Ushabiki raha sana, yaani mtu timu yake hata ifanye vipi haiwezi kuikuta Points za Arsenal lakini anakuja hapa kubwabwaja kisa Arsenal amepata Sare mechi za Liverpool na ya Jana dhidi ya Westham Utd.
Ni kweli jana tumepata Sare lakini still bado tuna nafasi ya kushinda EPL, huyo City bado ana mechi ngumu vile vile kama Arsenal tu.
Muhimu tufocus na michezo iliyobaki tuhakikishe tuna shinda huku tukimwombea Mpinzani wetu naye apoteze alama kwenye michezo iliyobaki