Hiyo ilikuwa ni "disguise".
Mechi 10 zilizobaki za Arsenal zote ni ngumu na wao wanafahamu hivyo.Kwa bahati mbaya timu anazozifunga arsenal kwa sasa ni zile zile ambazo huwa anazifunga kila msimu ijapokuwa round ya kwanza mwaka huu kidogo kaiproove kwa kuwafunga baadhi ya big four. Bahati mbaya waliyonayo mechi za mwisho mwisho watacheza na wanaume wa shoka ambao ndio wataamua ubingwa wao hivyo mashibiki muwe na tahadhari la sivyo watu wanaweza kuzimia.
Hizo zinaitwa hesabu za vidole mzee baba, muhimu kila mtu ashinde mechi zake.Mechi 10 zilizobaki za Arsenal zote ni ngumu na wao wanafahamu hivyo.
Ndo maana waziita hizo mechi ni fainali 10.
1. Leeds wapo kwenye relegation zone.
2. Liverpool wanagombea top 4
3. West Ham -relegation zone.
4. Southampton -relegation zone
5. Man City - Atetea ubingwa na ana mechi moja ya kiporo. Acheza nusu fainali ya FA Cup na nusu fainali ya CL.
6. Chelsea- Hawana cha kupoteza wakipigwa na Real Madrid no CL mwakani wala Europa League.
7. Newcastle- Wagombea top 4 kwa mara ya kwanza.
8. Brighton - Wataka kucheza Europa League
9. Nottingham Forrest - Relegation zone.
10. Wolverhampton - relegation zone.
Arsenal yahitaji points 26 tu kuchukua ubingwa katika mechi zake hizi 10.
Kilichobakia ni jitihada na mbinu madhubuti.
Labda kama lengo lako ni kuzodoaUnajua mechi 1 inatosha kumfanya agombee Europa?
Kumbuka ana GD 6
Na uzuri wa mechi hizo zote team pinzani anafunguka kwenda kushambulia tofaut na kupaki basi.Hivyo nirahis kushinda mechMechi 10 zilizobaki za Arsenal zote ni ngumu na wao wanafahamu hivyo.
Ndo maana waziita hizo mechi ni fainali 10.
1. Leeds wapo kwenye relegation zone.
2. Liverpool wanagombea top 4
3. West Ham -relegation zone.
4. Southampton -relegation zone
5. Man City - Atetea ubingwa na ana mechi moja ya kiporo. Acheza nusu fainali ya FA Cup na nusu fainali ya CL.
6. Chelsea- Hawana cha kupoteza wakipigwa na Real Madrid no CL mwakani wala Europa League.
7. Newcastle- Wagombea top 4 kwa mara ya kwanza.
8. Brighton - Wataka kucheza Europa League
9. Nottingham Forrest - Relegation zone.
10. Wolverhampton - relegation zone.
Arsenal yahitaji points 26 tu kuchukua ubingwa katika mechi zake hizi 10.
Kilichobakia ni jitihada na mbinu madhubuti.
Na kwenye hiz mech10 game1 ndo ngumu na hii mech arsenal akipata point3 kwa man city bac ubingwa utakuwa upo mikonon mwaoMechi 10 zilizobaki za Arsenal zote ni ngumu na wao wanafahamu hivyo.
Ndo maana waziita hizo mechi ni fainali 10.
1. Leeds wapo kwenye relegation zone.
2. Liverpool wanagombea top 4
3. West Ham -relegation zone.
4. Southampton -relegation zone
5. Man City - Atetea ubingwa na ana mechi moja ya kiporo. Acheza nusu fainali ya FA Cup na nusu fainali ya CL.
6. Chelsea- Hawana cha kupoteza wakipigwa na Real Madrid no CL mwakani wala Europa League.
7. Newcastle- Wagombea top 4 kwa mara ya kwanza.
8. Brighton - Wataka kucheza Europa League
9. Nottingham Forrest - Relegation zone.
10. Wolverhampton - relegation zone.
Arsenal yahitaji points 26 tu kuchukua ubingwa katika mechi zake hizi 10.
Kilichobakia ni jitihada na mbinu madhubuti.
Sio title contenders tena?Labda kama lengo lako ni kuzodoa
Kusema Man United wanagombea Europa, ni sawa na kusema Man United kimahesabu hawawezi kumaliza nafasi nne za juu.
Kitu ambacho si kweli.
Wako nafasi ya Tatu, hawa wanapigania Top 4, sio nafasi ya 5.
Hiyo Title contenders unaisema wewe na fans wa Man U waliokuwa hawaoni mbali.Sio title contenders tena?
Mbona alama 19 ni chache sana kama mechi 6 tu hivi
Hakuna risiti yako kweli? Kama kweli basi unajua boliHiyo Title contenders unaisema wewe na fans wa Man U waliokuwa hawaoni mbali.
Binafsi zijawahi kuamini hivyo.
Ila jamaa alikuwa hakabi kabisa. Very lazy.Fundi wa boli amestaafuView attachment 2561594
Kenge mwenye akili kidogoAser8 kama mnataka THE BLUES tuwaunge mkono kwenye mbio zenu za kubeba ubingwa EPL
Tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa Jorginho
Acheni ubahili.
Kama shabiki wa THE BLUES siwezi kuwa na nongwa eti niwaombee msibebe ubingwa, Ili iweje sasa?
Itakuwa roho mbaya. Ili hali timu langu linavurunda na wala haipo kwenye mbio za kupambania ubingwa.
Pambaneni Arse8, city asibebe tena hili kombe.
Ndo maana Ujerumani wakamuekea KhediraIla jamaa alikuwa hakabi kabisa. Very lazy.
Timu yako ipo namba ngapi hapo?Mourinho is bigger than you.
Mourinho UEFA trophies
Uefa champions league 2 trophy
Uefa ueropa league 2 trophy
Uefa conference league 1
Arsenal trophies
Uefa champions league 0
Uefa ueropa 0
Hivi pamoja na ujanja ujanja wa Mourinho Kwanini kawazidi mafanikio club ya mpira mnakwama wapi nyie arsenyani?
Hafu mmekaa hapa mnataka kwenda uefa mkafanye nini kama ueropa tu kumewashinda au ndo mnataka mkatie aibu za kubugizwa goal 10 kule.
Timu yenu mkubali ni ndogo tu.
Poor Arsenal club
Poor Arsenal fans
View attachment 2562512
Msipojiangalia mtaanza kugombania nafasi za EuropaMourinho is bigger than you.
Mourinho UEFA trophies
Uefa champions league 2 trophy
Uefa ueropa league 2 trophy
Uefa conference league 1
Arsenal trophies
Uefa champions league 0
Uefa ueropa 0
Hivi pamoja na ujanja ujanja wa Mourinho Kwanini kawazidi mafanikio club ya mpira mnakwama wapi nyie arsenyani?
Hafu mmekaa hapa mnataka kwenda uefa mkafanye nini kama ueropa tu kumewashinda au ndo mnataka mkatie aibu za kubugizwa goal 10 kule.
Timu yenu mkubali ni ndogo tu.
Poor Arsenal club
Poor Arsenal fans
View attachment 2562512