Roho inaniuma balaa Kiparangoto kubeba EPL mara 3 mfululizo, lakini Arsepimbi nao ni wabovu kuliko hata timu ya mchangani toka Mchambawima, unadhani nitaendelea kukaza fuvu kushabikia Arsenal au Mwa-City kishingo upande?
Uzuri wa mashabiki wa Man utd hua hatunaga nongwa na Chelsea, hata anguko lenu hua linatusononesha mpaka sisi.
Sisi maadui zetu wa kudumu ni Arsenyani na Liverpunda.
"Naipenda Arsenal nawaangalia sana kutokana na aina yao ya uchezaji, pia wana kikosi cha vijana wengi hatari na tishio, fikira zao kwa sasa kama timu wanaonesha kuhitaji mataji makubwa nitafurahi wakinisajili"