Hatuna shida ya ubingwa kwanza ni mda sana ...Nilikuwa napinga ule utabiri kwamba manyumbu mwaka huu atachukua kama Man city fresh ila sio Man itd bora Man city au Chelsea wakichukua fresh
Hatuna shida ya ubingwa kwanza ni mda sana ...Nilikuwa napinga ule utabiri kwamba manyumbu mwaka huu atachukua kama Man city fresh ila sio Man itd bora Man city au Chelsea wakichukua fresh
Hawa City walipigwa OT, Haaland akicheza dk 90 bila shot on target.
United ana medali 2 msimu huu. Nafasi ya kwenda Champions League.
Arsenyani mafanikio yao makubwa ni kushika nafasi ya Man City.
Kuna Arsenyani huwa wanakuja kulisema soka la Erik ten Hag lakini ndiyo linampa mafanikio hivyo huku bado anasuka kikosi ambacho Arsenal hawatafikia quality yake.