WATAPIGWA TU
Fabio angetupisha
Hamis77 hakikusikia mnagombana aise kwa jinsi anavyo mkandia degea.We need a stopper, not Ramsdale
Tatizo la hamisa77 ndiyo hili, hutomuona mpk washinde.Hamis77 hakikusikia mnagombana aise kwa jinsi anavyo mkandia degea.
Wamekimbizwa vizuri Sana
Kipindi Cha pili tuwapelekee moto kiwango hiki hiki
@Kinumbo unanifurahisha sana jinsi unavyozifariji hizi kima kwa maneno yako matamu yaliyojaa busara.
Ogopa sana kukutana na timu inapambana isishuke daraja


maiti yamng'ang'ania muoshaji"Alisikika mlevi mmoja akiropoka"Sisi Arsenal tunachukua ubingwa wa EPL na UEFA msimu huu![]()