Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo timu imepaniki mno kuanzia ndani mpaka Arteta benchi.

Leo Attitude yetu imekua mbovu mnoo uwanjani, Second Half hatukueleweka Plan yetu ni nini.

Kupata Point 1 imekua bahati sana Liva walistahili kushinda.
kweli
 
Arsenal hamuwezi kuchukua ubingwa wa ligi kuu England. Leo tu mmeponea chupuchupu kufa. Milikuwa mnapoteza muda kwa kujiangusha angusha na kudelay restart lakini dakika za mwisho mmetamani mpira uishe.

Hamna mentality ya ubingwa. Huwezi ongoza mbili first half halafu uanze kucheza mind games za kupoteza muda bila sababu.

Hiyo ni loser mentality na ndio inawanyima ubingwa.
 
Etihad tukienda hawa wachezaji watatu

Zinny, Ødegaard na White wakianza ni tushapoteza iyo mechi maana hawawezi kuhandle presha kabisa
Naanza kukubaliana na wewe ukiuliza why tumeshindwa pata 3 points leo jibu ni PRESHA YA UOGA,unaongoza goals 2 na zinarudi ,Yes Anfield ni pagumu but kwa mchezo wa leo ukikumbuka una games Etihad na St James Park unaishia kuguna
 
Naanza kukubaliana na wewe ukiuliza why tumeshindwa pata 3 points leo jibu ni PRESHA YA UOGA,unaongoza goals 2 na zinarudi ,Yes Anfield ni pagumu but kwa mchezo wa leo ukikumbuka una games Etihad na St James Park unaishia kuguna
Kuguna kama Willy Paul..
Au wamekuwa Ole GUNA sosha
 
Liva aliongoza mbili dhidi ya Madrid

Wote tunajua kilichotokea.
 
Sisi tumewaruhusu mtufunge
Ila tu mkaze miguu maana msitegemee tutakuwa tunatembea.

Lakini naona mmegoma kabisa kukaza miguu
Kilaini mnamzawadia ubingwa yule mama Citi wazembe arse8
 
Sisi tumewaruhusu mtufunge
Ila tu mkaze miguu maana msitegemee tutakuwa tunatembea.

Lakini naona mmegoma kabisa kukaza miguu
Kilaini mnamzawadia ubingwa yule mama Citi wazembe arse8
We literally let you own us and you blew it.

Even gave you a penalty
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…