Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi tushaimprove watake wasitake Kuna wachezaji wengi tu zaidi ya huyo rice hawezi chukua wote

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Ivi kweli hili ndo lile jukwaa kila Mda nilikua nakuta nalo lipo juu kbs kwenye threads au nimekosea?

Dah mbona Gunners mmekua wanyonge kiasi hiki mmekosa aman?.. Hamuamini kua ligi nzima mmeongoz nyie anabeba mwngne?.

Ndo mpr njoon bana tujadili walau jinsi gn nyie wazr sana kukabia juu na kuwa overload wapinzan kwny final 3rd


hamis77 ndg yngu nakuomba sana rudi jukwaani tujadili mpr acha mambo ya kujificha vichakani sio mazr.. Acha ushabik oya oya njoo uendelee kuleta takwimu tafadhali.
 
Hali yetu si nzuri sana Kwa sana ila tumejitakia wenyewe. Maisha yaendelee tu hivyo hivyo
 
Hali yetu si nzuri sana Kwa sana ila tumejitakia wenyewe. Maisha yaendelee tu hivyo hivyo
Poleen mkuu ndo mpr asee.

Sema ndo mtuvumilie tu kutesa kwa zamu nyie mliongea sana kipind Mnaongoza ngj na sisi tuwakumbushe kdg.

Hii marathon inahitaj calculation sana na Pep alikua anajua mda gn tutawakuta na kwl tumekuta pumz ikiwa imekata mko hoi.
 
Kweli aisee
Sisi ni wa 100m sprints. Marathons Bado hatuziwezi
 
Kweli aisee
Sisi ni wa 100m sprints. Marathons Bado hatuziwezi
 
Mmeona timu zinazotaka ubingwa jinsi zinavyocheza Sasa.

Tatizo mmewaachia wapiga mdomo wakina hamis77 ndo wawe wasemaji wenu wa timu.

Yani Mungu mkubwa nyie kelele zote zile mmeishia kuangukia pua.
 
Gape la points 4 halafu bado kesho mpo away na Newcastle. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hamisa77
hamisa77
hamisa77
hamisa77
hamisa77
hamisa77
hamisa77
hamisa77
hamisa77
 
It has been a brilliant and an exceptional season for Gunners.
Excellent and kudos to all our young players. Remember the target was top 4. They have exceeded that with aplomb.
We are proud of you and can't wait for next season. Especially the CL.
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 

Hizi ni namna bora ya kujifariji baada ya kukosa vyote. Mkajipange upya na kusajili pia
lasivyo mtaona cha moto
 
Angalia cty anakikosi kikubwa vipi binafsi naona vijana wamechoka mno kikosi ni kilekile kuanzia tunaongoza ligi hivyo Hilo ni tatizo pia...na arteta anajua atalifanyia kazi sina Shaka kabisa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…