Mr Ubwabwa
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 375
- 283
Zincheko hakuna beki pale, yule anafaa kwa kuonea vibonde wa ligi tu ni bora tulimuuza.Jipeni moyo zinchenko na Jesus tumewauza kwakuwa bado watoto hamtoamini tunanyanyua makwapa kuna timu hata ziki kuacha magori huwapati ila sio aseno
Msimu huu asipobeba UEFA atalia hatoaminiJamaa anatutisha but the real truth huu ndio ukweli wa Kipara hanaga mzaha wana Gunners wenzangu,players na kocha waondoe presha na wawe very serious muda huu,tumekosa FA,Carabao na Europa tukasema tunaweka nguvu kwenye EPL ili tuwe na match chache so kwa sasa ni no excuse tunahitaji EPL liende kabatini EmiratesView attachment 2583580
I see you bro, no commentTukisema baadhi ya mashabiki wa Arsenal akili ziko fyatu huwa mnatuona sisi wakorofi.
Ona huyu sasa alichoandika.
Unaijua UCL wewe?
Muulize Wenger au Pep watakupa picha kamili.
Who cares? Nyie shikeni calculator sisi tunafocus na next gameInatisha lakini msiogope.
Hivi Arsenal mnajua timu mnayo kimbizana nayo lakini?View attachment 2583756
As usualKwamba wenger na kushiriki kote uefa bado team yake ilikua haina experience ya kutosha kudominate europian football!!
mkuu hili jukwaa lina wehu sio bure.
Mashabiki wa cityZincheko hakuna beki pale, yule anafaa kwa kuonea vibonde wa ligi tu ni bora tulimuuza.
Imagine kesho tuko na bayern af tuwe na beki zincheko amkabe gnabry au coman, watu wanajipigia tu.
Lakini hum wanakwambia watadominate uropean football kwa miaka 10+ kwa ule uchochoro zinchenko.
Naona umeamua kufanya tangazo kiakili usishtukiwe.
UpindeNaona umeamua kufanya tangazo kiakili usishtukiwe.
I don't f*ck males bro, tafuta mabasha wenzio wakusugue.
I've told ya, i don't fvck males bado unataka nikupinde!!Nipinde
Mwamaleki a.k.a upindeI've told ya, i don't fvck males bado unataka nikupinde!!