia kukosa Ubingwa wa Epl kama ambavyo Mimi nimeumia pia.
Ingawa kwangu binafsi nimechagua kujifariji kwa kuangalia mafanikio yetu kwa misimu hiyo niliyoitaja na sasa.
Najua bodi ya Wakurugenzi na Mmiliki itakuwa imeumia pia, ndiyo maana nimeona wametenga zaidi ya £ milioni 200 kwaajili ya kuimarisha timu.
Ukiona giza limezidi ujue kuna karibia kukucha
Ngoja tujipange msimu ujao.Noted️ Sir
Kule ni kwa magiant na I don't see kama Arsenal ataweza kupambana kule imagine Europa league pekee Arteta amefeli to the maximum na yupo na kina sporting,lyon,PSV je huku ambako kuna Bayern, Madrid,Manchester City (Ngoja tujipange msimu ujao.
Ila nilichojifunza kama tutaendelea na ubahiri wa kutofungua Pochi na kusajiri wachezaji wenye viwango tunaweza kupata aibu Kule Champions league
Kwanini ashindwe kupambana sababu zako ni nini???Kule ni kwa magiant na I don't see kama Arsenal ataweza kupambana kule imagine Europa league pekee Arteta amefeli to the maximum na yupo na kina sporting,lyon,PSV je huku ambako kuna Bayern, Madrid,Manchester City (huyu katupiga home and away ligi na katutoa FA cup)
Unajua bwana mdogo uwe una reason vitu,that's why nikiongea naonekana nipo against na Arsenal fans but nina akili na ninajitambua unataka kuniambia Arsenal ataweza kucompete champions league ?na squad ipi?ambayo kusajili ni tatizo?miaka mingapi Europa league tumetolewa mfululizo chini ya Arteta ambako kuna teams za kawaida tu na tumeshindwa?ukiachana na City sisi tunaweza kucompete na Bayern Munich?Real Madrid?Manchester City kwenye champions league?sometimes usiwe among Arsenal fans ambaye unapenda kuongea ili mradi uonekane umeongea wakati ukweli unaujua season hii kwa wanaonijua nilisema ni heri Arsenal akomae na Europa league tupate kombe la ulaya nikaonekana mjinga na nilishaona mbali kuwa kwenye ligi ni maajabu tukibeba sasa imagine kwa squad ya Arsenal icheze Champions league kisha ligi kwa squad ile ile tutatoboa?Arsenal Europa league imemshinda licha squad ilikuwa inabadilika cha muhimu Arsenal anaenda kushiriki champions league aingize fedha that's it hapo nitakubaliana na weweKwanini ashindwe kupambana sababu zako ni nini???
Uyo city unaemtolea mfano kachakaza kila mtu iwe buyern, kumbuka uyo city ni timu bora dunian aisee, nashindwa kuelewa yan unaona kama city ni timu ya kawaida sana ambayo ni dhambi kubwa sana kuifunga arsenal home and away? Au mie ndo sijaelewa maana yako
Ni kweli Mkuu, ila ngoja tuone dirisha la usajiri tutaletewa watu gani kutusaidia.Kule ni kwa magiant na I don't see kama Arsenal ataweza kupambana kule imagine Europa league pekee Arteta amefeli to the maximum na yupo na kina sporting,lyon,PSV je huku ambako kuna Bayern, Madrid,Manchester City (huyu katupiga home and away ligi na katutoa FA cup)
Arsenal hii ambayo inasajili kwa kubip?ambayo pesa kuitoa ni tatizo?anyway let's wait and seeNi kweli Mkuu, ila ngoja tuone dirisha la usajiri tutaletewa watu gani kutusaidia.
Nimesoma mahali Xhaka anaondoka, hivyo atahitajika mrithi wake pia
Brother kuna uzi mmja nahis kama sio wa liver alikuja na hoja ya kusema "anaona arsenal ikiporomoka zaid msimu ujao tena hata top 4 ni ngumu kuingia" kwa kutoa sababu kama zako izo izo ila kauli yangu ya mwisho ni kua asubilie sajili za timu zote ndizo zitaamua,.. Nashangaa baadhi ya mashabiki wa Arsenal hawana imani kabsa kama usajili utafanyika kwa kulingana na pale tulipojikwaa msimu huu ila wao wanaona kuliko hata viongozi wanavyoona,Unajua bwana mdogo uwe una reason vitu,that's why nikiongea naonekana nipo against na Arsenal fans but nina akili na ninajitambua unataka kuniambia Arsenal ataweza kucompete champions league ?na squad ipi?ambayo kusajili ni tatizo?miaka mingapi Europa league tumetolewa mfululizo chini ya Arteta ambako kuna teams za kawaida tu na tumeshindwa?ukiachana na City sisi tunaweza kucompete na Bayern Munich?Real Madrid?Manchester City kwenye champions league?sometimes usiwe among Arsenal fans ambaye unapenda kuongea ili mradi uonekane umeongea wakati ukweli unaujua season hii kwa wanaonijua nilisema ni heri Arsenal akomae na Europa league tupate kombe la ulaya nikaonekana mjinga na nilishaona mbali kuwa kwenye ligi ni maajabu tukibeba sasa imagine kwa squad ya Arsenal icheze Champions league kisha ligi kwa squad ile ile tutatoboa?Arsenal Europa league imemshinda licha squad ilikuwa inabadilika cha muhimu Arsenal anaenda kushiriki champions league aingize fedha that's it hapo nitakubaliana na wewe
Hana msaada huyoFati Atsu offered to Arsenal
Swali langu kwako Arsenal ni lini ishawahi kutoa fungu la pesa kwa ajili ya usajili?mean fungu la maana?pia inategemea na coach na wachezaji anaowataka but Arteta atawapata anaowataka?Kroenke hela atatoa?yes tunakubali sometimes usajili unaweza ukalipa au usilipe but Arsenal inatakiwa kusajli no matter what tuna mapungufu mengi sana kuanzia Golini (Ramsdale anatakiwa apate ushindani) hadi wafungajiBrother kuna uzi mmja nahis kama sio wa liver alikuja na hoja ya kusema "anaona arsenal ikiporomoka zaid msimu ujao tena hata top 4 ni ngumu kuingia" kwa kutoa sababu kama zako izo izo ila kauli yangu ya mwisho ni kua asubilie sajili za timu zote ndizo zitaamua,.. Nashangaa baadhi ya mashabiki wa Arsenal hawana imani kabsa kama usajili utafanyika kwa kulingana na pale tulipojikwaa msimu huu ila wao wanaona kuliko hata viongozi wanavyoona,
" Em subili sajili maingizo mapya ndipo utaanza kutoa maoni yako kama tutashindana ama hatutashindana" maana naona kama wengi mnaamin hiki kikosi ndicho icho icho kitaenda msimu ujao.
Msimu wa EPL ndiyo unatamatika leo, Bingwa amekuwa Manchester City akituzidi Arsenal zaidi ya alama 8.
Umekuwa ni msimu Mzuri kwa timu ukilinganisha na misimu kadhaa iliyopita.
Benchi la Ufundi limeona mapungufu, nadhani yatafanyiwa kazi. Huenda tukawa na sajiri nzuri Mwaka huu kuelekea mwenye mashindano ya Uefa Champions league na mashindano mengine tutakayo shiriki, hivyo depth ya kukosi nadhani benchi la ufundi na Wamiliki watakuwa wamelipa uzito.
Najua tumeumia na kufurahi pamoja, muhimu tunakwenda kushiriki Uefa baada ya kuikosa miaka 7 kama sio 8 iliyopita.
Nilikuwa natazama wapi tulipotoka kwa misimu ya 2019/20, 2020/21, 2021/22 na msimu wa mwaka huu kabla ya mechi za jioni.
View attachment 2636790
View attachment 2636791
View attachment 2636792
View attachment 2636794
Kama utakuwa ni mtu wa takwimu, utakubaliana nami kuwa timu imeimarika kulingana na miaka kadhaa nyuma ingawa bado kuna kazi ya kufanya.
Tukutane msimu ujao Mungu akitupa Uhai.
Once a Gunner will always be
Kwanini ashindwe kupambana sababu zako ni nini???
Uyo city unaemtolea mfano kachakaza kila mtu iwe buyern, kumbuka uyo city ni timu bora dunian aisee, nashindwa kuelewa yan unaona kama city ni timu ya kawaida sana ambayo ni dhambi kubwa sana kuifunga arsenal home and away? Au mie ndo sijaelewa maana yako
Mbona hujaraja martnelli, martin, saliba nk? Arsenal inahitaji nyongeza kidogo sana kutoboaTimu pekee unayoweza kusema imeimarika ni Newcastle kwa eddie howe ameichukua timu ikiwa inakaribia kushuka daraja kutoka kwa steve bruce now ipo champion league ,wewe unasema timu imeonyesha mafanikio kwa kuongoza ligi siku 248 kwa point 8 then siku 14 baadae imezidiwa kwa point 8. Uefa mnaenda kushindana au kushiriki hapo ndo tatizooo linapoanzia , wewe binafsi tu as arsenal fan unahisi uefa mnafika hatua gani?
Usajili wa arsenal sasa huwa ni vichekesho zaidii utasikia wamemsajili takuma, sanogo, miyaichi, kallstrom na park chou young mavropanos , lokonga , tavares tukaambiwa ni young players wana potentialhawa wote wako wapi . Arsenal haijawahiii kuwa serious kwenye kitu chochote
Mbona hujaraja martnelli, martin, saliba nk? Arsenal inahitaji nyongeza kidogo sana kutoboa
Watu wamekomaa na Liverpool Yao 30+ yrs sembuse sisi, poa tu. Mm nimeipenda Arsenal kwa mapenzi, mengine ni changamoto tu, miaka Ile man city ni weak tungekuwa tumebeba ubingwa kwa points za mwaka huu!Arsenal haitakaa itoboee mkuu hii!!. Kwa chance ilizopata ni mwendawazimu pekee atasema arsenal itabeba ubingwa.Bora dortmund yeye mwaka 2012 amechukua kuliko arsenal 20 years!!
Watu wamekomaa na Liverpool Yao 30+ yrs sembuse sisi, poa tu. Mm nimeipenda Arsenal kwa mapenzi, mengine ni changamoto tu, miaka Ile man city ni weak tungekuwa tumebeba ubingwa kwa points za mwaka huu!
Watu wamekomaa na Liverpool Yao 30+ yrs sembuse sisi, poa tu. Mm nimeipenda Arsenal kwa mapenzi, mengine ni changamoto tu, miaka Ile man city ni weak tungekuwa tumebeba ubingwa kwa points za mwaka huu!
Mimi siwezi kuhama timu, hama wewe ila usinilazimishie akili za Manara, once a gunner always a Gunner! Hamia man city mkuu ukale Raha! Kupanga ni kuchagua! Kuna watu ni mashabiki wa Newcastle kufa (Including JK) their highest performance in 40yrs ni Kumaliza no 2 mwaka 1995, Leo hii wanarudi UCL kwa Kumaliza top 4! Nimeridhika na Arsenal yangu, USINILAZIMISHE MKUUKimbia huko toka arsenal huko utakufa na msongo wa mawazo. Wewe unadhani wakina aroon arsenal, khamiiss hawataki kujitokeza humu wanapenda ? Hapana wakija humu wataonekana vituko. Mwanetu aroon alikua hazipiti dakika kapost mara ooh jesus kafanyeje mazoezini sijuii arteta kafanya nini . Leo jezi imetoka mpya lakini kajificha huko ndanihataki hata kutuletea uzi tuone ulivyo mkali. Uzi umetengenezwa kupitia recycle bottles. ARSENAL THE BOTTLERS