Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Small mentality club,season hii baadhi ya fans sababu ya small mentality wakasema Europa league halina umuhimu hapa huwa ndipo naonaga nipo tofauti na baadhi ya fans kimentality unaishia kutukanwa au kusemwa vibaya,Arsenal nzima bado wana hii mentality ya Guinness world record
 
Hongereni arsenal mmecheza kwa spirity kubwa sna. Next mnakutana na Man City naamini mtashinda
Mancity watakubali kweli timu ambayo kushindwa ni bahati? Harry Kane angekuwa mancity sasa hivi angeweza kufunga magoli mengi kwasababu timu ina create chances nyingi za kufunga kwa washambuliaji.

Tatizo Pep ni mbaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…