Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi kwasasa siwez kujibishana na shabiki wa manjesta ambaye timu yake mwanzo wa msimu mnasema mnagombea ubingwa ,muda huu mnakimbilia kutafuta kucheza Europa

Sasa Ni matumizi mabaya kujibishana na nyie
 
Ukiendea hivi uzeeni utakua unapaa na ungo angani😂
 
Siwezi kushangaa tukimrudia Moises Caicedo, aina ya fullback huamua midfield dynamic. Kuna hawa FBs ambao ni exception of the game i.e zinny, cancello, kimmich, ukiwa nao hawa unachohitaji ni ball winner pale kati. Ukiona Zinny & Frasneda wanakuwa inverted hauhitaji rocket science kuelewa kiungo yupi anafit. Suala la Daclan Rice or Caicedo itategemea zaidi na aina ya FB atayesajiliwa, hakuna utofauti na ishu ya Tielemams or Xhaka ilivyokuwa.
 
Kesho tuna kazi sana ya kufanya Arteta najua hatapata usingizi results kesho laziwa iwe positive maana tuna Gap la points 5 pekee na next jamaa wakishinda tutaachana only 2 points na bado tuna game Etihad naanza kuamini baadhi ya fans wetu kuwa kesho ni Final
 
Yani kwa City hii ndiyo mnataka mkachukue points Etihad!!! 😂

Kesho Anfield msitegemee lolote zaidi ya kipigo. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenal bingwa msimu huu.
 
Nawaombea Arsenal mema ila kwa hz mechi ni ngum mno.
Yaani pamoja na kuziombea mema hizi kima lakini shukrani zao ni matusi.
Hebu kesho hapo Anfield zikung'uteni kama mlivyomkung'uta nyumbu ili ziwe na heshima na adabu kila zinapojadiliana na mashabiki wa Liverpool.
 
ngoja tuzinyooshe sasa hz kima
maana zimezidi kujiona juu.
 
FACT tupo nafasi ya 1 for almost season nzima then tumalize second place without FA,Carabao cup au Europa medal
then tuone tumeachive kitu no way kwa sasa EPL ni lazima
Mwamba hua nakukubali sana kuliko shabiki yoyote wa Arsenal.
Haunaga konakona wala kupakapaka rangi, kwako nyeusi ni nyeusi na nyeupe inabaki kua nyeupe yaani haunaga unafki nafki.
Nasubiri kwa hamu Mancity akae katika nafasi yake hapo juu halafu uanze kuwachana live hao blood fans wa GAY team.
 
Man city lazima abebe ubingwa kama hamtaki mtajijua wenyewe.
Hizi kima zina dharau na midomo ya shombo sana, kama huamini subiri kesho kama ikitokea wakabahatisha kupata points 3 uone jinsi watakavyo watolea shombo mpaka wale wachezaji wastaafu wa Liverpool.
Arsenyo ni kama nyoka tu, ukikutana nae hakikisha unafata maandiko ya vitabu vitakatifu kwa kuchukua fimbo na kumtandika nayo kichwani mpaka unahakikisha Arsenyoka anakufwa, kisha unanyanyua mikono juu kumshukuru Mungu kwa kufanikiwa kumuangamiza shetani.
 
Yani kwa City hii ndiyo mnataka mkachukue points Etihad!!! 😂

Kesho Anfield msitegemee lolote zaidi ya kipigo. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenal bingwa msimu huu.
Mara City mbovu ndo maana mnaongoza ligi mara kwa City hii hatuchukui points Etihad. Hadi kufikia mwezi May mtawehuka wengi sana.
 
Last week, William Saliba’s absence was confirmed two days before the game. With less than 24 hours to go, there’s still no clarity on his availability. Let’s keep hoping.
 
Yani kwa City hii ndiyo mnataka mkachukue points Etihad!!!


Kesho Anfield msitegemee lolote zaidi ya kipigo. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenal bingwa msimu huu.
Huchoki tu,Kwanza ulidai mnachukua ubingwa ,Sasa hivi umehamia kupiga ramli kwa Arsenal

Unadhani Arsenal nianjesta iliyopigwa 7-0?

Kwa akili yako unadhani Arsenal anaenda kupaki Basi?

 
Liverpool vs Arsenal NDOO

Liverpool wakiwa wanategemea historia ya uwanja Kama silaha yao kubwa,
Arsenal wanategemea kikosi kazi kiende kumaliza kazi mapema Sana kwenye huo uwanja

Liverpool ya sasa, timu yao imekatika sana
kuanzia walinzi, viungo Hadi washambuliaji
Majerui ya muda mrefu, na umri mkubwa wa wachezaji walio wengi
Wanawakaribisha arsenal iliyoimalika zaidi ya miezi sita nyuma
Arsenal ya Moto, high energetic, passionate na commitment ya hali ya juu. Ata wakitanguliwa goal ni ngumu kuwatoa mchezoni
Inabidi ujiandae muda wote utakimbizwa mchakamchaka

Ni mpuuzi pekee anaefikiria eti hii game tukishinda ubingwa ni wetu
Huko tulipotoka tumecheza game za kiroho mbaya sana ukijumlisha fitina za var kunyimwa hazi zetu

At this moment niambie Bora ukutane na Liverpool au Brighton/Newcastle/city?

Niambie Kuna beki gani pale wa Liverpool wakuweza kuwazuia saka/martinel/trossad/Jesus wakiamua kufanya Jambo lao?

Battle la kiungo: partey/odegard/xhaka
Huku zinchenko anakuja Kama inverted midfielder
Ndio kiungo Bora kwa sasa pale epl akitoka man city
Niambieni Liverpool anatokea wapi hapo

Forward line ya Liverpool mwenye uhai ni Salah tu, ambae nae anakabika kirahisi tu
Na kwa sababu Kuna partey mkata umeme watajikuta wanazurula tu

Liverpool ni wabovu walio mpiga nyumbu 7, coz nyumbu ni wabovu zaidi times 10

Liverpool Hana mpira wa kupishana na Arsenal hii
Kwa maana anaweza akachakazwa nyingi
Liverpool atapaki bus Kama walivyopaki bus nyumbu
Lakini haitakua sababu ya kuwazuia watu niliowataja hapo juu
kabla ya viungo


Liverpool 0 vs arsenal 3 (wakipak bus)
Liverpool 1 vs arsenal 6 (wakitaka tupishane)

Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Nyumbu YUROPA
 
Wasijiroge wakaleta mchezo wa kupishana

Leo kuna watu wazima watalala na viatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…