Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi Westham leo ndio tunaanza rasmi mbio za kusaka nafasi ya kucheza mashindano ya ulaya msimu ujao, tolekaaaa.
 
Hebu niambie, Newcastle plan not to extend Maximin contract after the end of the season,
Technically huyo dogo anakosa nini mbona namuona ndiye star pale Newcastle? I wish angekuwa kwetu asaidiane na flanks zetu. Is it for his injury record?
Maximin kuna vitu inabidi aviongeze, kuna vingi anakosa,inabidi apate mwalimu mzuri amtulize atulie atakuwa mchezaji mzuri.

Maximin ni kama nzi akitulja vizuri anaweza kutoa asali.
 
Hebu niambie, Newcastle plan not to extend Maximin contract after the end of the season,
Technically huyo dogo anakosa nini mbona namuona ndiye star pale Newcastle? I wish angekuwa kwetu asaidiane na flanks zetu. Is it for his injury record?
Dah akija utamchukia.

Ni aina ya mchezaji ambaye anaenjoy kukaa na mpira, kutoa pasi au kuungana na wenzake katika counter kwake ni ngumu.

Timu ngapi za top 4 zina mchezaji kama Maximin? Unadhani hawamuoni? Sisi Pepe tuliachana naye kwaajili hiyo
 
Mfumo wa
Mfumo wa soka la brazil ni mzuri saana, ituano ilikuwa ligi daraja la nne kipindi hicho, lakini bado ilikuwa inacheza ligi ya jimbo.

Mfano hapa daslam kuwe na ligi ya mkoa, abajalo ya daraja la 3 ki nchi lakini inacheza na kina simba,kmc, yanga, azam n.k kwenye ligi ya mkoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…