Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,620
City akishafika anga hizi hakuachi, Bora aseno angekuwa anaongoza kwa point walau 9, liver tunajua mateso ya kukimbizana na city mida mibovu"Nacheka lakini naogopa." 😂😂😂
Arsenyani acheni kuota, hamna uwezo wa kumfunga City Etihad. Ubingwa toeni kabisa kwenye mawazo yenu maana huu ndiyo muda wa Pep kufanya vitu vyake.
Haaland kiatu.
Arsenyani kondoo.
Mlikimbizana na point 1 kwenye match takribani 10 mpaka City akabeba.City akishafika anga hizi hakuachi, Bora aseno angekuwa anaongoza kwa point walau 9, liver tunajua mateso ya kukimbizana na city mida mibovu
Mbaya kwa arsenal ana mechi na city huntersArsenal mjue gap limebaki 3 points only.
Rais wao Edo Kumwembe sijui atatueleza nini.Mbaya kwa arsenal ana mechi na city hunters
Manjesta yenye wazee na wachezaji wa €100m ipo wapiTuwe serious tu, tuache utani.
Arsenal mtamzuia vipi Haaland na Man City kwa ujumla pale Etihad kwa kutegemea watoto wa miaka 21 - 23?
Tutakutana Champions League msimu ujao. United tukiwa na makombe matatu, Arsenyani bila kombe kitu pekee mtapata ni nafasi ya (kushiriki) Champions League.Manjesta yenye wazee na wachezaji wa €100m ipo wapi
They are closerLigi haijaanza mlimpa nafas Huyo city
Kwhiyo mkae kwa kutumia muone show
Leicester kiande ,ligi inaanza hapa Kama mnakumbuka walipomuuza GK Schmichael , nilisema watashuka darajaHuu ubingwa msimu huu sijui............ City moto anao mpelekea Leicester si wakitoto.
Huyu city aliyecheza Kama manjesta pale emirate
Tutamfanya hamna hapo kwake
Uzuri kimahesabu tunahitaji draw 2 tu ,Moja against yeye city
Nyingine na kiande yeyote
Uwezo tunao Nia tunayo
Kiukweli mechi vs Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa inatuumiza kichwa
Hawa wengine Wana mpira gani wakutushambulia Sana
Mtu anakaa kabisa anasema mna mech ngumu na Newcastle, Chelsea ,