zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,880
- 36,749
Ujima ndio Nini? Arsenal ipo kabla hata ya vita kuu ya kwanza ya Dunia Sasa kwa kuwa umezaliwa juzi huwezi potezea rekodi za nyuma. Hiyo man City licha ya kuwekeza mabilioni imetuzidi kombe Gani taja Moja tu mjadala uishe.arsenal ina mashabiki wendawazimu kwelii, unaongelea mataji 13 ambayo toka mwaka 1990 mpaka 2023 ni 3 tu mmeshinda haya mengine ni enzi za ujima. 1990-2023 ni takribani miaka 33 una mataji 3 , man city toka 2010 -2023 ni takribani miaka 13 na ana ligi 7 . Katika miaka 33 iliyopita arsenal ana ligi 3 na man city ana ligi 7 then unafanya comparison ya man city na arsenal kwelii . Mashabiki wa arsenal wengi ni wendawazimu kwelii
Kama PSG na Man City hawana UCL what's the difference na Arsenal if at all sisi ni timu ndogo?Na ndiyo maana wanapambana wabebe UCL ili waingie kwenye orodha ya timu kubwa, huwezi kuwa mkubwa halafu huna kombe la wakubwa, hapo ulipo ukibishana na shabiki wa Nottingham Forest au Aston villa lazima akushinde mana makombe yote uliyonayo yeye kabeba ila yeye akikuonesha UCL tu huna la kumjibu.
Muendelee kubaki mpaka siku muone tukibeba Mataji Tena. The project is just beginningTumekuja kwasababu nyie pia huwa mnakuja kule kwetu na vihere here vyenu, na hatutoki hapa mpk mtuambie kwnn mliamua kuongopea dunia kwamba nyie ni MATAITO KUNITENDA
Lia sana makalio weweHamna kitu Pep anatumia pesa ndio maana kafundisha Barca, Bayern na Man City akitoka hapo ataenda PSG. Ila akiwa na timu yenye bajeti kama spurs au Atletico Madrid hawezi lolote.
So Man City wameshinda Mataji kwa kutumia advantage ya Hela na ndio maana wanachunguzwa natumaini adhabu Yao itakua kali Ili huu upuuzi ukomeshwe.
Sasa kama mnamapato kwanin mnalia hamna pesaKama PSG na Man City hawana UCL what's the difference na Arsenal if at all sisi ni timu ndogo?
Ni hivi man City haituzidi kombe lolote lile, Haina fan base hata 10% ya Arsenal, hawana Mapato kama ya Arsenal, hawana mafanikio kama Arsenal, hawana history kama arsenal. So kwa parameter zote hizo hakuna kitu Man City wametuzidi so far.
Man city ni team kubwa mnoo ,haiwezi kufungiwa na sababu za kijinga ambazo hazina ushahidi ,tulete kikosi cha man city hapa na kiasi cha pesa walichotumua kusajili tulinganishe na vilabu vingine pale uingerezaHamna kitu Pep anatumia pesa ndio maana kafundisha Barca, Bayern na Man City akitoka hapo ataenda PSG. Ila akiwa na timu yenye bajeti kama spurs au Atletico Madrid hawezi lolote.
So Man City wameshinda Mataji kwa kutumia advantage ya Hela na ndio maana wanachunguzwa natumaini adhabu Yao itakua kali Ili huu upuuzi ukomeshwe.
Unasemaje wewe kalioKama PSG na Man City hawana UCL what's the difference na Arsenal if at all sisi ni timu ndogo?
Ni hivi man City haituzidi kombe lolote lile, Haina fan base hata 10% ya Arsenal, hawana Mapato kama ya Arsenal, hawana mafanikio kama Arsenal, hawana history kama arsenal. So kwa parameter zote hizo hakuna kitu Man City wametuzidi so far.
Is yours Gold?
Hata UCL imeanza 1990s!! punguzeni utoto na ulimbukeni. Hiyo ni rebranding tu in fact zamani timu zilikua zaidi ya 22 so ilikua competitive zaidi kuliko Sasa.Haya ndio makombe ya epl ,maana epl imeanza mwaka 1992 ,,hayo mangine before jesusu Christ wapelekee Wana historia wakasome
Source : England premier league View attachment 2631990
Plastic fans, sports washing ya waarabu kama PSG tu hamna kingine. Ushahidi wa emails upo, mmehamisha pesa kimagendo Ili kuinflate Mapato ya klabu. Mtanyooshwa tu mbona Juve alishushwa daraja nyie ni mna historia kama ya Juve ulaya?!Man city ni team kubwa mnoo ,haiwezi kufungiwa na sababu za kijinga ambazo hazina ushahidi ,tulete kikosi cha man city hapa na kiasi cha pesa walichotumua kusajili tulinganishe na vilabu vingine pale uingereza
Wewe ni mpumbavu tu ....
Team ya dunia ,inayotikida uingereza Kwa Sasa na kila Kona ya dunia mpaka mbinguni ,haiwezi kuguswa na vijisababu vya kijinga kama vilee
Kulala chuma hicho kunguni wewe ...
View attachment 2631979
Asno ni ileile tu juzi jana na leo.Hivi Aseno imekuwaje kwani
Mbona sielewi
Tena vichaa kweli kweliarsenal ina mashabiki wendawazimu kwelii, unaongelea mataji 13 ambayo toka mwaka 1990 mpaka 2023 ni 3 tu mmeshinda haya mengine ni enzi za ujima. 1990-2023 ni takribani miaka 33 una mataji 3 , man city toka 2010 -2023 ni takribani miaka 13 na ana ligi 7 . Katika miaka 33 iliyopita arsenal ana ligi 3 na man city ana ligi 7 then unafanya comparison ya man city na arsenal kwelii . Mashabiki wa arsenal wengi ni wendawazimu kwelii