Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kikao cha hovyo kuwahi kutokea
tapatalk_1682106147107.jpeg
 
Kwamba arsenyani mmekuwa wepesi kiasi hichi Yani Mpaka sasa mashuti yayiyo lenga lango lenu ni matano5.
Screenshot_20230421-215001.jpg
 
Wamekimbizwa vizuri Sana

Kipindi Cha pili tuwapelekee moto kiwango hiki hiki
 
Kwani tukipiga kamba 4, c tunachukua points 3?
Basi kaeni kwa kutulia
 
Back
Top Bottom