Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Soon kuna jina watakuita either ni computerArsenal au Milangomitatu mean umebadili ID wakati unachokisema ndio Arsenal team ambayo kubadilika kwake may be tufikie 60 years na wajukuu juu
 
Soon kuna jina watakuita either ni computerArsenal au Milangomitatu mean umebadili ID wakati unachokisema ndio Arsenal team ambayo kubadilika kwake may be tufikie 60 years na wajukuu juu
Hivi ndugu computerarsenal hatuwezi kupata mawasiliano ya yule ndugu yenu hamis77 usije kuta jamaa hatunae maana sio kwa ukimya huu.

Saizi hata jukwaa letu la man u alitembei kabisa mdau wetu alikuwa anatusaidia sana kujaza jaza uzi wetu kule.

Ukimuona mwambie tume miss mashambulizi yake kwa ten hag.
 
Nyumbu limefiligiswa
Nyie endeleeni tu kuchekelea Nyumbu alivyofiligiswa ila nawakumbusha tu Jumapili ijayo mla nauli Asaninyau atakua kwenye dimba la St. James Park akishughulikiwa na mashababi wa New Castle United.
 
Nyie endeleeni tu kuchekelea Nyumbu alivyofiligiswa ila nawakumbusha tu Jumapili ijayo mla nauli Asaninyau atakua kwenye dimba la St. James Park akishughulikiwa na mashababi wa New Castle United. View attachment 2610733
Ulivyo popo unaamini kwakua nyinyi mlifungwa basi na sisi tutafungwa. Una level sawa na nyumbu wengine tu
 
Nyie endeleeni tu kuchekelea Nyumbu alivyofiligiswa ila nawakumbusha tu Jumapili ijayo mla nauli Asaninyau atakua kwenye dimba la St. James Park akishughulikiwa na mashababi wa New Castle United. View attachment 2610733
Hii mechi sisi MANCHESTER United na jasusi wetu Eric kanjanja Hag ni furaha tu akipgwa Arsenal sawa
Akipigwa Newcastle United sawa
Wakitoa sare ni sawa pia
 
They don't want us to be so good, so wanaona ni bora kulimit available resources zitazofanya Arsenal kuimprove, Edu & Arteta inabidi waje na mpango wa kusajili wachezaji kimyakimya.

#ManCity are among a number of #PL clubs monitoring developments concerning Declan Rice. West Ham are expected to demand £100M for the midfielder.

[via @JamesOlley]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…