Nimeangalia game nikawa nayakumbuka maneno yako kabisa.Niliwaambia hawa forwards wa cheltako finishing ni mziki ila wakipata ST tujipange
Kiukwl swala ilo hata mm limeniumiz sana siamin kwmb Hawa Gunners wanaweza kujificha namna iyo hata kuleta uzi wao mzr wa kimataifa wameshindwa.Yani kweli arsenyani mmepoteana yani uzi wenu mpya umetoka lakini hata kuja kupost hapa hamuwezi
Kitu kimoja watu wanachokosea ni kutojua Arsenal tulianza msimu huku 1st objective ni kua ndani ya top 4.
Angalia transfers tulizofanya.
Timu ambayo ilikosa top four msimu uliopita kisa MId msimu uliofuata alienda na Mid gani?
Wew timu yako ilikua wapi kuka iyo position,, si ndio nyie mlitutabilia hat hiyo top four hatutoigusa,Hatupingi top 4 ilikua first objective, japo hata huko uefa mnaenda kushiriki hamna malengo yoyote.
Kama arsenal angekuwa postion ya 2 for a long time or wangekuwa wanapokezana na man city kukaa juu baadhi ya week tungesema “ yeah” ni mwaka mzuri kwa arsenal ila kukaa siku 248 on top na still ukawa umemzidi mpinzan wako 8 points na game zimebaki 9 unacheza game sunday to sunday bado unachoma kwa timu ambazo zimecheza midweek zaidi ya mara moja!! Westham & soton!! trust me itachukua miaka mingine 20 to be in that position again!!! Na kukaa huko siku 248 kumethibitisha Arsenal ni loser always and forever !!
Wew timu yako ilikua wapi kuka iyo position,, si ndio nyie mlitutabilia hat hiyo top four hatutoigusa,
Acheni vihele hele mkae kwa kutulia,
Njoo tena msimu ujao ukiwa na akili Kama hizi tena Kama wenzako.
Kwahio umetimukiaa wapi mkuu??Timu yangu kwa wakati huo ndo ilikua top of the table kwa hizo siku248 after that nikaona kabisa” hapana” hamna timu hapa kuna vichekesho, for 20 years nilikua kichekesho nikasanuka nikakimbiaaa!! Tupe matarajio ya arsenal msimu ujao. Baada ya haya yote kuna mtu anaamini arsenal itachukua epl kweliii . Mashabiki wa arsenal ni vichaa kwelii, huko uefa mnashiriki au unaamini mtabeba uefa au malengo ni kufika robo fainali maana mara ya mwisho kufika robo fainali ilikua 2008
Uzi wa msimu kesho huo, uefa foundation, Mighty Arsenal the invincibles. is yours Gold?View attachment 2636761View attachment 2636762
Kwahio umetimukiaa wapi mkuu??
Vip kuhusu msimu huu ulijua hata iyo top four tungeingia!??
Let me ask you bro kwani hii ni first time kwa Arsenal kuwa katika second position katika miaka 18?unahisi why team imeimarika?team ambayo katika game 9 pekee zimebaki na katolewa kwenye 1st position aliyoishika for 248 days unasemaje imeimarika?kumbuka kuna champions league means tutakuwa na 1st squad ambayo itacompete katika League na Champions league je tutaweza?kumbuka Arsenal alikuwa kwenye Europa league na still alikuwa hachezeshi 1st squad na bado akatolewa tena Emirates na Sporting unaweza kusemaje team imeimarika?unajua mimi huwa natofautiana sana na fans wanaopenda kujipa moyo kuwa season hii team imeimarika kwa lipi?team ambayo baada ya kutolewa europa na akapewa nafasi ya kucheza Saturday kwa Saturday (7 days anapumzika)na still bado imeshindwa kubeba kombe?team imeimarika je kuna medalMsimu wa EPL ndiyo unatamatika leo, Bingwa amekuwa Manchester City akituzidi Arsenal zaidi ya alama 8.
Umekuwa ni msimu Mzuri kwa timu ukilinganisha na misimu kadhaa iliyopita.
Benchi la Ufundi limeona mapungufu, nadhani yatafanyiwa kazi. Huenda tukawa na sajiri nzuri Mwaka huu kuelekea mwenye mashindano ya Uefa Champions league na mashindano mengine tutakayo shiriki, hivyo depth ya kukosi nadhani benchi la ufundi na Wamiliki watakuwa wamelipa uzito.
Najua tumeumia na kufurahi pamoja, muhimu tunakwenda kushiriki Uefa baada ya kuikosa miaka 7 kama sio 8 iliyopita.
Nilikuwa natazama wapi tulipotoka kwa misimu ya 2019/20, 2020/21, 2021/22 na msimu wa mwaka huu kabla ya mechi za jioni.
View attachment 2636790
View attachment 2636791
View attachment 2636792
View attachment 2636794
Kama utakuwa ni mtu wa takwimu, utakubaliana nami kuwa timu imeimarika kulingana na miaka kadhaa nyuma ingawa bado kuna kazi ya kufanya.
Tukutane msimu ujao Mungu akitupa Uhai.
Once a Gunner will always be
Majibu ya swali lako nimelijibu kwa kueleza ufanye ulinganishi wa alama tulizopata mwaka 2019/20, 2020/21 , 2021/2022 na alama na nafasi tuliyopo mwaka huu 2022/23.Let me ask you bro kwani hii ni first time kwa Arsenal kuwa katika second position katika miaka 18?unahisi why team imeimarika?team ambayo katika game 9 pekee zimebaki na katolewa kwenye 1st position aliyoishika for 248 days unasemaje imeimarika?kumbuka kuna champions league means tutakuwa na 1st squad ambayo itacompete katika League na Champions league je tutaweza?kumbuka Arsenal alikuwa kwenye Europa league na still alikuwa hachezeshi 1st squad na bado akatolewa tena Emirates na Sporting unaweza kusemaje team imeimarika?unajua mimi huwa natofautiana sana na fans wanaopenda kujipa moyo kuwa season hii team imeimarika kwa lipi?team ambayo baada ya kutolewa europa na akapewa nafasi ya kucheza Saturday kwa Saturday (7 days anapumzika)na still bado imeshindwa kubeba kombe?team imeimarika je kuna medalambayo season hii tunayo ambayo tunaweza tukasema team imeimarika?Aston Villa na Arsenal utofauti wao ni nini season hii?team inaimarika kwa kuwa second position tena baada ya kuwa 1st position kwa siku 248?jamani let's be serious with na hii ishu in short team haijaimarika labda tuseme season hii tumecheza football ya kumiliki mpira! FACT!