Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Muda mwingine hua tunajudge mechi kutokana na historia mtu akiitaja westham anatamani iwe westham ile tuliyosuluhu nayo 2021. Walitupiga 3 za haraka haraka sisi tukasawazisha.
 
Sasa hawajui kua westham amekua miaka yote akiwa dominated na Arsenal. Msimu huu hakuna traditional top 4 aliyefungwa na westham, watu wanakumbuka chelsea ilivyofungwa so wanaishi kwa kutegemea matumaini na miujiza kwamba kuna lolote litatokea.
 
Westham anagombea kutoshuka daraja, so kwake kila point ni ya msingi. Anaweza akaopt kupark basi tu kwakua point moja kwake ni muhimu ambao tunaona tunaweza kunyanyua kikombe ndiyo tunatakiwa kua na passion na desire kuwazidi wao. Arsenal bado tuna tatizo la kulose focus wakati game ikiendelea.
 
Kuna hesabu fulani hivi za suluhu mbili na ushindi zikipigwa unaona ubingwa huu hapa, tulikua na msimu wa Emery ambao tulikua nafasi ya 3 na tulihitaji kushinda mechi 3 kati ya saba ili tubaki top 4. Msimu uliisha tunashika nafasi ya saba.
 
So badala ya kuhesabu points na mechi tunatakiwa tufocus mechi kwa mechi. Msimu huu round 1 tulicheza na Spurs first half tukashinda 2 second half tukadefend hata kwenda mbele tukawa hatuendi spurs msimu huu ipo hovyo so haikutupa shida na hiyo mentality ndiyo tukaifanya kwa liva but liva ina attack nzuri bado huwezi park basi kwa beki Holding na Magalhaes hata Kiwior sielewi kwanini aliingia.
 
Arteta kasema big lesson ni kucheza tunavyocheza, tukumbukue hii staili ya kuscore na kurudi kupaki basi ndiyo ilituua msimu uliopita round ya kwanza mechi nyingi tulipoteza au kusuluhu kwa tabia hiyo. So tulivyoanza round ya 2 akili iliniambia ile tabia imekufa kumbe bado ipo.
 
Ok mlionishambulia kwanini mimi nasema Arsenal hatukuapply enough pressure kiasi kwamba hatukupata advantage kupitia kwa Faes mko wapi saa hii? Ukipata muda usiangalie games za Arsenal au Nyumbu pekee. Inasaidia kujua baadhi ya wachezaji na ubora wa timu zao.

Mfano Nottingham wana kocha mzuri anajua sub za muhimu wanacheza kwa determination ila kukosa udhamini mwanzoni nahisi kuliwaua morali, pamoja na yote ni ngumu kuhitimisha 100% kwamba nyumbu watakufa. Ila clean sheet wanaweza kuikosa.
 
Hii timu wako bize kutamba kwa kuongoza possession mbele ya city, ndio mafanikio yao makubwa kwa miongo kadhaa.
 
Arsenyau kuna muda unawaonea huruma.

Kwa man city na man u Walidominate possession ila wakafa tatu tatu kila upande.

Kwa liva wakasema OK tupaki bus ila bado goli 2 zikaingia.

Wakifunguka wanapigika, wakipaki bus wanapigika, poor arsenyanis.
 
B
Brother, xG ya Leicester ilianza kupanda baada ya city kufanya sub kuwaingiza kina Philips,Gomez,palmer n.k
Hapo ndio Leicester wakapata pumzi ya kuanza kushambulia.

Do you think nanyie tutawawekea Sergio Gomez?
 
Westham wagonga nyundo ,here we go ...

Leo tunakuja kuwagonga Hawa gunnergay 3+ goal ...
 
Westham wagonga nyundo ,here we go ...

Leo tunakuja kuwagonga Hawa gunnergay 3+ goal ...
Hakuna haja ya kuwapigia ramli, acha washinde tu ila kama kweli wanataka kombe basi pale etihad ndio itakua kipimo sahihi kwao kuprove kwa dunia kwamba wanapaswa kuwa mabingwa wapya wa EPL.

Tofauti na hapo, trophyless as usual and I feel it coming.
 
Brighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki

Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo

Jana ziligawia pipi pale kati

Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard

Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)

Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi

Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi

Halafu anaitwa magwaya mara guehi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…