Mtu anasema arsenal inahitaji reinforcement ili iweze kukimbizana na timu kubwa za Manchester,mwanzoni mlikuwa mnaropoka utaito kunitenda tunawaangalia tu.
Yan mlivo wajinga mmempa mtu ubingwa akiwa yy kalala kwl?.
Hlf mseme huu ndo msimu wenu bora?.. Mtakua na akil Kwl?.
Yan ni basi lkn nasisitiza sana wale wote waliosema Arsenal wapo kwny title race wakamatwe na wachukuliwe hatua kali huu ni utapeli uliopitiliza kiwango.
Yan mlivo wajinga mmempa mtu ubingwa akiwa yy kalala kwl?.
Hlf mseme huu ndo msimu wenu bora?.. Mtakua na akil Kwl?.
Yan ni basi lkn nasisitiza sana wale wote waliosema Arsenal wapo kwny title race wakamatwe na wachukuliwe hatua kali huu ni utapeli uliopitiliza kiwango.
Yaani narudia tena kwamba arsenal ni kuku tena mbwa koko, jina mizi na kenge mweusi haiwezekani unagongwa mechi mbili double kweli. Kuku wa kigeni nyie arsenal kuanzia kocha mpaka wachezaji kamati zima yyte nyie kuku tu hakuna the gunners apo