Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,080
- 16,052
Upande wa Martinelli, Klopp akimuanzisha Gomez itamsaidia kwenye defence ila kwenye attacking upande wa kulia utakua poor.Martinelli Jesus Saka
Hii Trio mapema Sana tutashinda jumapili
Xhaka & Partey kwenye midfield
Odegaard Kama Muunganishaji
Jesus ameanza kurudi kwenye ubora ,anarud chini kabisa kuchukua mipira
Akianza TAA nadhani tuta utarget Sana huo upande
Ila nahisi ataanza Gomez maana katika mechi 18 alizoanza TAA ,winger ,za Kushoto za timu pinzani wamekuwa MOT Mara 12-14
Akisema amuanzishe TAA, kwenye attacking watakua vizuri ila ndo utakua uchochoro wa kupitia.
Akimueka Milner ndo kabisaa, ataenda kupimwa umri.. dk 20 hamalizi misuli itakua ishakaza.
It's up to Klopp now achague wapi ajipige bastola, either mguuni au kichwani.