Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kikao cha hovyo kuwahi kutokea [emoji23][emoji23][emoji23]
tapatalk_1682106147107.jpeg
 
Kwamba arsenyani mmekuwa wepesi kiasi hichi Yani Mpaka sasa mashuti yayiyo lenga lango lenu ni matano5.[emoji2960][emoji2960]
Screenshot_20230421-215001.jpg
 
Wamekimbizwa vizuri Sana

Kipindi Cha pili tuwapelekee moto kiwango hiki hiki
 
Kwani tukipiga kamba 4, c tunachukua points 3?
Basi kaeni kwa kutulia
 
@Kinumbo unanifurahisha sana jinsi unavyozifariji hizi kima kwa maneno yako matamu yaliyojaa busara.


#Arsenyani Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity bingwa Epl 2022/2023
Kwa vita yenu Mashabiki wa Man Utd FC vs Arsenal FC, nasema muuane tu wala siamulii chochote maana nami napamba na hali yangu kuhusu Chelsea FC [emoji16][emoji2960]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom